Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa maelezo kuhusu vigezo na sifa za mgombea Uspika na Ubunge katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mpango Mkakati wa NEC 2021/22 – 2025/26
Katika kuadhimisha wiki ya utumishi wa umma nchini ambayo kila mwaka hufanyika kuanzia tarehe 16 -23 Juni, Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekuchangia damu na kufanya usafi katika Hospitali ya Uhuru iliyopo katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
Ujumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Lesotho (IEC Lesotho) umemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda shambani kwake Zinje Jijini Dodoma na kujionea shughuli za kilimo na ufugaji zinazofanyika kwenye shamba hilo.
?Ujumbe wa watu wa tatu kutoka Tume Huru ya Uchaguzi ya Lesotho (IEF Lesotho) ukuingozwa na Mjumbe wa Tume hiyo,Dkt. Karabo Mokobocho Monlakoana upo nchini kwa ziara ya mafunzo ambapo wametembelea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaapisha Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele na Mjumbe wa Tume hiyo Jaji Mwanaisha Athuman Kwariko baada ya kuwateua kushika nyadhifa hizo tarehe 27 Desemba mwaka 2022.