• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi Mkuu
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Maadili ya Uchaguzi
    • Rufaa za Uchaguzi Mdogo 2021
    • Miongozo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
    • Orodha ya Matokeo ya Rufaa za Ubunge zilizoamuliwa na Tume
    • Wagombea waliopita bila kupingwa
    • Wagombea katika Uchaguzi Mkuu 2020
    • Wabunge na Madiwani Wateule wa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
    • Jarida la Tume kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020
    • Mpango Mkakati wa NEC 2021/2022 – 2025/2026
    • Kura ya Maoni
    • Maelekezo
    • Orodha ya Majimbo na Kata
  • Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • NEC Online TV
    • Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Ratiba ya Kampeni za Wagombea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
    • Voters Interaction System
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida la Tume la Uchaguzi Mkuu 2020
  • Zabuni/Mnada
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Mawasiliano

Mzunguko wa Uchaguzi

MZUNGUKO WA UCHAGUZI TANZANIA

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Ibara ya 65 inaelekeza kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ufanyike kila baada ya kipindi cha miaka mitano (5). Kama ilivyo kwa Nchi nyingine Duniani, katika kuendesha shughuli za Uchaguzi, Tanzania hutumia utaratibu wa mzunguko wa Uchaguzi ambao shughuli zake hugawanywa katika awamu tatu (3). Awamu hizo ni shughuli kabla, wakati na baada ya Uchaguzi.

Hivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetekeleza mfumo wa mzunguko wa Uchaguzi kwa kufuata awamu hizo Tatu kama ifuatavyo:

(a) Kabla ya Uchaguzi

Shughuli zilizofanyika katika awamu kabla ya Uchaguzi ni pamoja na:

(i) Uandaaji wa Bajeti;

(ii) Uandikishaji wa Wapiga Kura;

(iii) Ununuzi wa Vifaa;

(iv) Uandaaji wa Kalenda na Mpango wa Utekelezaji;

(v) Marekebisho ya Sheria na Maelekezo ya Watendaji na Wadau wa Uchaguzi;

(vi) Mafunzo kwa Watendaji wa Uchaguzi;

(vii) Kutoa Elimu ya Mpiga Kura; na

(b) Wakati wa Uchaguzi

Katika awamu hii, Tume ilifanya shughuli zifuatazo:

(i) Uteuzi wa Wagombea;

(ii) Uratibu wa Kampeni za Wagombea.

(iii) Utekelezaji wa Kamati za Maadili;

(iv) Usajili wa Watazamaji wa Uchaguzi.

(v) Kuchapa na kusambaza Karatasi za Kura;

(vi) Kusambaza Vifaa vya Uchaguzi;Upigaji Kura;

(vii) Kuhesabu Kura; na

(viii) Kutangaza Matokeo.

(c) Baada ya Uchaguzi

Katika awamu hii, Tume inafanya shughuli zifuatazo:

(i) Tathmini baada ya Uchaguzi Mkuu;

(ii) Kushughulikia Kesi za Uchaguzi; na

(iii) Kuandaa Taarifa ya Uchaguzi Mkuu.

(iv) Marekebisho ya Sheria za Uchaguzi;

(v) Kupitia na kuboresha Daftari la Wapiga Kura;

(vi) Kupitia na kuboresha Mifumo ya Uchaguzi;

(vii) Kupitia na kuboresha mipaka ya Majimbo ya Uchaguzi;

(viii) Kupitia na kuboresha Muundo wa Tume;

(ix) Ukaguzi wa matumizi ya fedha na vifaa vilivyotumika katika Uchaguzi Mkuu;

(x) Kupitia Mpango Mkakati; na

(xi) Kuandaa Mpango Kazi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu unaofuata. Bofya Hapa.

Habari Mpya

  • Tume yatwaa Kombe Mchezo wa Kuvuta Kamba kwenye Bonanza la Ukaguzi
    March 20, 2023
  • Tume yashiriki Maonesho ya Sherehe za Miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar
    January 02, 2023
  • Wapiga Kura 114,647 walioandikishwa kushiriki Uchaguzi Mdogo Jimbo la Amani na Kata Saba
    December 16, 2022

Nifanyaje?

  • Kujiandikisha Kupiga Kura
  • Kupiga Kura

Machapisho

  • Mpango Mkakati wa NEC 2021/22 – 2025/26
  • Taarifa ya Tathmini ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2020
  • Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge wa mwaka 2020
  • Wabunge Wanawake Walioteuliwa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

  • Address : P.O.Box 358, Dodoma, The National Electoral Commission, 5 Uchaguzi Road, 41107 Njedengwa Uchaguzi House
  • Namba ya Simu : +255 26 2962345-8
  • Nukushi : +255 26 2962348
  • Barua Pepe : uchaguzi@nec.go.tz
  • Tovuti : www.nec.go.tz

Linki za Haraka

  • Maktaba ya Tume.
  • Majukumu ya Msingi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Msajili wa Vyama vya Siasa

Kuwa karibu nasi

Jiunge na orodha ya baruapepe zetu ili uhabarishwe na kupata notisi kuhusu taarifa zetu mpya

Tufuatilie

@2023 Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haki zote zimehifadhiwa

  • Ramani ya Tovuti
  • Wasiliana Nasi