Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inashiriki mafunzo ya siku nne ya kuwajengea uwezo wajumbe wapya na maafisa waandamizi wa Tume za Uchaguzi wa Ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kutoka katika Kata zinazotaraji kufanya uchaguzi mdogo wa udiwani Desemba 17, 2022 kutofanya kazi ya uchaguzi kwa mazoea, badala yake wazingatie sheria.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji wa uchaguzi katika Jimbo la Amini Tanzania Zanzibar kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia Katiba ya Jamhuri ya Muungano, sheria za uchaguzi na kanuni zake, Maadili ya Uchaguzi na maelekezo ya Tume.
MFUMO WA USAJILI WA WATAZAMAJI
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inawaalika Watazamaji wa Ndani wa Uchaguzi Mdogo Jimbo la Amani Zanzibar na Kata 12 za Tanzania Bara utakaofanyika tarehe 17 Desemba, 2022.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza nafasi za kazi za muda za Watendaji wa Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Amani Zanzibar