• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Maadili ya Uchaguzi
    • Miongozo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
    • Orodha ya Matokeo ya Rufaa za Ubunge zilizoamuliwa na Tume
    • Wagombea waliopita bila kupingwa
    • Wagombea katika Uchaguzi Mkuu 2020
    • Wabunge na Madiwani Wateule wa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
    • Jarida la Tume kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020
    • Mpango Mkakati wa Tume kwa mwaka 2016/2017 hadi 2020/2021
    • Kura ya Maoni
    • Maelekezo
    • Orodha ya Majimbo na Kata
  • Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • NEC Online TV
    • Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Ratiba ya Kampeni za Wagombea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
    • Voters Interaction System
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida la Tume la Uchaguzi Mkuu 2020
  • Zabuni/Mnada
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Mawasiliano

Habari

Tume yatangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Singida Mashariki utakaofanyika Juai 31, 2019

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Singida Mashariki utakaofanyika tarehe 31 Julai mwaka huu

July 28, 2019

Tume yawataka viongozi wa dini kuwahimiza waumini wao wajitokeze kujiandikisha na kuboresha taarifa zao

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewataka viongozi wa dini kuwahimiza waumini wao juu ya kushiriki kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura au kuboresha taarifa zao ili kila mwananchi mwenye sifa za kuandkishwa akaandikishwe na yule anayeboresha taarifa zake akaboreshe.

June 17, 2019

Tume kushirikiana na asasi za kiraia kutoa elimu ya mpiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa vibali kwa baadhi ya Asasi za Kirai kwa ajili ya kutoa Elimu ya Mpiga Kura wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa nchi nzima litakaloanza Julai, 2019.

June 15, 2019

Tume kuanza Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuanzia Julai, 2019

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) itaboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, awamu ya kwanza kuanzia mwezi Julai, 2019 kwa kutumia Teknolojia ya kieletroniki ya Biometriki (BVR).

June 13, 2019

NEC yatangaza nafasi za ajira za muda za uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza nafasi za kazi za muda kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura.

May 30, 2019

Tume yawataka wasimamizi wa uchaguzi kuzingatia Katiba na Sheria za Uchaguzi katika kusimamia uchaguzi

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji (R) Mbarouk Salum Mbarouk amewataka wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kuzingatia matakwa ya Katiba na Sheria.

May 30, 2019
  • «
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • ...
  • 25
  • 26
  • »

Habari Mpya

  • Tume yashiriki mkutano wa ECF SADC kuimarisha usimamizi wa uchaguzi na kujenga demokrasia nchini
    March 11, 2021
  • Tume yamtangaza Dkt. Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Oktoba 28, 2020
    October 31, 2020
  • Tume yaongeza siku tatu kwa wasimamizi wa uchaguzi kuapisha mawakala wa vyama vya siasa kwa ajili ya uchaguzi
    October 23, 2020

Nifanyaje?

  • Kujiandikisha Kupiga Kura
  • Kupiga Kura

Machapisho

  • Orodha ya Madiwani Wateule wa Viti Maalum walioteuliwa na Tume katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
  • Orodha ya Madiwani Wateule wa Viti Maalum wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2020
  • Orodha ya Wagombea wa Kiti cha Rais
  • Orodha ya Wagombea Ubunge
  • Wagombea waliopita bila kupingwa

Mawasiliano yetu

  • Address : P.O.Box 358, Dodoma, Uchaguzi House, Njedengwa Investment Area, Block D, Plot No. 4
  • Namba ya Simu : +255 22 2114963-6
  • Nukushi : +255 22 2116740, +255 22 2127075
  • Barua Pepe : uchaguzi@nec.go.tz
  • Tovuti : www.nec.go.tz

Linki za Haraka

  • Maktaba ya Tume.
  • Majukumu ya Msingi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Msajili wa Vyama vya Siasa

Kuwa karibu nasi

Jiunge na orodha ya baruapepe zetu ili uhabarishwe na kupata notisi kuhusu taarifa zetu mpya

Tufuatilie

@2021 Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haki zote zimehifadhiwa

  • Ramani ya Tovuti
  • Wasiliana Nasi