Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imepitia, kuchambua na kufanya uamuzi wa rufaa tatu na kuwarejesha wagombea Udiwani katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge na Udiwani unaotarajia kufanyika tarehe 17 Desemba mwaka 2022.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa vibali vya kutoa Elimu ya Mpiga Kura kwa Taasisi au Asasi tatu za Kiraia kwenye Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata tatu za Tanzania Bara.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inashiriki mafunzo ya siku nne ya kuwajengea uwezo wajumbe wapya na maafisa waandamizi wa Tume za Uchaguzi wa Ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kutoka katika Kata zinazotaraji kufanya uchaguzi mdogo wa udiwani Desemba 17, 2022 kutofanya kazi ya uchaguzi kwa mazoea, badala yake wazingatie sheria.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji wa uchaguzi katika Jimbo la Amini Tanzania Zanzibar kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Katiba ya Jamhuri ya Muungano, sheria za uchaguzi na kanuni zake, Maadili ya Uchaguzi na maelekezo ya Tume.
MFUMO WA USAJILI WA WATAZAMAJI