• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi Mkuu
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Maadili ya Uchaguzi
    • Rufaa za Uchaguzi Mdogo 2021
    • Miongozo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
    • Orodha ya Matokeo ya Rufaa za Ubunge zilizoamuliwa na Tume
    • Wagombea waliopita bila kupingwa
    • Wagombea katika Uchaguzi Mkuu 2020
    • Wabunge na Madiwani Wateule wa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
    • Jarida la Tume kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020
    • Mpango Mkakati wa NEC 2021/2022 – 2025/2026
    • Kura ya Maoni
    • Maelekezo
    • Orodha ya Majimbo na Kata
  • Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • NEC Online TV
    • Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Ratiba ya Kampeni za Wagombea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
    • Voters Interaction System
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida la Tume la Uchaguzi Mkuu 2020
  • Zabuni/Mnada
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Mawasiliano
  • Jarida la Uchaguzi

Habari

NEC yazindua programu ya utoaji wa Elimu ya Mpiga Kura katika Shule za Sekondari

?Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imezindua rasmi programu ya utoaji wa Elimu mpiga kura endelevu nchini, kwa kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari ya wasichana ya Songe iliyoko nje kidogo ya Manispaa ya Musoma mkoani Mara.

December 14, 2017

NEC yaanzisha programu endelevu Ya kutoa Elimu ya Mpiga Kura.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutekeleza programu endelevu za kutoa elimu ya mpiga kura ili kuwaelimisha wananchi waliofikisha umri wa kupiga kura kutekeleza wajibu na haki waliyonayo kikatiba ya kupiga kura katika chaguzi zijazo.

December 14, 2017

Tume za Uchaguzi za SADC zaipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015

Tanzania imepongezwa kwa kufanikisha kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015 kwa amani na Utulivu mkubwa licha ya ushindanimkubwa wa kisiasa uliojitokeza kwenye Uchaguzi huo.

August 28, 2017

Jaji Lubuva amjulia hali Spika wa Bunge Job Ndugai nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva leo amemtembelea Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Job Ndugai nyumbani kwake Jijini Dar es Salam na kumjulia hali baada ya kurejea kutoka nchini India alikokwenda kwa ajili ya matibabu.

August 28, 2017

Mkurugenzi wa Uchaguzi ashiriki kutoa Elimu ya Mpiga Kura katika Viwanja vya nanenane Morogoro

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani Kombwey ametembelea banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi lililopo katika viwanja vya J.K. Nyerere mjini Morogoro na kushiriki katika utoaji wa Elimu ya Mpiga Kura kwa wadau mbalimbali wa Uchaguzi.

August 28, 2017

Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi waendelea Kuhamasisha Wananchi Mkoani Morogoro kutembelea banda la Tume

Watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wameendelea kuelimisha wananchi juu ya maswala ya Uchaguzi kwa kutumia vyombo vya habari vya Mkoani Morogoro sambamba na kutoa Elimu ya Mpiga Kura kwenye banda la Tume liloko kwenye viwanja vya Nanenane mjini Morogoro.

August 28, 2017
  • «
  • 1
  • 2
  • ...
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • »

Habari Mpya

  • Tume yatangaza matokeo ya Uchaguzi Jimbo la Mbarali na Kata Sita za Tanzania Bara
    September 21, 2023
  • ?Mwenyekiti wa Tume Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele atembelea na kukagua Uchaguzi Mdogo Jimbo la Mbarali
    September 19, 2023
  • Wapiga kura 216,282 kupiga kura uchaguzi mdogo wa Mbarali na kata sita
    September 19, 2023

Nifanyaje?

  • Kujiandikisha Kupiga Kura
  • Kupiga Kura

Machapisho

  • Jarida la Uchaguzi, Agosti, 2023
  • Jarida la Uchaguzi Toleo la Julai, 2023
  • Jarida la Uchaguzi Toleo la Machi, 2023
  • Jarida la Uchaguzi Toleo la Februari, 2023
  • Jarida la Uchaguzi Toleo la Januari, 2023
Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

  • Address : P.O.Box 358, Dodoma, The National Electoral Commission, 5 Uchaguzi Road, 41107 Njedengwa Uchaguzi House
  • Namba ya Simu : +255 26 2962345-8
  • Nukushi : +255 26 2962348
  • Barua Pepe : uchaguzi@nec.go.tz
  • Tovuti : www.nec.go.tz

Linki za Haraka

  • Maktaba ya Tume.
  • Majukumu ya Msingi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Msajili wa Vyama vya Siasa

Kuwa karibu nasi

Jiunge na orodha ya baruapepe zetu ili uhabarishwe na kupata notisi kuhusu taarifa zetu mpya

Tufuatilie

@2023 Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haki zote zimehifadhiwa

  • Ramani ya Tovuti
  • Wasiliana Nasi