• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi Mkuu
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Maadili ya Uchaguzi
    • Rufaa za Uchaguzi Mdogo 2021
    • Miongozo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
    • Orodha ya Matokeo ya Rufaa za Ubunge zilizoamuliwa na Tume
    • Wagombea waliopita bila kupingwa
    • Wagombea katika Uchaguzi Mkuu 2020
    • Wabunge na Madiwani Wateule wa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
    • Jarida la Tume kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020
    • Mpango Mkakati wa NEC 2021/2022 – 2025/2026
    • Kura ya Maoni
    • Maelekezo
    • Orodha ya Majimbo na Kata
  • Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • NEC Online TV
    • Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Ratiba ya Kampeni za Wagombea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
    • Voters Interaction System
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida la Tume la Uchaguzi Mkuu 2020
  • Zabuni/Mnada
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Mawasiliano

Habari

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yakemea kauli ya Mh. Mbowe kuhusu kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015

Mwenyekiti waTume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva amewataka wagombea na viongozi wa vyama vya siasa kutumia muda mwingi kunadi ilani za vyama vyao na kuwa makini na kauli wanazotoa ili kuepusha kuleta tafsiri tofauti na kile kilichokusudiwa.

December 14, 2017

Makamishna wapya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi waapishwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mheshimiwa Mary Longway na Wakili wa kujitegemea Mheshimiwa Asina Omary kuwa Makamishna waTume ya Taifa ya uchaguzi.

August 25, 2017

Tume yakabidhi majina ya waliojiandikisha zaidi ya mara moja kwa Jeshi la Polisi

Tume ya Taifa ya Uchaguzi leo imekabidhi kwa Polisi Daftari la Wapiga Kura lenye majina ya watu wapatao 52,078 ambao walijiandikisha zaidi ya mara mbili katik azoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambalo lilifanyika nchi nzima kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.

December 13, 2017

Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Viongozi wa Dini

Tume ya Taifa ya uchaguzi Makao makuu, hapo kesho inatarajiwa kupokea fomu za uteuzi za vyama 13 kwa ajili ya uteuzi wa nafasi ya kugombea urais kwa ajili ya uchaguzi mkuu ambao utafanyika hapa nchini mwezi oktoba mwaka huu.

August 25, 2017

Vyama vya Siasa 21 vyasaini Maadili ya Uchaguzi ya Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2015

Vyama vya Siasa 21 vinavyotarajiwa kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye Mwaka huu vimesaini Maadili ya Uchaguzi yatakayotumika wakati wa kampeni, kupiga Kura na wakati wa kutangaza matokeo.

December 13, 2017

Kuahirishwa kwa zoezi la Uboreshaji kwa Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuahirishwa kwa tarehe ya kuanza kwa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Mikoa ya Dar es salaam na Pwani hadi hapo itakapotangazwa tena.

August 25, 2017
  • «
  • 1
  • 2
  • ...
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • »

Habari Mpya

  • Tume yatwaa Kombe Mchezo wa Kuvuta Kamba kwenye Bonanza la Ukaguzi
    March 20, 2023
  • Tume yashiriki Maonesho ya Sherehe za Miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar
    January 02, 2023
  • Wapiga Kura 114,647 walioandikishwa kushiriki Uchaguzi Mdogo Jimbo la Amani na Kata Saba
    December 16, 2022

Nifanyaje?

  • Kujiandikisha Kupiga Kura
  • Kupiga Kura

Machapisho

  • Mpango Mkakati wa NEC 2021/22 – 2025/26
  • Taarifa ya Tathmini ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2020
  • Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa mwaka 2020
  • Wabunge Wanawake Walioteuliwa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

  • Address : P.O.Box 358, Dodoma, The National Electoral Commission, 5 Uchaguzi Road, 41107 Njedengwa Uchaguzi House
  • Namba ya Simu : +255 26 2962345-8
  • Nukushi : +255 26 2962348
  • Barua Pepe : uchaguzi@nec.go.tz
  • Tovuti : www.nec.go.tz

Linki za Haraka

  • Maktaba ya Tume.
  • Majukumu ya Msingi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Msajili wa Vyama vya Siasa

Kuwa karibu nasi

Jiunge na orodha ya baruapepe zetu ili uhabarishwe na kupata notisi kuhusu taarifa zetu mpya

Tufuatilie

@2023 Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haki zote zimehifadhiwa

  • Ramani ya Tovuti
  • Wasiliana Nasi