Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inazialika Taasisi na Asasi za Kiraia kutuma maombi ya kibali cha kutoa Elimu ya Mpiga Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Amani na Kata 12 za Tanzania Bara unaotarajiwa kufanyika tarehe 17 Desemba, 2022.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imefanya Uteizi wa Madiwani 10 Wanawake wa Viti Maalum kujaza nafasi wazi za Madiwani katika Kata na Halmashauri 10 za Tanzania Bara
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Amani katika Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi, Tanzania Zanzibar na Madiwani katika Kata 11 za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 17 Desemba mwaka 2022.
?Wajumbe sita (6) wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wamehudhuria Warsha ya kujengea uwezo Tume za Uchaguzi na wadau wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) inayofanyika jijini Dar es Salaam.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa maelezo kuhusu vigezo na sifa za mgombea Uspika na Ubunge katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mpango Mkakati wa NEC 2021/22 – 2025/26