• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi Mkuu
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Maadili ya Uchaguzi
    • Rufaa za Uchaguzi Mdogo 2021
    • Miongozo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
    • Orodha ya Matokeo ya Rufaa za Ubunge zilizoamuliwa na Tume
    • Wagombea waliopita bila kupingwa
    • Wagombea katika Uchaguzi Mkuu 2020
    • Wabunge na Madiwani Wateule wa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
    • Jarida la Tume kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020
    • Mpango Mkakati wa NEC 2021/2022 – 2025/2026
    • Kura ya Maoni
    • Maelekezo
    • Orodha ya Majimbo na Kata
  • Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • NEC Online TV
    • Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Ratiba ya Kampeni za Wagombea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
    • Voters Interaction System
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida la Tume la Uchaguzi Mkuu 2020
  • Zabuni/Mnada
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Mawasiliano

Habari

Ujumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Lesotho (IEC Lesotho) wamtembelea Waziri Mkuu Mst. Mhe. Pinda

Ujumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Lesotho (IEC Lesotho) umemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda shambani kwake Zinje Jijini Dodoma na kujionea shughuli za kilimo na ufugaji zinazofanyika kwenye shamba hilo.

January 20, 2022

Ujumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi ya Lesotho wafanya ziara ya mafunzo Tume ya Taifa ya Uchaguzi

?Ujumbe wa watu wa tatu kutoka Tume Huru ya Uchaguzi ya Lesotho (IEF Lesotho) ukuingozwa na Mjumbe wa Tume hiyo,Dkt. Karabo Mokobocho Monlakoana upo nchini kwa ziara ya mafunzo ambapo wametembelea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dodoma.

January 19, 2022

Rais Samia awaapisha Mwenyekiti na Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaapisha Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele na Mjumbe wa Tume hiyo Jaji Mwanaisha Athuman Kwariko baada ya kuwateua kushika nyadhifa hizo tarehe 27 Desemba mwaka 2022.

January 14, 2022

Emmanuel Shangai aibuka mshindi wa Ubunge Jimbo la Ngorongoro katika Uchaguzi Mdogo uliofanyika Desemba 11, 2021

Mgombea Ubunge Jimbo la Ngorongoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw. Emmanuel Lekishon Shangai ametangazwa mshindi kwa kupata kura 62,017 Kati ya kura halali 62,461 katika Uchaguzi Mdogo wa jimbo hilo uliofanyika tarehe 11 Desemba, 2021.

December 13, 2021

Taarifa ya Tathmini ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2020

Taarifa ya Tathmini ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2020

November 24, 2021

Kamati ya Bunge yatembelea Ofisi za Tume ya Tiafa ya Uchaguzi zilizoo Njedengwa jijini Dodoma

?Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Nagy Kaboyoka, imetembelea Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuona Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika eneo la Njedengwa Jijini Dodoma.

October 25, 2021
  • «
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • ...
  • 30
  • 31
  • »

Habari Mpya

  • Tume yashiriki Maonesho ya Sherehe za Miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar
    January 02, 2023
  • Wapiga Kura 114,647 walioandikishwa kushiriki Uchaguzi Mdogo Jimbo la Amani na Kata Saba
    December 16, 2022
  • Wapiga Kura 114,647 walioandikishwa kushiriki Uchaguzi Mdogo Jimbo la Amani na Kata Sita za Tanzania Bara
    December 16, 2022

Nifanyaje?

  • Kujiandikisha Kupiga Kura
  • Kupiga Kura

Machapisho

  • Mpango Mkakati wa NEC 2021/22 – 2025/26
  • Taarifa ya Tathmini ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2020
  • Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa mwaka 2020
  • Wabunge Wanawake Walioteuliwa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

  • Address : P.O.Box 358, Dodoma, The National Electoral Commission, 5 Uchaguzi Road, 41107 Njedengwa Uchaguzi House
  • Namba ya Simu : +255 26 2962345-8
  • Nukushi : +255 26 2962348
  • Barua Pepe : uchaguzi@nec.go.tz
  • Tovuti : www.nec.go.tz

Linki za Haraka

  • Maktaba ya Tume.
  • Majukumu ya Msingi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Msajili wa Vyama vya Siasa

Kuwa karibu nasi

Jiunge na orodha ya baruapepe zetu ili uhabarishwe na kupata notisi kuhusu taarifa zetu mpya

Tufuatilie

@2023 Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haki zote zimehifadhiwa

  • Ramani ya Tovuti
  • Wasiliana Nasi