Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imepatiwa mafunzo juu ya ukatili unaoathiri wanawake kujihusisha na siasa.
Vyama 16 vya Siasa vimechukua Fomu za Uteuzi kugombea Ubunge katika Jimbo la Ushetu mkao wa Shinyanga
?Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka Wasimamizi wa Uchaguzi katika Jimbo la Ushetu katika Halmashauri ya Ushetu Mkoani Shinyanga na Kata 10 za Tanzania bara kutokufanya kazi ya Uchaguzi kwa mazoea na badala yake wazingatie maelekezo, kanuni na sharia za uchaguzi katika utendaji wao.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata Sita za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
?TUME ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwepo kwa nafasi mbili za Ubunge katika majimbo ya Konde mkoa wa Kaskazini Pemba na Ushetu mkoani Shinyanga.