• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi Mkuu
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Maadili ya Uchaguzi
    • Rufaa za Uchaguzi Mdogo 2021
    • Miongozo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
    • Orodha ya Matokeo ya Rufaa za Ubunge zilizoamuliwa na Tume
    • Wagombea waliopita bila kupingwa
    • Wagombea katika Uchaguzi Mkuu 2020
    • Wabunge na Madiwani Wateule wa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
    • Jarida la Tume kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020
    • Mpango Mkakati wa NEC 2021/2022 – 2025/2026
    • Kura ya Maoni
    • Maelekezo
    • Orodha ya Majimbo na Kata
  • Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • NEC Online TV
    • Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Ratiba ya Kampeni za Wagombea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
    • Voters Interaction System
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida la Tume la Uchaguzi Mkuu 2020
  • Zabuni/Mnada
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Mawasiliano

labels.lbl_photo_galleries

Maonesho ya Nanenane Morogoro 2016

Maonesho ya Nanenane Morogoro 2016

May 07, 2016
1
kkkk
nn

Nyingine

Dec 09, 2015
2
mwenyekiti mstaafu wa tume ya taifa ya uchaguzi Jaji Mst Damian Lubuva akimkabidhi mwenyekiti mpya wa Tume Jaji (R) Kaijage
Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani akimkaribisha Mwenyekiti mpya wa Tume Jaji (R) Kaijage
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Rufaa Mhe. Semistocles Kaijage (Katikati) akizungumza na Msimamizi kituo cha Dimani Bi. Abdu Simai Haji leo wakati zoezi la upigaji kura likiendelea katika jimbo la Dimani
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji  Mst. Hamid Mahmoud Hamid akizungumza na ujumbe wa Tume ya Taifa ya Mshikamano na Umoja ya Kenya (NCIC) (haupo pichani) wakati ulipotembelea NEC kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Uchaguzi.Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Adolf  Kinyero.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe.  Jaji Mst. Hamid Mahmoud Hamid akizungumza na ujumbe wa Tume ya Taifa ya Mshikamano na Umoja ya Kenya (NCIC) na baadhi ya Maafisa wa Tume.
Mkurugenzi wa Programu wa Tume ya Taifa ya Mshikamano na Umoja ya Kenya (NCIC), Bi Millicent Apond Okatch (wa tatu kulia) akifafanua jambo mbele ya Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Mst. Hamid Mahmoud Hamid (wa nne kushoto).Kushoto ni Makamishna wa (NCIC) Mhe. Richard Nderito, Mhe. Prof. Gitile Naituli na Mhe. Morris Dzoro.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji  Mst. Hamid Mahmoud Hamid 9katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na makamishna wa Tume ya Taifa ya Mshikamano na Umoja ya Kenya (NCIC) na baadhi ya maafisa wa NEC.
Wapiga Kura wakikagua majina yao tayari kwa Uchaguzi Mkuu siku ya Jumapili Oktoba 25 Jijini Dar es Salaam 22-10-2015.
Baadhi ya Wahariri wa Vyombo vya Habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi Ramadhan Kailima (hayupo pichani) katika Mkutano wa Tume na wahariri tarehe 1-10-2015
Waangalizi wa Uchaguzi kutoka SADC wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume Jaji Damian Lubuva baada ya kukutana nao tarehe 15-10-2015
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Watu wenye Ulemavu katika Hotel ya New Africa 29.09.2015
Mwenyekiti wa Tume Jaji Damian Lubuva akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo yakuzingatiwa kabla ya upigaji kura pamoja na kauli ya mwisho ya Tume kabla ya Uchaguzi leo tarehe 24-10-2015
Mpiga Kura akipiga Kura yake katika Kituo cha Mbagala Kuu 25-10-2015
Kura akipiga Kura yake katika Kituo cha Makumbusho 25-10-2015
Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhan akikagua Majina yaliyochanwa ya Wapiga Kura kabla ya Uchaguzi kwenye Jimbo la Kijitoupele Zanzibar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu na Bunge Jenista Mhagama akizungumza na wabunge wa Kamati ya Sheria Katiba na Utawala ilipokutana na Menejimenti ya Tume jijini Dar es Salaam 13-04-2016
Jaji Damian Lubuva na Wajumbe wa Tume wakiwa katika Picha ya pamoja na wadau wa Uchaguzi mara baada ya kuwakabidhi vyeti vya Shukrani katika Ukumbi wa JK Nyerere Dar es Salaam 19/04/2016
Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakishiriki katika Siku ya wafanyakazi Duniani Mei Mosi katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam 1-5-2016
Mwakilishi wa NIDA Bw.Mohamed Mashaka akipokea BVR kits kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Daftari la Wapiga Kura Amos Madaha 18-5-2016
Mkuu wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya Judith Sargentini akikabidhi ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume Jaji Damian Lubuva 1-6-2016
Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipokea mfano wa Hundi ya T.sh 12 Bilioni kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume Jaji Damian Lubuva na Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani, fedha ambazo zilibaki baada ya kumalizika Uchaguzi Mkuu wa 2015,Ikulu Jijini Dar es
Mwenyekiti wa Tume Jaji Damian Lubuva akimkabidhi ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli Ikulu Dar es Salaam 23-6-2016
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva akipata maelezo kuhusu eneo ambalo Tume imepatiwa kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ofisi toka kwa Meneja Miradi wa Mamlaka ya Ustawishaji Makuu (CDA)
Maafisa wa Tume wakiwafafanulia mambo ya Uchaguzi baadhi ya Vijana waliotembelea banda la Tume katika viwanja vya Sabasaba 30-6-2016
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva katikati,akiwa na Makamishna Mary Longway na Asina Omari pamoja na watumishi wa Tume katika banda la Tume viwanja vya nanenane mjini Morogoro
Mwenyekiti wa Tume Jaji Damian Lubuva akiwapa Maelekezo baadhi ya watumishi wa Tume jinsi ya kuendelea kutoa Elimu ya Mpiga Kura katika banda la Tume Viwanja vya Nanenane Mkoani Morogoro
Maafisa wa Tume Rose Malo na Hamidu Mwanga wakiwa katika kipindi cha Morning Special cha Radio Abood Mjini Morogoro
Mwenyekiti wa Tume Jaji Damian Lubuva akizungumza na Spika wa Bunge Job Ndugai alipomtembelea nyumbani kwake Salasala ili kumjulia hali
Mwenyekiti wa Tume Jaji Damian Lubuva,Kailima Ramadhani Mkurugenzi wa Uchaguzi na Emanuel Kawishe Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wakiwa kwenye Mkutano wa 18 wa ECF SADC Jijini Gaborone Botswana Jumanne 23,Agosti 2016
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani (kulia) akitoa ufafanuzi kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene kuhusu majukumu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi alipotembe banda
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Margareth Chambiri (kulia) akiwakaribisha Naibu Mawaziri Mhe. Anthony Mavunde Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira na Vijana na Mhe. Abdallah Possi (Mwenye Kofia) Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bi. Margareth Chambiri kwenye banda la maonesho la Tume ,Bariadi Simiyu.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mst. Damian Lubuva (kushoto) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama, wakionesha Taarifa ya Tathmini Baada ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge
Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mst. Damian Lubuva akimkabidhi Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2015 Bi. Sue Nelson Kiongozi wa Timu ya Tathmini ya Mradi wa Ukuzaji wa Demokrasia wa UNDP nchini Tanzania
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akitoa ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali ya utendaji wa NEC katika kipindi cha Power Breakfast kinachorushwa na Kituo cha Redio cha Clouds FM
Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa kamati ya Ushauri ya mkoa wa Ruvuma wakifuatilia elimu ya mpiga kura
Wakuu wa Idara na Vitengo toka Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakiwa katika mafunzo ya Uongozi mkakati ambayo yameandaliwa kwa pamoja kati ya Tume ya Taifa ya uchaguzi na Taasisi ya Uongozi kwenye Ukumbi wa Hazina Mjini Dodoma
Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji Mstaafu Mary Longway (kulia) akitoa elimu ya mpiga kura kwenye mkutano wa kamati ya Ushauri ya mkoa wa Ruvuma uliofanyika kwenye halmashauri ya manispaa ya Songea mkoani Ruvuma
Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa NEC Bw. Emmanuel Kawishe, akitoa elimu ya mpiga kura kwenye mkutano wa kamati ya Ushauri ya mkoa wa Ruvuma uliofanyika kwenye halmashauri ya manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.
Mmoja wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Songea akiuliza maswali baada ya kupata elimu ya mpiga kura.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bw. Kailima Ramadhani (kulia) akifafanua jambo wakati alipokutana na ujumbe kutoka Chama cha Bodi za Uchaguzi Duniani (AWEB)
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bw. Kailima Ramadhani (kulia) akiweka kidole kwenye mashine ya kuandikisha Wapiga kura huku Mkuu wa Sehemu ya Kanzidata ya Daftari na Mifumo ya Kijiografia Adolf Kinyero akishuhudia.
Mkurugenzi wa Daftari la Wapiga Kura, Mhandisi Manyiri Isack (kushoto) akimuonesha Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bw. Kailima Ramadhani (katikati) kamera kwenye mashine ya kuandikisha wapiga kura wakati ujumbe kutoka Chama cha
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhan akiongoza kikao cha Tume cha maandalizi ya Uchaguzi mdogo katika jimbo la Dimani, Zanzibar Desemba 12,2016
Wakuu wa Idara na Sekretarieti ya Tume wakiwa kwenye kikao cha Tume cha maandalizi ya Uchaguzi katika jimbo la Dimani, Zanzibar, Desemba 12, 2012
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Mstaafu Damiani Lubuva (kushoto) akiongoza kikao cha Wajumbe wa Tume na Sekretarieti cha Usaili wa kuwapata Mratibu na Msimamizi wa Uchaguzi mdogo katika jimbo la Dimani, Zanzibar.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhan (katikati) akitoa ufafanuzi kwa Wajumbe wa Tume na Sekretarieti ya Tume wakati wa kikao cha Usaili wa nafasi ya Mratibu na Msimamizi wa Uchaguzi mdogo katika jimbo la Dimani.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akiongoza kikao cha Wajumbe wa Tume na Sekretarieti kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi mdogo katika jimbo la Dimani mjini Zanzibar
Wajumbe na Sekretarieti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiwa katika picha ya pamoja wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume Jaji Mstaafu Damiani Lubuva baada ya kikao cha maandalizi ya Uchaguzi mdogo jimbo la Dimani, Zanzibar.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akifungua kikao cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi na vyama vya Siasa vitakavyoshiriki katika uchaguzi mdogo katika jimbo la Dimani Zanzibar
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani akitoa ufafanuzi kwa viongozi wa vyama vya Siasa kuhusu maadili ya kuzingatia na vyama vya Siasa uchaguzi mdogo jimbo la Dimani
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damiani Lubuva (kushoto) akizungumza na viongozi Chama cha CUF mjini Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa Tume na Vyama vya Siasa Zanzibar kujadili uchaguzi mdogo jimbo Dimani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji Semistocles Kaijage (kushoto) na Mwenyekiti mstaafu Jaji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mstaafu Hamid M. Hamid (Kulia) Ikulu jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhan (kushoto) akimkaribisha Mwenyekiti mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mhe. Jaji Semistocles Kaijage (kulia) kwenye Ofisi za Tume, Dar es salaam.
Watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakimpokea Mwenyekiti mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Mahakama ya Rufani Mhe. Jaji Semistocles Kaijage alipowasili katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Posta, jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mhe. Jaji Semistocles Kaijage (kushoto) akizungumza na Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ofisini kwake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha Mwenyekiti mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mhe. Jaji Semistocles Kaijage, Ikulu jijini Dar es salaam
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw.kailima Ramadhan akifungua mafunzo ya siku 3 ya Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya jimbo na Kata na Maafisa wa Uchaguzi mjini Dodoma.
-Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhan akitoa ufafanuzi kuhusu uwekaji wa vituturi vya kupigia kura vituoni wakati wa mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi mdogo utakaofanyika Januari 22,2017
Washiriki wa mafunzo ya Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata kutoka Kanda ya Kaskazini na Pwani wakiendelea na mafunzo ya kuwajengea uwezo kwenye Uchaguzi mdogo wa Januari 22, 2017
Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya jimbo na Kata na Maafisa wa Uchaguzi watakaosimamia Uchaguzi mdogo wa tarehe 22 Januari 2017 wakiwa kwenye mafunzo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage akipokea maelezo kuhusu mabango ya Uchaguzi kutoka kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Kata ya Ngh’ambi James Mkinga (wa tatu kushoto) wakati alipokuwa akikagua mabango hayo nje ya kituo
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Kata ya Ngh’ambi James Mkinga (wa pili kulia) akimueleza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji (R) Semistocles Kaijage (wa pili kushoto aliyekaa) kuhusu mwenendo wa Uchaguzi Mdogo wa Kata hiyo unaotarajiwa kufan
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Kata ya Ngh’ambi James Mkinga (aliyesimama) akitoa taarifa ya mwenendo wa Uchaguzi Mdogo wa kata hiyo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (R) Semistocles Kaijage (kulia) akieleza jambo baada ya kukagua mabango ya Uchaguzi kwenye kituo cha kupigia kura cha kata ya Ngh’ambi.Katikati ni Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa NEC Bw. Emmanuel Kawishe.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mpwapwa Bw. Mohamed Maje (kulia) akitoa ufafanuzi kwa Mwenyekiti wa Tume Jaji (R) Semistocles Kaijage (katikati) kuhusu maandalizi Uchaguzi mdogo Kata ya Ngh'ambi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Tume Bw. Emm
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage (kushoto), Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa NEC, Bw. Emmanuel Kawishe na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Dimani Bi. Idaya Seleman Hamza wakiwasili kituo kituo cha kupig
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage akiangalia orodha ya majina ya wapiga kura 603 yaliyobandikwa katika kituo cha cha Skuli ya Maandalizi ya Nyamanzi Dimani Zanzibar. Kulia ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la
Mwenyekiti wa Tume, Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage, Makamu Mwenyekiti Mhe. Jaji Mst. ZnZ Mhe. Hamid M.Hamidi wakiwa katika picha ya pamoja na Watendaji wa Tume baada ya kukagua maandalizi ya Uchaguzi jimbo la Dimani Zanzibar.
Mwenyekiti wa Tume, Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari mjini Zanzibar kuhusu upigaji wa Kura katika Uchaguzi mdogo utakaofanyika Januari 22,2017
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Rufaa Mhe. Semistocles Kaijage (Kushoto) akizungumza na Mawakala wa Vyama vya Siasa waliokuwepo ndani ya kituo cha kupigia Kura cha Kombeni katika jimbo la Dimani
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji wa Rufaa Mhe. Semistocles Kaijage (Katikati) akizungumza na Msimamizi kituo cha Dimani Bi. Abdu Simai Haji leo wakati zoezi la upigaji kura likiendelea katika jimbo la Dimani
Wananchi wakiangalia majina yao kabla ya kupiga kura katika kituo cha Bweleo katika jimbo la Dimani
Baadhi ya Wangalizi wa Uchaguzi katika jimbo la Dimani wakifuatilia matukio mbalimbali wakati wa Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Dimani
Mwenyekiti wa Tume Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti Mstaafu wa Tume Jaji Damiani Lubuva , Wajumbe wa Tume na Sekretarieti ya Tume.
Mwenyekiti Mstaafu wa Tume, Mhe.Jaji Damian Lubuva akimkabidhi taarifa ya utendaji wa Kazi Mwenyekiti mpya wa Tume Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage (kushoto)
Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Emmanuel Kawishe akitoa elimu ya Mpiga Kura kupitia kituo cha Redio Kasibante FM cha mjini Bukoba.
Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Emmanuel Kawishe akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Bukoba.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Bukoba wakisikiliza Elimu ya Mpiga Kura kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Emmanuel Kawishe (hayupo pichani)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji (R) Semistocles Kaijage akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani akizungumza jambo kabla ya ufunguzi wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume jijini Dar es salaam.
Mgeni Rasmi wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji (R) Semistocles Kaijage (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja ya na Wakuu wa Idara za Tume
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Mst. Hamid Mahmoud Hamid akizungumza na ujumbe wa Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utengamano ya Kenya (NCIC) na baadhi ya Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji Mst. Hamid Mahmoud Hamid (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na makamishna wa Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utengamano kutoka Kenya jijini Dar es salaam
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani wakipita mbele ya jukwaa kuu Siku ya Wafanyakazi Duniani 2017 uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiwa jukwaa la uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kusherehekea Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wakiungana na wafanyazi wenzao kuimba wimbo wa Mshikamano wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani 2017.
Mwenyekiti wa Tume Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage (Kulia) akisalimiana na Wabunge wa Bunge la Msumbiji wa Kamati ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa waliotembelea ofisi za Tume.
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe (kushoto) akiwaeleza Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa ya Bunge la Msumbiji namna Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania inavyotekeleza majukum
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage (katikati) akitoa ufafanuzi kuhusu majukumu ya Tume kwa Wabunge wa Bunge la Msumbiji ambao ni Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa waliotembel
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (NEC) Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage (wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Utawala na Serikali za Mitaa ya Bunge la Msumbiji waliozitembelea Ofisi za Tu
Mwenyekiti wa Tume ) Jaji (R) Mhe. Semistocles Kaijage (kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa Kamati ya ya Utawala na Serikali za Mitaa ya Bunge la Msumbiji, Mhe. Lucas Chomera Jeremiah
Mwenyekiti wa Tume Jaji (R) Semistocles Kaijage akiangalia bidhaa za nguo alipotembelea maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba 2017 jijini Dar es salaam
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na baadhi ya watendaji na watumishi wa Tume alipotembelea Ofisi za Tume
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani (Kulia) akimweleza jambo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kushoto) alipotembelea Ofisi za Tume
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akitazama moja ya Daftari la Wapiga Kura alipotembelea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam
Afisa TEHAMA wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Julius Kobelsiki akitoa ufafanuzi kuhusu Mashine ya kuandikisha Wapiga Kura ya BVR kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama alipotembelea Ofi
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani (wa pili kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na watangazaji wa Redio AFM ya mjini Dodoma, Elizabeth Kachenje (kushoto kwake) na Victor Simon (kushoto) baada ya kutoa elimu ya mpiga kura mkoani humo. Kulia ni Afisa wa Tume Mawazo Bikenye.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani (kulia) akifafanua jambo wakati akitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia Redio AFM ya mjini Dodoma.Kushoto ni watangazaji Elizabeth Kachenje na Victor Simon.
Mwenyekiti wa Tume Jaji (R) Semistocles Kaijage akifungua mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi Mjini Dodoma.
Wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wakila kiapo cha kujitoa kuwa mwanachama wa Chama cha Siasa na Kutunza Siri kabla ya kuanza kwa mafunzo ya siku tatu
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, James Karayemaha akiwasimamia wasimamizi na wasimamizi wasidizi wa uchaguzi kula kiapo cha Kutunza Siri na Kujitoa Uanachama
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata, Bi. Rukia Masalu (kulia) akimalizia kubandika orodha ya majina ya wagombea walioteuliwa kushiriki kinyang’anyiro cha Udiwani Kata ya Mhandu iliyopo kwenye Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
Baadhi ya wananchi wakipitia orodha ya majina ya wagombea walioteuliwa kushiriki kinyang’anyiro cha Udiwani Kata ya Mhandu iliyopo kwenye Halmashauri ya Jiji la Mwanza.
Mwenyekiti wa Tume, Jaji Semistocles Kaijage (katikati) akiongoza kikao cha Tume kupitia rufaa za wagombea udiwani pamoja uteuzi wa Wanawake wa udiwani wa viti Maalum.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Jaji Mkuu Mstaafu (Z) Hamid Mahmoud Hamid na Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi kailima ramadhani.
Viongozi wa Vyama vya Siasa wakiwa kwenye mkutano ulioandaliwa na Tume kujadili Uchaguzi mdogo wa Madiwani.
Viongozi wa Vyama vya Siasa wakiwa kwenye mkutano ulioandaliwa na Tume kujadili Uchaguzi mdogo wa Madiwani.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa kwenye mkutano wa Tume na vyama hivyo ikiwa ni maandalizi ya uchaguzi mdogo wa Novemba 26, 2017.
Wajumbe wa Tume wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume Jaji(R) Semistocles Kaijage wakisikiliza michango ya Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu uchaguzi mdogo wa Madiwani utakaofanyika Novemba 26, 2017.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani akitoa mada kwa viongozi wa vyama vya siasa wakati Tume ilipokutana na vyama vya siasa jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage (kushoto) akisalimiana na Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Pwani Casimir mabina.Katikati ni Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha UDP Saumu Rashid.
KUELEKEA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI: Tume ikipokea maoni ya viongozi wa vyama vya Siasa kwenye Mkutano wa Tume na Vyama vya Siasa jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Tume Jaji Semistocles Kaijage akisisitiza jambo wakati akizungumza na Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidi wa Uchaguzi Katika Manispaa ya Moshi 20.11.2017. Kushoto ni Mwanasheria Mwandamizi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Mtibora Selemani.
Mkazi wa Kata Muriet jijini Arusha wakiendelea na mchakato wa upigaji wa Kura katika Kata hiyo kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani
Karani Mwongozaji akitoa usaidizi wa kuwaangalizia majina kwenye orodha ya wapiga Kura kituoni baadhi ya wanawake wa kabila la Masai waliojitokeza kupiga Kura kwenye uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Muriet Arusha
Katibu wa Kikao cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani akieleza jambo kwenye kikao cha Tume kilichokaa Jumapili hii jijini Dar es Salaam kujadili utekelezaji wa majukumu ya Tume.Katikati ni Mwenyekiti wa NEC Mhe. Jaji (R) Semistocles Kaijage na kushoto ni Makamu Mwenyekiti Mhe. Jaji Mkuu Mst. wa Zanzibar Hamid Mahmoud Hamid.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC) Jaji (R) Semistocles Kaijage akiongoza kikao cha Tume kilichokaa leo jijini Dar es Salaam kujadili mambo yanayohusu utendaji wa NEC.Kulia kwake ni Makamu Mwenyekiti Jaji Mkuu Mst. (Znz) Hamid Mahmoud Hamid na Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji (R) Semistocles Kaijage akifungua mkutano baina ya vyama vya siasa na NEC Jijini Dar es Salaam leo (Jumapili), ikiwa ni maandalizi kuelekea uchaguzi mdogo wa wabunge na madiwani kwenye Majimbo Matatu na Kata Sita utakaofanyika tarehe 13, Januari, 2018 na Majimbo mengine Mawili na Kata Nne utakaofanyika Tarehe 17, Februari, 2018.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Ramadhan Kailima akiwasilisha mada kwenye mkutano baina ya vyama vya siasa na NEC Jijini Dar es Salaam leo (Jumapili), ikiwa ni maandalizi kuelekea uchaguzi mdogo wa wabunge na madiwani kwenye Majimbo Matatu na Kata Sita utakaofanyika tarehe 13, Januari, 2018 na Majimbo mengine Mawili na Kata Nne utakaofanyika Tarehe 17, Februari, 2018.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa waliohudhuria mkutano baina ya vyama vya siasa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jijini Dar es Salaam leo (Jumapili), ikiwa ni maandalizi kuelekea uchaguzi mdogo wa wabunge na madiwani kwenye Majimbo Matatu na Kata Sita utakaofanyika Januari 13, 2018 na Majimbo mengine Mawili na Kata Nne utakaofanyika Februari 17, 2018.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja viongozi kutoka vyama vyama vya siasa 19 vilivyoshiriki mkutano wa Tume na vyama vya siasa.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage akizungumza na waandishi wa habari nje ya mkutano wa Tume na viongozi wa vyama vya siasa.
Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Boniface Lihamwike akiwaapisha wasiamamizi wasaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kinondoni na kata zake wakati wa mafunzo ya maandalizi ya Uchaguzi Mdogo.
Kaimu Mkuu wa Sehemu ya Uchaguzi Kanda ya Pwani kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Stephen Elisante akizungumza na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi wa ngazi ya Jimbo la Kinondoni na Kata za jimbo hilo kwenye mafunzo ya maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Februari 17, 2018.
Mgombea Ubunge jimbo la kinondoni kupitia Chama cha Wananchi CUF, Rajab Salim Juma (kushoto) akikabidhiwa nakala ya Fomu ya Uteuzi na Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo la Kinondoni Bw.Aron Kagurumujuli (kulia)
Mgombea Ubunge jimbo la kinondoni kupitia Chama cha DEMOKRASIA MAKINI Bw. John Januari Mboya akihakikiwa fomu zake za Uteuzi mara baada ya kuziwasilisha kwenye ofisi za Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Kinondoni.
MGOMBEA Ubunge katika jimbo la Kinondoni kupitia Chama Cha mapinduzi - CCM, Maulid Said Mtulia (Kushoto) akikabidhiwa nakala ya Fomu ya Uteuzi na Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Kinondoni (Kulia) Bw. Aron Kagurumujuli.
MGOMBEA Ubunge Kinondoni kupitia TLP Dkt. Goffrey Fataeli Malisa akikabidhiwa nakala ya fomu ya Uteuzi na Msimaizi wa Uchaguzi jimbo la kINONDONI (Kulia) Bw. Aron Kagurumujuli.
MGOMBEA Ubunge Kinondoni kupitia CHADEMA, Mwalim Salim Juma akikabidhiwa nakala ya fomu ya Uteuzi na Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo la KINONDONI (Kulia) Bw. Aron Kagurumujuli.
MGOMBEA Ubunge katika jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha UMD, Mwajuma Noty Mirambo (Kushoto) akikabidhiwa nakala ya Fomu ya Uteuzi na Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Kinondoni (Kulia) Bw. Aron Kagurumujuli.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)  Bw. Ramadhan Kailima (katikati) na baadhi ya Watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakimsikiliza Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Kata ya Kijitonyama Elizabeth Minga walipotembelea baadhi ya Vituo vya Kupigia Kura vilivyohamishiwa katika jimbo la Kinondoni, Dar es salaam.
Watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  wakiongozwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)  Bw. Ramadhan Kailima (mwenye kofia) wakiendelea kupita katika baadhi ya vituo vya kupigia Kura katika Kata ya Bwawani jimbo la Kinondoni jijini Dar es salaam.
Watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  wakiongozwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)  Bw. Ramadhan Kailima (mwenye kofia) wakiendelea kupita katika baadhi ya vituo vya kupigia Kura katika Kata ya Bwawani jimbo la Kinondoni jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Ramadhan Kailima (kulia) akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Emmanuel Kawishe  wakati wa ziara ya kutembelea baadhi ya vituo vilivyohamishwa katika jimbo hilo kutokana na kuwa katika nyumba za Ibada, Zahanati na maeneo ya majengo ya watu binafsi.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (R) Semistocles Kaijage aongoza kikao cha Tume Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (R) Semistocles Kaijage aongoza kikao cha Tume Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC, Bw. Ramadhan Kailima amevikumbusha vyama vya siasa vitakavyoshiriki Uchaguzi Mdogo wa Februari 17 kuwasilisha majina ya mawakala wao kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kabla ya siku ya mwisho ambayo ni kesho (Tarehe 10)
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Emmanuel Kawishe (wa pili kulia) akieleza jambo wakati Tume ilipomtembelea Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni kujua maandalizi ya uchaguzi mdogo wa jimbo hilo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani (kushoto) akiongoza kikao
Baadhi ya makarani waongozaji wapiga kura wa Uchaguzi Mdogo katika jimbo la Kinondoni wakila kiapo baada ya mafunzo ya kusimamia vituo yaliyofanyika Oysterbay jijini Dar es Salaam
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro Valerian Margwe Juwal akizungumza na ujumbe kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kufuatilia Uchaguzi Mdogo wa jimbo hilo na Kata 3 za halamashauri ya Wilaya ya Siha,ulioongozwa na Mumbe wa Tume Jaji Mstaafu Mary Longway (kulia) na kushoto ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Giveness Aswile.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Mary Longway (kulia) akizungumza na Wasimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata wakati wa maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Siha na Kata za Donyomuruaki, Gararagua na Kashashi zilizoko katika Jimbo hilo.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Giveness Aswile akizungumza na Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura vya Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro na Kata 3 za jimbo hilo.Kushoto ni Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Mary Longway na kulia ni mmoja wa Wasimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata.
Baadhi ya Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura na Wasaidizi wao wakifuatilia mafunzo ya kusimamia uchaguzi mdogo wa Jimbo la Siha na Kata 3 za jimbo hilo.
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Bwana Masani Mashauri akitoa mafunzo kwa Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura na Wasaidizi wao kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Siha na Kata za Kashashi, Gararagua na Donyomuruaki katika Halmashauri ya Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Giveness Aswile akizungumza jambo kwenye kitu cha kupigia kura cha Dula la Ushiriki 1 wakati akikagua upigaji kura.Kulia kwake ni Mjumbe wa NEC Jaji Mst. Mary Longway.
Msimamizi wa Kituo cha Kupigia Kura cha Ofisi ya Kijiji Sanya Hoyee akipokea kadi ya kupigia kura ya mpiga kura aliyejitambulisha kwa jina la Mariyelo aliyeambatana na msaidizi wake kupiga kura.
Mjumbe wa NEC Jaji Mst. Mary Longway akisalimiana na bibi Mariyelo baada ya bibi huyo mpiga kura
Mmoja ya wapiga kura akipiga kura kwenye kituo cha Ofisi ya Kijiji ya Magadini 01, kumchagua Diwani wa Kata ya Gararagua katika Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro.
Baadhi ya wapiga kura wakiwa wamejipanga mstari nje ya kituo cha Cluster Sanya Juu B wakisubiri kupiga kura.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Giveness Aswile (kulia) akimuangalia mpiga kura akitimiza haki yake ya kumchagua Mbunge wa Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage (kulia) akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein wakati viongozi wa Tume hiyo walipokutana na Rais Shein Ikulu mjini Zanzibar.Wengine ni Makamu Mwenyekiti wa NEC Jaji Mkuu Mst. wa Zanzibar Hamid Mahmoud Hamid na Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramdhani.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mkuu Mst. wa Zanzibar Hamid Mahmoud Hamid akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein wakati viongozi wa Tume hiyo walipokutana na Rais Shein Ikulu mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage (kulia) akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (kulia) akifurahia jambo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein (wa tatu kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).Wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa) Jaji Semistocles Kaijage
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe akisaini kitabu cha wageni alipowasili kwenye Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa (RAS) Lindi kwa lengo la kutoa Elimu ya Mpiga Kura.Kulia ni Kaimu RAS Majid A. Myao na kushoto ni Mkuu wa Sehemu ya Usimamizi wa Rasilimali Watu wa NEC, Hamisa Shabani.
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Majid A. Myao (wa tatu kulia) akiukaribisha ujumbe kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi baada ya kuwasili.Kulia ni Kaimu Katibu Tawala Sehemu ya Serikali za Mitaa, Nsajigwa George na Kaimu Katibu Tawala Msadizi –Mipango na Uratibu  mkoa wa Lindi, Gaudence Nyamwihula.
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe akieleza jambo kwa watendaji wa mkoa wa Lindi.Kulia kwake ni Mkuu wa Sehemu ya Usimamizi wa Rasilimali Watu wa NEC, Hamisa Shabani.
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe (kulia) akifafanua jambo kwa Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Majid A. Myao (kushoto), Kaimu Katibu Tawala Msadizi –Mipango na Uratibu  mkoa wa Lindi, Gaudence Nyamwihula na Kaimu Katibu Tawala Sehemu ya Serikali za Mitaa, Nsajigwa George.Kulia kwake ni Mkuu wa Sehemu ya Usimamizi wa Rasilimali Watu wa NEC, Hamisa Shabani.
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Majid A. Myao akimueleza jambo Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe (hayupo pichani).Kushoto kwake ni Kaimu Katibu Tawala Msadizi –Mipango na Uratibu mkoa wa Lindi, Gaudence Nyamwihula na Kaimu Katibu Tawala Sehemu ya Serikali za Mitaa, Nsajigwa George.
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe akiagana na Makaimu Katibu Tawala wa mkoa wa Lindi.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mhe. Semistocles Kaijage wametembelea eneo la Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) linalojengwa katika eneo la Njedengwa mkoani Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R), Mhe.Semistocles Kaijage (Kulia) na Wajumbe wa Tume  wakiangalia eneo la linapojengwa jengwa la Utawala la  Tume ya Taifa ya Uchaguzi enero la Njedengwa mkoani Dodoma.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakipokea taarifa ya Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutoka kwa Kaimu Meneja wa Mradi kutoka TBA, Arch. Steven Simba.
Hili ni Eneo la Maghala ya kuhifadhia vifaa vya Uchaguzi likiwa katika hatua za Ujenzi.
Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI) jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI) jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (MEI MOSI) jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji (R )Semistocles Kaijage (katikati) akieleza jambo wakati alipokutana na ujumbe kutoka Ubalozi wa Jumuiya ya Ulaya kujadiliana Taarifa ya Utazamaji wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 iliyotolewa na jumuiya hiyo.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa NEC Jaji Mkuu Mst. (Znz) Hamid Mahmoud Hamid na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi na Mkuu wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Giveness Aswile.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji (R ) Semistocles Kaijage (wa nne kushoto) akifafanua jambo kwa Balozi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) Roeland Van de Geer (wa pili kushoto) na Mtaalau wa Masuala ya Siasa wa EU, Anna Costantin.Ujumbe huo ulifika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam kujadili Taarifa ya Utazamaji wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 ilyotolewa na jumuiya hiyo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Asina Omari (wa pili kulia) akiwasilisha taarifa fupi kuhusu Tume na majukumu yake kwa ujumbe kutoka Ubalozi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) (kushoto) uliofika ofisi za NEC kujadili Taarifa ya Utazamaji wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 iliyotolewa na jumuiya hiyo.Katikati ni Mwenyekiti wa NEC Jaji (R ) Semistocles Kaijage
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (katikati) akiongoza kikao cha Tume kujadili mambo mbalimbali yanayohusu utekelezaji wa majukumu ya Tume.Kulia kwake ni Makamu Mwenyekiti wa Tume Jaji Mkuu Mstaafu (Zanzibar) Hamid Mahmoud Hamid na Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Salum Kassim Ali akizungumza jambo kwenye kikao cha pamoja kati ya Menejimenti ya ZEC na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kilichofanyika hivi karibuni mjini Zanzibar.Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Kailima Ramadhani.
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakifuatilia jambo kwenye kikao na wenzao wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wakifuatilia majadiliano yaliyokuwa yanajiri kwenye kikao kati ya Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na ya ZEC.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Mary Longway akifungua mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi yanayofanyika jijini Dodoma
Mkurugenzi wa Idara ya Uchaguzi Irene Kadushi akitoa mada kwenye mafunzo kwa wasimamizi wa Uchaguzi yanayofanyika jijini Dodoma
Baadhi ya washiriki wa mafunzo kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge na Madiwani katika Kata 79
Baadhi ya washiriki wa mafunzo kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge na Udiwani katika Kata 79 wakila kiapo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mbarouk Salim Mbarouk Ikulu jijini Dar es Salaam.Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Mnikulu wa Ofisi ya Rais Ikulu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Thomas Mihayo Ikulu jijini Dar es Salaam.Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Mnikulu wa Ofisi ya Rais Ikulu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli (kushoto) akimuapisha Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Balozi Omari Ramadhan Mapuri (kulia) Julai 2, 2018, Ikulu jijini Dar es Salaam.Katikati Katibu Mkuu Kiongozi  Balozi John Kijazi na Mnikulu wa Ofisi ya Rais Ikulu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli (kushoto) akimuapisha Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia  (kulia) Julai 2, 2018,Ikulu jijini Dar es Salaam.Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi  Balozi John Kijazi na Mnikulu wa Ofisi ya Rais Ikulu.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (kulia) akimkabidhi ua aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani ikiwa ni ishara ya kumuaga na kumtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (katikati) akizungumza kwenye kikao cha kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Kushoto ni Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (kulia) akimpa mkono wa kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Kushoto ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia akimpa mkono wa kumuaga Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Bw. Kailima Ramadhani .Katikati ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage akifungua mkutano wa Tume na viongozi wa vyama vya siasa ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Buyungu na Udiwani katika kata 79 za Tanzania Bara.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia akiwasilisha mada ya maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Buyungu na Udiwani katika kata 79 za Tanzania Bara kwenye mkutano wa Tume na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 10, 2018.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya sisasa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Tiafa ya Uchaguzi Jaji (R ) Semistocles Kaijage (hayupo pichani)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (wa tatu kulia) akiongoza mkutano.Kulia kwake ni Wajumbe wa Tume Jaji Mstaafu Mary Longway, Wakili Asina Omari na Mwakilishi wa Msajili wa Vyama vya Siasa.Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia na Mjumbe wa Tume Balozi Omari Ramadhani Mapuri.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua mkutano
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua mkutano
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akisaini taarifa ya makabidhiano ya ofisini na mtangulizi wake Mhe. Kailima Ramadhani ambaye sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwenye ofisi za Tume jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo vya za Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakishuhudia utiaji saini wa taarifa ya makabidhiano ya ofisini kati ya Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (wa pili kushoto) na mtangulizi wake Mhe. Kailima Ramadhani ambaye sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwenye ofisi za Tume jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia (wa pili kushoto) akipokea ofisi kutoka kwa  mtangulizi wake Mhe. Kailima Ramadhani ambaye sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwenye ofisi za Tume jijini Dar es Salaam leo huku baadhi ya wakuu wa Idara na Vitengo vya Tume wakishuhudia.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kailima Ramadhani akizungumza jambo baada ya kumkabidhi ofisi Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akipokea taarifa ya makabidhiano ya ofisini kutoka kwa mtangulizi wake Mhe. Kailima Ramdhani ambaye sasa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kwenye ofisi za Tume jijini Dar es Salaam leo.Mhe. Kailima kabla ya kutumikia wadhifa huo alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi.
Mwenyekiti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R ) Semistocles Kaijage (katikati) akiongoza kikao cha Tume leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa majukumu ya Tume.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Jaji Mbarouk Salim Mbarouk na kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia.
Mwenyekiti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R ) Semistocles Kaijage (aliyekaa chini ya picha ya Rais) akiongoza kikao cha Tume leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Uhaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akizungumza na baadhi ya Watendaji wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) na wataalam kutoka Chuo Kikuu Ardhi mara baada ya kutembelea eneo la mradi wa Ujenzi wa Ofisi za NEC, Njedengwa jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (kulia) akizungumza jambo na Mhandisi wa Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutoka TBA alipofanya ziara ya kutembelea eneo la ujenzi wa ofisi hizo Njedengwa , jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (katikati) akikagua eneo linapojengwa ghala la kuhifadhia vifaa vya Uchaguzi akiwa ameambatana na baadhi ya Maafisa wa NEC na  wataalam  wanaojenga  mradi huo  kutoka TBA.
Jengo la Utawala la Tume ya Taifa ya Uchaguzi likiwa katika hatua za ujenzi katika eneo la Njedengwa jijini Dodoma.
Mhandisi wa Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za NEC jijini Dodoma Mhandisi Yohana Mashauri (kulia) akimweleza jambo Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia aliyetembelea ujenzi wa Ofisi hizo.
Mhandisi wa Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za NEC jijini Dodoma Mhandisi Yohana Mashauri (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia (wa pili kutoka kushoto) wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi hizo jijini Dodoma.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha ambaye sasa ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia akizungumza na Watendaji na Watumishi wa Jiji la Arusha wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji hilo jana. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika katika ukumbi wa jiji la Arusha.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akizungumza jambo na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Karisti Lazaro  (katikati) na Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Bw. Grayson Orcado jana jijini humo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Karisti Lazaro (kulia) wakisaini vitabu vya taarifa wakati wa  hafla fupi ya kukabidhi ofisi ya Mkurugenzi wa jiji hilo jana jiji Arusha.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia (katikati) ambaye awali alikuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na Watendaji wa jiji la Arusha wakiongozwa na Mstahiki Meya wa jiji hilo Mhe. Karisti Lazaro (wa tatu kutoka kulia mbele) mara baada ya hafla fupi kukabidhi ofisi ya Mkurugenzi wa jiji hilo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akipokea zawadi ya picha ya kumbukumbu  kutoka kwa Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Mhe. Karisti Lazaro (kulia) wakati wa  hafla fupi ya kukabidhi ofisi ya Mkurugenzi wa jiji hilo jana jiji Arusha.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia (katikati) akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika Halmashauri ya wilaya ya Longido kufuatilia maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani utakaofanyika katika Kata 4 . Kushoto ni Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo la Longido Bw. Jummaa Mohamed Mhina na Kulia ni Afisa kutoka NEC, Bw. Athuman Masesa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia (katikati) akipokea taarifa ya maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani utakaofanyika katika Kata 4 za jimbo la Arusha kutoka kwa Msimamizi msaidizi wa Uchaguzi wa jimbo hilo Namyaki Wilfred Laitetei.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia (katikati) akizungumza jambo na Msimamizi wa Uchaguzi wa Manispaa ya Moshi Bw. Michael Mwandezi (kulia) mara baada ya kuwasili katika Manispaa hiyo kufuatilia maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa Udiwani utakaofanyika katika Kata 1 . Kushoto ni Afisa kutoka NEC, Bw. Athuman Masesa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia akizungumza na Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Mji wa Babati Bw. Bashari Kinyunyu alipotembelea Halmashauri hiyo yenye uchaguzi Mdogo katika Kata ya Bagara.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Kihamia akizungumza na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kondoa Bw. Khalfa Kondo (wa pili kulia) alipotembelea Halmashauri hiyo ambayo mgombea Udiwani wake amepita bila kupingwa.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia akifafanua jambo kwa  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Bw. Salum Kassim Ali (kulia), Mkuu wa Idara ya Utawala ya NEC Bw. Hamis Mkunga (kushoto), Mkuu wa Idara ya Habari ya NEC, Bi. Giveness Aswile (wa pili kutoka kulia) na Mkuu wa Idara ya Manunuzi ya NEC Bw. Eliud Njaila mara baada kukabidhiwa jengo la Ofisi litakalotumiwa na NEC mjini Zanzibar jana.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia akiangalia mandhari ya nje ya jengo la Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) lililotolewa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Wengine pichani ni baadhi ya Watendaji wa Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC) ambalo jengo hilo lilikua chini yao.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia akikagua sehemu za nje za jengo la Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) lililotolewa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jana.
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Bw. Salum Kassim Ali (kulia), akifafanua jambo kwa  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Dkt. Athumani Kihamia (wa pili kutoka kulia) na watendaji wengine wa NEC jana mjini Zanzibar.
Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Mtera, Elizabenth Gumbo (kushoto) akieleza maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kata ya Mlowa Bwawani kwa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mbarouk Salim Mbarouk (katikati).Kulia ni Mwanasheria wa NEC Hamidu Mwanga.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mbarouk Salim Mbarouk (kulia) akimueleza jambo  Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Mtera mkoani Dodoma, Elizabenth Gumbo (kushoto) wakati alipotembelea kata ya Mlowa Bwawani. Kulia ni Mwanasheria wa NEC, Hamidu Mwanga.
Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Mtera, Elizabenth Gumbo (kushoto) akimueleza jambo  Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mbarouk Salim Mbarouk ( wa pili kulia) kuhusu maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kata ya Mlowa Bwawani kwenye ofisi ya Msimamizi  Msaidizi wa Uchaguzi Kata ya Mlowa Bwawani (Cleopa Leuna ( wa tatu kulia na Luis Pearson).Kulia ni Mwanasheria wa NEC Hamidu Mwanga.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mbarouk Salim Mbarouk (wa pili kushoto) akimsaidia Msimamizi Msaidiz wa Uchaguzi Kata ya Mlowa Bwawani Luis Pearson, kuweka bango la Kituo cha kupigia kura  cha Shule ya Msingi Mlowa Bwawani.Kulia kwao ni  Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Mtera Elizabenth Gumbo na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Kata hiyo  Cleopa Leuna.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mbarouk Salim Mbarouk (wa pili kulia) akiagana na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi Kata ya Mlowa Bwawani baada ya kutembelea kata hiyo kuangalia maandalizi ya Uchaguzi mdogo wa kata hiyo unaotarajiwa kufanyika Agosti 12, 2018.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Buyungu wilayani Kakonko Lusubilo, Kigoma Bw. Joeli Mwakibibi akizungumza na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Kupigia Kura leo (11 Agosti 2018) wakati wa mafunzo ya Kusimamia uchaguzi  mdogo wa Ubunge utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia akizungumza na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Uchaguzi katika jimbo la Buyungu (hawapo pichani), wilayani Kakonko wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kusimamia Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo hilo leo Agosti 11, 2018.
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Kata ya Kiziguzigu Bi. Jesca Masawe akifafanua jambo kwa Wasimamizi wasaidizi wa Vituo vya Kupigia Kura wakati wa mafunzo ya kusimamia uchaguzi mdogo katika jimbo la Buyungu leo.
Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Kakonko wakikagua na kuhakiki majina yao kwenye orodha ya Daftari la Wapiga Kura yaliyobandikwa katika Kituo cha Kupigia Kura cha Ukumbi wa Mikutano wilayani Kakonko leo.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Buyungu wilayani Kakonko Lusubilo, Kigoma Bw. Joeli Mwakibibi akiwaapisha Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Kupigia Kura leo (11 Agosti 2018) ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na kufuata sheria wakati wa mafunzo ya Kusimamia uchaguzi  mdogo wa Ubunge utakaofanyika Agosti 12 mwaka huu.
Baadhi ya Wakazi wa jimbo la Buyungu wakiwa kwenye mstari na wengine wakihakiki majina yao kabla ya Kupiga Kura kwenye yaliyobandikwa nje ya Kituo cha Kupigia Kura katika jimbo la Buyungu.
Mkazi wa wilaya ya Kakonko  akipiga kura yake kumchagua Mbunge wa Jimbo la Buyungu leo.
Mawakala 7 wa vyama mbalimbali vya Siasa vilivyosimamisha wagombea katika nafasi ya Ubunge katika jimbo la Buyungu wakitekeleza majukumu yao ya uwakilishi wa vyama vyao leo katika Uchaguzi mdogo jimbo la Buyungu.
Msimamizi Msaidizi wa Kituo cha Kupigia Kura akigawa karatasi za kupigia Kura kwa wapiga Kura ndani ya Kituo cha Kupigia Kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Buyungu leo.
Mmoja wa wapiga Kura ambaye ni mzee akipata usaidizi wa kutolewa nje ya kituo cha kupigia kura mara baada ya kupiga  kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Buyungu leo.
Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo kwa Wasiamamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi wakifuatilia mafunzo jijini Dodoma
Afisa Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Stephen Elisante akimtazama mmoja wa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi aliyekua akifunga kituturi cha kupigia Kura leo jijini Dodoma wakati wa mafunzo kwa vitendo ya Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi mdogo wa Ubunge  na Udiwani utakaofanyika Septemba 16, 2018.
Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa mafunzo ya Usimamizi wa Uchaguzi Mdogo wa Ubunge  na Udiwani utakaofanyika Septemba 16, 2018 katika jimbo la Ukonga na Monduli na kwenye Kata 13 za Tanzania Bara.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi akichangia na kuuliza maswali wakati wa wa mafunzo ya Usimamizi wa Uchaguzi Mdogo wa Ubunge  na Udiwani utakaofanyika Septemba 16, 2018 katika jimbo la Ukonga na Monduli na kwenye Kata 13 za Tanzania Bara.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia akizungumza na Wasimamizi wa Uchaguzi waliohudhuria Mafunzo ya Usimamizi wa Uchaguzi mdogo wa Ubunge na Udiwani utakaofanyika Septemba 16, 2018, Mafunzo hayo yamefanyika jijini Dodoma.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Omari Ramadhani Mapuri (aliyesimama kushoto) akizungumza kwenye mafunzo ya wasiamamizi wa vituo vya kupigia kura ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata ya Uroki na Kia kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Mkuu wa Idara ya Utawala na Menejimenti ya Rasilimali Watu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Hamisi Mkunga (mwenye shati la kitenge) akitoa maelekezo kwa mmoja wa Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura kwenye mafunzo ya wasiamamizi wa vituo vya kupigia kura ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika Kata ya Uroki na Kia kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi 20.09.2019). Dkt. Kihamia amekanusha tuhuma zilizotolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe kwenye mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jana (Jumatano 19.09.2019).
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi 20.09.2019). Dkt. Kihamia amekanusha tuhuma zilizotolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Mbowe kwenye mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika jana (Jumatano 19.09.2019).
Wajumbe na maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Semistocles Kaijage wamekutana na kufanya mazungumzo na wajumbe na maafisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar, Hamid Mahmoud Hamid.
Wajumbe na maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Semistocles Kaijage wamekutana na kufanya mazungumzo na wajumbe na maafisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar, Hamid Mahmoud Hamid.
Wajumbe na maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Semistocles Kaijage wakiwa wamesimama kwa dakika moja kuwaombea waliopoteza maisha kwenye ajali ya MV Nyerere iliyotokea huko kisiwani Ukara mkoani Mwanza kabla ya kuanza  kikao na wajumbe na maafisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar, Hamid Mahmoud Hamid.
Wajumbe na maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume, Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Semistocles Kaijage wamekutana na kufanya mazungumzo na wajumbe na maafisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakiongozwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar, Hamid Mahmoud Hamid.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia akisisitiza jambo wakati wa mafunzo ya siku 3 kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kutoka katika maeneo yenye uchaguzi mdogo wa Ubunge na udiwani utakaofanyika katika jimbo la Liwale na kwenye kata 37.
Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya kisheria wakati wa mafunzo ya siku 3 kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kutoka katika maeneo yenye uchaguzi mdogo utakaofanyika Oktoba 13 mwaka huu.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa NEC Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salim Mbarouk (katikati) wakifuatilia mada mbalimbali wakati wa Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mdogo, jijini Dodoma.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa NEC Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Salim Mbarouk (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi washiriki wa Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mdogo, jijini Dodoma leo.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeendesha mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo ikiwa ni maandalizi kuelekea Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Liwale, Mkoani Lindi. Uchaguzi huo unafanyika siku ya Jumamosi Tarehe 13, Oktoba 2018.
Wajumbe na Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambao wameongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mbarouk Salim Mbarouk wakipata maelezo ya maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa madiwani katika Kata za King’ori na Majengo zilizopo Halmashauri ya Meru, Mkoani Arusha. Uchaguzi huo utafanyika kesho tarehe 13/10/2018.
Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura katika Kata za King’ori na Majengo wakikagua vifaa kwa ajili ya zoezi la kupiga kura litakalofanyika hapo kesho tarehe 13/10/2018 . Zoezi hili la ukaguzi wa vifaa linafanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia yupo Wilayani Liwale akiongoza ujumbe wa makamishna na maafisa wa Tume kuhakikisha maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Liwale, Mkoani Lindi yanakwenda vizuri. Uchaguzi huo unafanyika kesho Tarehe 13.10.2018.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mbarouk Salum Mbarouk akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa uchaguzi yanayofanyika jijini Dodoma ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika majimbo manne na kata 47 za Tanzania Bara.
C) na wasimamizi wa uchaguzi kUtoka halmashauri mbalimbali wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa mafunzo ya usimamizi wa uchaguzi.
Hakimu Mkazi Mfawidhi mkoa wa Dodoma Arnold Kirekiano akiwaongoza kiapo kwa wasimamizi wa uchaguzi kabla ya mafunzo ya usiamamizi wa uchaguzi.
Mkurugezi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia akifafanua hoja kuhusu mambo muhimu ya kuzingatia kwa wasimamizi wa uchaguzi.
Mkuu wa Idara ya Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Irene Kadushi, akifafanua jambo wakati wa mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia akifungua Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mdodo wa Jimbo la Temeke na Kata 46
Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo kwa Wasiamamizi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Temeke na Kata 46, wakila kiapo jijini Dodoma
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Mary Longway, akifungua Mafunzo kwa Wasiamizi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Temeke na Kata 46
Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Zanzibar Felix Wandwe (suti nyeusi), Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe Dk. Gabriel Chitupila na baadhi ya Maafisa wa NEC  wakiangalia orodha ya majina ya Wapiga Kura iliyobandikwa nje ya Kituo cha Kupigia Kura kilichojengwa katika eneo la wazi la uwanja wa Mpira wa Magereza  katika Kata ya Biturana wilayani Kibondo. Kata hiyo inafanya uchaguzi mdogo wa Udiwani Januari 19, 2019.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo Dk. Gabriel Chitupila akitoa ufafanuzi kwa Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Zanzibar Felix Wandwe (suti nyeusi) kuhusu maandalizi ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata ya Biturana mara baada ya kutembelea Kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Nengo wilayani humo.
Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Zanzibar Felix Wandwe (suti nyeusi), Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo Dk. Gabriel Chitupila na baadhi ya Maafisa wa NEC wakikagua vituo vya kupigia Kura katika Kata ya Biturana wilayani humo itakayofanya uchaguzi mdogo wa Udiwani Januari 19, 2019.
Mwenyekiti wa Tume Jaji Semistocles Kaijage akisoma Hotuba ya Ufunguzi wa Mkutano wa Tume na Viongozi wa Vyama vya Siasa kujadili Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Mwenyekiti wa Tume Jaji Semistocles Kaijage (katikati) akiongoza mjadala wa viongozi wa Vyama vya Siasa kujadili Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.Wengine ni baadhi wa wajumbe wa Tume na Mkurugenzi wa Uchaguzi wakifuatilia mjadala huo.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakifuatilia mjadala wa kujadili Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwengelo akifungua Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji katika ngazi ya Jimbo leo Machi 26, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia.
Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Giveness Aswile akifungua Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji katika ngazi ya Jimbo leo Machi 26, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Afisa TEHAMA wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Amos Madaha akiwasilisha mada kwenye Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji katika ngazi ya Jimbo leo Machi 26, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Baadhi ya Watendaji wa Tume wakiwa kwenye Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji katika ngazi ya Jimbo leo Machi 26, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro. mkoani Morogoro.
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwengelo (wa pili kushoto waliokaa) akiwa kwenye picha ya  pamoja baada ya Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji katika ngazi ya Jimbo leo Machi 26, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia.
Mkazi wa Kata ya Kihonda akipigwa picha wakati akiwandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kata ya Kihonda katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Kihonda wakiwa wamejitokeza kuajiandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwenye Uboreshaji wa Majaribio unaoendelea kwenye hiyo.
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Kihonda wakiwa wamejitokeza kuajiandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwenye Uboreshaji wa Majaribio unaoendelea kwenye hiyo.
Baadhi ya vijana waliotimiza umri wa miaka 18 wakionesha kadi zao za mpiga kura baada ya kuandikishwa kwenye Kata ya Kibuta katika Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani
Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Zanzibar, Felix Wandwe, akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Clarence Nanyaro, aliyezikwa mwishoni mwa juma hili kijijini kwao Nkomaala, wilayani Meru mkoa wa Arusha.
Mjane wa Marehemu Clarence Nanyaro akiaga mwili wa marehemu.
Baba wa marehemu mzee Sabaya Nanyaro akiaga mwili wa marehemu mwanaye wakati wa ibada ya kuuaga mwili wa marehemu.
Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Zanzibar, Felix Wandwe akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu.
Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Zanzibar, Felix Wandwe, akiagana na Mkuu wa Boma, Mzee Gadiel Nanyaro baada ya kumaliza mazishi ya marehemu.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura, Giveness Aswile wakati watumishi wa Tume walipouaga mwili wa mtumishi mwenzao Clarence Nanyaro katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi an waombelezaji wengine wakishiriki katika ibada ya kumuaga marehemu Clarence Nanyaro katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Wafanyakazi wa Tume yashiriki Maadhimisho ya Mei Mosi 2019, Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Tume yashiriki Maadhimisho ya Mei Mosi 2019, Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Tume yashiriki Maadhimisho ya Mei Mosi 2019, Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Tume yashiriki Maadhimisho ya Mei Mosi 2019, Dar es Salaam
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R ) Mbarouk Salum Mbarouk akifungua mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa udiwani katika kta 32, yaliyofanyika jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia akiwasilisha mada kuhusu mambo ya kuzingatiwa na wasiamamizi wa uchaguzi
Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi wakila kiapo mbele ya Hakimu Arnold Kirekiano
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R ) Mbarouk Salum Mbarouk (wa pili kushoto) akiwa na Wajumbe wa Tume Jaji (Mst.) Mary Longway na Mhe. Asina Omari (kulia) wakiwa an Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) wakifuatilia mada.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  Jaji (R ) Semistocles Kaijage akifungua mkutano wa tume na viongozi wa vyama vya siasa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia akiwasilisha mada kwenye mkutano wa Tume na viongzoi wa vyama vya siasa.
Baadhi ya wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakifuatilia uwasilishaji wa mada.
Baadhi ya Wakuu wa Idara za Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakifuatilia Mada ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mmoja wa viongozi wa vyama vya siasa akipokea orodha ya vituo vya kuandikisha wapiga kura vitakavyotumika wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa Tume.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa Tume.
Maafisa wa Tume wakiowaonesha viongozi wa asasi za kiraia jinsi uandikisha utakavyofanyika kwa kutumia teknolojia ya BVR
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Semistocles Kaijage akiwahutubia viongozi wa dini leo wakati akifungua mkutano wa Tume na viongozi wa dini
Afisa wa Tume Mesharck Mgovano akizungumza na wanafunzi wa shule moja ya sekondari iliyopo Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage akisalimiana na BVR Kit operators ambao wanaendelea na mafunzo Wilayani Hai, Mkoani Kilimanjaro ikiwa ni maandalizi ya uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura utakao fanyika Mkoani humo tarehe18 Julai 2019.
Baadhi ya BVR Operators wakimsilikiza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakati wa Semina ya maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji (R) Mbarouk S. Mbarouk akikagua mafunzo ya BVR Kit operators pamoja na Waandishi Wasaidizi katika Halmashauri ya Wilaya ya Monduli na Halmashauri ya Wilaya ya Longido, Mkoani Arusha ikiwa ni maandalizi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kuanza tarehe 18 Julai 2019 Mkoani humo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage (katikati) akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro kuhusu uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Kilimanjaro, Ambao utafanyika tarehe 18/07/2019 katika kiwanja cha Mandela Kata ya Bomambuzi.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage (katikati) akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro mapema leo tarehe 17/07/2019 kuhusu uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Kilimanjaro, Ambao utafanyika kesho tarehe 18/07/2019 katika kiwanja cha Mandela Kata ya Bomambuzi.  Mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo atakuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Kassi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama amekagua maandalizi ya sherehe za uzinduzi wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwenye Uwanja wa Mandela Manisapa ya Moshi, Mokoani Kilimanjaro, akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Anna Mngwira, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage na maafisa wengine wa Serikali na Tume.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alihutubia wakazi wa Kata ya Bomambuzi katika Manipstaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwenye uzinduzi wa Uboresdhaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage akihutubia wakazi wa Kata ya Bomambuzi katika Manipstaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwenye uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama akitoa salamu zake kwenye Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiteta jambo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akiteta jambo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage.
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (waliovaa kofia) wakifuatilia matukio kabla ya uzinduzi wa Uboreshaji wa Daftari la Wapiga kura.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk, Mjumbe wa Tume, Mhe. Jaji (Mst) Marystella Longway na watendaji wengine wa Tume wamewasili Mkoani Manyara kwa shughuli mbalimbali za maandalizi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani humo.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk, Mjumbe wa Tume, Mhe. Jaji (Mst) Marystella Longway na watendaji wengine wa Tume wamewasili Mkoani Manyara kwa shughuli mbalimbali za maandalizi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani humo.
Wananchi wakiwa katika vituo vya kujiandikishia Mkoani Arusha. Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Arusha na Kilimanjaro umeanza tarehe 18 Julai 2019 na unatarajiwa kumalizika tarehe 24 Julai 2019.
Wananchi wakiwa katika vituo vya kujiandikishia Mkoani Arusha. Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Arusha na Kilimanjaro umeanza tarehe 18 Julai 2019 na unatarajiwa kumalizika tarehe 24 Julai 2019.
Wananchi wakiwa katika vituo vya kujiandikishia Mkoani Arusha. Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoa wa Arusha na Kilimanjaro umeanza tarehe 18 Julai 2019 na unatarajiwa kumalizika tarehe 24 Julai 2019.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage akizungumza na maafisa uandikishaji ngazi ya Kata, Bariadi Mji Mkoani Simiyu.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage akizungumza na maafisa uandikishaji ngazi ya Kata, Bariadi Mji Mkoani Simiyu.
BVR Kit Operator katika kituo cha kuandikisha Wapiga Kura cha Ofisi ya KNCU Kyala Wilaya ya Moshi Vijijini Bw. Willy Nzenga akimkabidhi Kadi ya Mpiga Kura mmoja wa Wapiga Kura aliyefika kituoni hapo kurekebisha taarifa zake ikwia ni siku ya mwisho ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salum Mbarouk ametembelea Wilaya ya Hanang, Mkoani Manyara leo na kukagua maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salum Mbarouk ametembelea Wilaya ya Hanang, Mkoani Manyara leo na kukagua maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Marystella Longway akifuatilia kwa karibu mafunzo kwa vitendo kwa watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Wilayani Mbulu, Mkoani Manyara leo.
Mjumbe wa Tume Mhe. Asina Omari akizungumza na Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wa Kata za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara wakati wa ufunguzi wa Mafunzo kwa watendaji hao.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (mst) Marystella Longway akizungumza na maafisa uandikishaji ngazi ya Kata katika Halmashauri ya Babati Vijijini, Mkoani Manyara ambao wapo kwenye mafunzo ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani humo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa Uchaguzi, Mhe. Asina Omary akiwa na maafisa wa Tume kupitia Sachita 88.1FM, Mkoani Mara kutoa elimu ya mpiga kura kuhusu  Uboreshaji wa Daftari kwenye Mikoa ya Manyara, Simiyu na Mara
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Marystella Longway akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ngazi ya Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators Mbulu TC na Mbulu DC.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Marystella Longway ametembelea mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ngazi ya Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators Mbulu TC na Mbulu DC.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ngazi ya Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators Mbulu TC na Mbulu DC.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Marystella Longway ametembelea mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ngazi ya Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators Babati DC, Mkoani Manyara.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Marystella Longway ametembelea mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa ngazi ya Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators Babati DC, Mkoani Manyara.
Maafisa Uandikishaji na BVR Operators wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega wakiwa katika mafunzo ya uandikishaji Wapiga Kura.
Maafisa Uandikishaji na BVR Operators wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega wakiwa katika mafunzo ya uandikishaji Wapiga Kura.
Maafisa Uandikishaji na BVR Operators wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega wakiwa katika mafunzo ya uandikishaji Wapiga Kura.
Wananchi wakiwa kwenye foleni ya kwenda kuandikishwa kwenye kituo cha Shule ya Msingi Sima katika Halmashauri ya Mji wa Bariadi
Uboreshaji unaendela Ofisi ya Mtendaji Kata ya Babati
Wazee, wajawazito, wanaonyonyesha na wenye ulemavu wanapewa kipaumbele.
Kituo cha NBC Mtaa wa Butiama, Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Mkoani Simiyu.
Uandkishaji kwenye Kituo cha NBC Mtaa wa Butiama, Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Mkoani Simiyu.
Mpiga Kura akifurahia Kadi mpya aliyopewa baada ya kuwa amepoteza Kadi ya zamani katika Kituo cha Shule ya Msingi Majengo, Bunda TC, Mkoa wa Mara.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia ametembelea na kukagua maandalizi ya Tume kushiriki maonesho ya Nanenane katika viwanja vya Nanenane eneo la Nyakabindi Wilayani Bariadi, Mkoani Simiyu.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia ametembelea na kukagua maandalizi ya Tume kushiriki maonesho ya Nanenane katika viwanja vya Nanenane eneo la Nyakabindi Wilayani Bariadi, Mkoani Simiyu.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia ametembelea na kukagua maandalizi ya Tume kushiriki maonesho ya Nanenane katika viwanja vya Nanenane eneo la Nyakabindi Wilayani Bariadi, Mkoani Simiyu.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia ametembelea na kukagua maandalizi ya Tume kushiriki maonesho ya Nanenane katika viwanja vya Nanenane eneo la Nyakabindi Wilayani Bariadi, Mkoani Simiyu.
Uandikishaji wa Butiama siku ya Pili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Uandikishaji wa Butiama siku ya Pili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Uandikishaji wa Butiama siku ya Pili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Mary Longway amefungua mkutano wa mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Halmashari za Tarime TC ,Tarime DC, Rorya DC, Musoma TC na Musoma DC , Mkoani Mara. Uboreshaji wa Daftari kwenye maeneo hayo unatarajiwa kuanza tarehe 13 mpaka 19 Agosti 2019.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura  Giveness Aswile akizungumza kwenye mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Halmashari za Tarime TC ,Tarime DC, Rorya DC, Musoma TC na Musoma DC , Mkoani Mara. Uboreshaji wa Daftari kwenye maeneo hayo unatarajiwa kuanza tarehe 13 mpaka 19 Agosti 2019.
Baadhi ya washiriki wa Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Halmashari za Tarime TC ,Tarime DC, Rorya DC, Musoma TC na Musoma DC , Mkoani Mara. Uboreshaji wa Daftari kwenye maeneo hayo unatarajiwa kuanza tarehe 13 mpaka 19 Agosti 2019.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk, akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Tume na Wadau wa Uchaguzi Jijini Mwanza leo kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Wadau walioshiriki mkutano huo ni viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, wawakilishi wa wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, asasi za kiraia na waandishi wa habari.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk, akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Tume na Wadau wa Uchaguzi Jijini Mwanza leo kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Wadau walioshiriki mkutano huo ni viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, wawakilishi wa wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, asasi za kiraia na waandishi wa habari.
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Wadau wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mkoa wa Mwanza katika picha ya pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk mara baada ya kumaliza mkutano, uliofanyika Jijini Mwanza leo ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari na Mkurugenzi wa Uchaguzi Sehemu ya Zanzibar, Bw. Felix Wandwe wameshiriki mafunzo kwa vitendo juu ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Maafisa Waandikishaji na Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Jimbo, Maafisa Uchaguzi na Maafisa Tehama kutoka Halmashauri saba za Mkoa wa Mwanza.
Afisa TEHAMA wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi akitoa maelezo ya jinsi BVR Kit inavyofanya kazi katika Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Tume
Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Shule ya Msingi Kabarim Kata ya Kabarim Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara wananchi wakiendelea na zoezi la kujiandikisha.
Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Shule ya Msingi Kabarim Kata ya Kabarim Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara wananchi wakiendelea na zoezi la kujiandikisha.
Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Shule ya Msingi Kabarim Kata ya Kabarim Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara wananchi wakiendelea na zoezi la kujiandikisha.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk na Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari leo wamefuatilia mafunzo kwa vitendo kuhusu matumizi ya BVR Kits kwa ajili ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Mwanza.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Asina Omari akifuatilia mafunzo ya matumizi ya BVR Kit kwenye mafunzo kwa vitendo kuhusu matumizi ya BVR Kits kwa ajili ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Mwanza.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk leo amefunga mafunzo ya siku mbili kwa vitendo juu ya matumizi ya BVR Kit katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Mwanza.
Washiriki wa Mafunzo ya siku mbili kwa vitendo juu ya matumizi ya BVR Kit katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Mwanza.
Mafunzo kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi, Maafisa TEHAMA na Maafisa Uchaguzi wa Tarime DC na Tarime TC ,Rorya DC ,Musoma DC na Musoma MC, Mkoani Mara yamefungwa rasmi na Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Mary Longway.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Giveness Aswile akizungumza na washiriki wa Mafunzo kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi, Maafisa TEHAMA na Maafisa Uchaguzi wa Tarime DC na Tarime TC ,Rorya DC ,Musoma DC na Musoma MC, Mkoani Mara.
Washiriki wa Mafunzo kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi, Maafisa TEHAMA na Maafisa Uchaguzi wa Tarime DC na Tarime TC ,Rorya DC ,Musoma DC na Musoma MC, Mkoani Mara wakifuatilia mafunzo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Mary Longway amemtembelea ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Malima, Mhe. Longway aliongozana na baadhi ya maafisa wa Tume.
Siku ya Mwisho ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Babati Mjini, Mkoani Manyara.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Mwanza na Mara (Tarime DC, Tarime TC ,Rorya DC ,Musoma DC na Musoma MC) umeanza leo tarehe 13 Agosti 2019 na utamalizika tarehe 19 Agosti 2019.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Mwanza na Mara (Tarime DC, Tarime TC ,Rorya DC ,Musoma DC na Musoma MC) umeanza leo tarehe 13 Agosti 2019 na utamalizika tarehe 19 Agosti 2019.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Mwanza na Mara (Tarime DC, Tarime TC ,Rorya DC ,Musoma DC na Musoma MC) umeanza leo tarehe 13 Agosti 2019 na utamalizika tarehe 19 Agosti 2019.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Mwanza na Mara (Tarime DC, Tarime TC ,Rorya DC ,Musoma DC na Musoma MC) umeanza leo tarehe 13 Agosti 2019 na utamalizika tarehe 19 Agosti 2019.
Hawa ni  Wapiga Kura wapya ambao walijitokeza kuandikishwa kwenye kituo cha relini Mwanza Jiji. Vijana hawa wametimiza miaka 18 mwaka huu na wamekuwa Wapiga Kura rasmi kuanzia leo. Kwa mara ya kwanza watashiriki kuwachagua viongozi wao kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Mwananchi huyu mwenye ulemavu akiingia kwenye kituo kilichopo katika Kata ya Butimba Jijini Mwanza, baada ya kuruhusiwa apite moja kwa moja (hakukaa foleni).
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage akifungua semina na mafunzo kwa wadau na watendaji wa Uboreshaji kwenye mkoa wa Geita
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,  Mhe. Asina Omari alifungua mafunzo ya watendaji wa Uboreshaji wa Daftari Mkoani Geita.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Giveness Aswile akizungumza kwenye mafunzo ya watendaji wa Uboreshaji wa Daftari Mkoani Geita.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omar Ramadhan Mapuri akifungua mkutano wa Wadau wa Uboreshaji Mkoani Shinyanga
Picha ya pamoja kati ya Mwenyekiti wa Tume, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage na wadau na watendaji wa Uboreshaji wa Daftari Mkoani Geita.
Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari Mkoani Geita wakila kiapo kwenye mafunzo ya Uboreshaji.
Mjumbe wa Tume ya Taifa Uchaguzi, Mhe. Asina Omary akikagua mafunzo ya BVR kwa watendaji wa Uboreshaji mkoani Geita
Akiwa Mkoani Geita kwenye maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage na ujumbe wake wamekutana na Mkuu wa Mkoa huo, Eng. Robert Gabriel ofisi kwake.
Akiwa Mkoani Geita kwenye maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage na ujumbe wake wamekutana na Mkuu wa Mkoa huo, Eng. Robert Gabriel ofisi kwake.
Akiwa Mkoani Geita kwenye maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage na ujumbe wake wamekutana na Mkuu wa Mkoa huo, Eng. Robert Gabriel ofisi kwake.
Akiwa Mkoani Geita kwenye maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage na ujumbe wake wamekutana na Mkuu wa Mkoa huo, Eng. Robert Gabriel ofisi kwake.
Akiwa Mkoani Geita kwenye maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage na ujumbe wake wamekutana na Mkuu wa Mkoa huo, Eng. Robert Gabriel ofisi kwake.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Mhe. Balozi Ramadhani Omari Mapuri akitoa elimu ya mpiga kura kupitia redio mkoani Shinyanga.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa kufunga mafunzo kwa watendaji wa Uboreshaji mkoani Geita.
Baadhi ya watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Geita wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume, Jaji Kaijage.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ukiendelea kwenye kituo cha Kirumba Uweo jijini Mwanza ikiwa ni siku ya mwisho ya Uboreshaji kwa Mikoa ya Mwanza na Mara.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaendelea katika kituo cha Uandikishaji cha Kirumba Uweo jijini Mwanza ikiwa ni siku ya mwisho ya Uboreshaji kwa mikao ya Mwanza na Mara.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaendelea katika kituo cha Uandikishaji cha Kirumba Uweo jijini Mwanza ikiwa ni siku ya mwisho ya Uboreshaji kwa mikao ya Mwanza na Mara.
Gari la Matangazo la Tume likitoa elimu ya mpiga kura eneo la Mwatulole (Tuangalie) Mjini Geita.
Gari la Matangazo la Tume likitoa elimu ya mpiga kura eneo la Mwatulole (Tuangalie) Mjini Geita.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Giveness Aswile akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu ya mjini Geita wakati wa kutoa elimu ya Mpiga Kura kupitia Gari la Matangazo.
Afisa wa Tume Titus Mwanzalila akitoa elimu ya mpiga kura kwenye Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu ya mjini Geita.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura  Giveness Aswile akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu ya mjini Geita.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu wakiwa kwenye picha na gari la matangazo baada ya kupata elimu ya mpiga kura
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia (wa pili kushoto) akiwa na watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Tarime DC, Mkoani Mara. Dkt. Kihamia ametembelea vituo mbalimbali vya Uboreshaji wa Daftari Tarime DC na Tarime TC ikiwa ni siku moja kabla ya kukamilika kwa zoezi la Uboreshaji wa Daftari kwenye Wilaya hizo.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bi. Giveness Aswile akikakabidhi vitabu vya Sheria za Uchaguzi Sura ya 343 na 292 na kanuni zake na Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Mwalimu Daniel Matono wa Shule ya Nyankumbu Girls High School iliyopo Mkoani Geita baada ya kutoa elimu ya mpiga kura shuleni hapo.
Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ngazi ya Kata, Geita DC.
Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ngazi ya Kata, Geita DC.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (R) Mbarouk S. Mbarouk ametembelea mafunzo kwa Maofisa Waandikishaji Wasaidizi Ngazi ya Kata Manispaa ya Shinyanga, Mkoani Shinyanga.
Mafunzo kwa Maafisa Waandikishaji Wasaidizi Ngazi ya Kata Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, Mkoani Mwanza.
Mafunzo kwa Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata, Kahama TC yanaendelea. Mafunzo hayo yamehudhuriwa na Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omar Ramadhan Mapuri.
Elimu ya Mpiga Kura kwenye Shule ya Sekondari ya Geita
Elimu ya Mpiga Kura kwenye Shule ya Sekondari ya Geita
Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura, Bi. Giveness Aswile leo wametoa elimu kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa wanafunzi na waalimu wa Shule ya Sekondari ya Geita iliyopo Geita Mjini.
Waandishi Wasaidizi na BVR kits Operator wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama, Mkoani Shinyanga wakila kiapo mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kahama, Bi. Evodia Narcise Kyala tayari kwa kuanza kazi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mafunzo kwa vitendo yakiendelea kwa Waandishi Wasidizi na BVR kit Operators ngazi ya kata yanayofanyika katika Shule ya Msingi Buhangija, Manispaa ya Shinyanga, Mkoani Shinyanga.
Waandishi Wasaidizi na BVR Kits operators ngazi ya kata kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita, mkoani Geita wakiwa kwenye mafunzo kwa vitendo ya matumizi ya BVR ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Mafunzo hayo yamefanyika katika shule ya Sekondari Katoro.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura umeanza kwenye mikoa ya Geita (ispokuwa Chato), Shinyanga na Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza kuanzia tarehe 20 Septemba hadi 26 Septemba 2019 ambapo vituo vinafunguliwa saa 02:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura umeanza kwenye mikoa ya Geita (ispokuwa Chato), Shinyanga na Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza kuanzia tarehe 20 Septemba hadi 26 Septemba 2019 ambapo vituo vinafunguliwa saa 02:00 asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Mbarouk s Mbarouk amefungua Mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya jimbo, Maafisa Uchaguzi na Maafisa Tehama kutoka Halmashauri saba za mkoa wa Kigoma.
Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya jimbo, Maafisa Uchaguzi na Maafisa Tehama kutoka Halmashauri saba za mkoa wa Kigoma wakila kiapo.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Mbarouk s Mbarouk amefungua Mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya jimbo, Maafisa Uchaguzi na Maafisa Tehama kutoka Halmashauri saba za mkoa wa Kigoma.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Asina Omari akifungua mafunzo ya Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ngazi ya Jimbo Mkoani Kagera.
Mafunzo kwa watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Wilayani Chato yanaendelea. Mafunzo hayo yamehudhuriwa na Mjumbe wa Tume, Mhe. Balozi Omari Ramadhan Mapuri, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Athumani Kihamia na maafisa wengine wa Tume.
Timu ya gari la Matangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa elimu kwa wananchi wa Chato waliojitokeza kusikiliza na kuuliza maswali juu ya Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari akifungua mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Wadau wa Uchaguzi Mkoani Kagera, Wadau hao ni pamoja na Viongozi wa Vyama vya siasa, Viongozi wa Dini, Asasi za Kiraia na Waandishi wa Habari.
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bi. Giveness Aswile akitambulisha meza kuu wakati wa Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi mkoani Kagera.
MAFUNZO KWA VITENDO: Maafisa Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ngazi ya Jimbo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Chato leo wamefanya mafunzo kwa vitendo.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (R) Mbarouk S. Mbarouk amekutana na wadau wa Uchaguzi mkoani Kigoma na kuwataka kushiriki kikamilifu katika Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotarajia kuanza Oktoba 02 mkoani humo.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (R) Mbarouk S. Mbarouk amekutana na wadau wa Uchaguzi mkoani Kigoma na kuwataka kushiriki kikamilifu katika Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotarajia kuanza Oktoba 02 mkoani humo.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (R) Mbarouk S. Mbarouk amekutana na wadau wa Uchaguzi mkoani Kigoma na kuwataka kushiriki kikamilifu katika Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotarajia kuanza Oktoba 02 mkoani humo.
Maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya kata katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Vijijini, Mkoani Kigoma wakiendelea na mafunzo kwa vitendo juu ya matumizi ya BVR Kits.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akila kiapo Ikulu Jijini Dar es Salaam
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Mbarouk S. Mbarouk akizungumza na Waandishi Wasaidizi na BVR Kits Operators kutoka kata mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, wakati alipowatembelea kuangalia semina elekezi kwa watendaji hao juu ya matumizi ya BVR.
 Mafunzo ya BVR kit Operator na Waandishi wasaidizi Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, Mkoani Kigoma.
Makamu Mwewenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk S Mbarouk pamoja na Mjumbe wa Tume, Mhe. Jaji (Mst) Thomas B. Mihayo wamefuatilia mafunzo kwa vitendo ya matumizi ya BVR Kits kwa Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk S. Mbarouk akifuatilia mafunzo kwa vitendo ya matumizi ya BVR kits kwa Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Vijijini.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura ya Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) upande wa Habari  Daniel Kasokola akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Tabora Boys (Tabora School) wakati Gari la Matangazo la NEC lilipotembelea shule hiyo iliyopo Mjini Tabora kutoa Elimu ya Mpiga Kura kuelekea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa wa Tabora, Katavi, Rukwa na Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma unaotarajiwa kuanza Oktoba 14 hadi Oktoba 20, 2019.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura ya Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) upande wa Habari  Daniel Kasokola, akieleza jambo mbele ya mwanafunzi mwenye ulemavu wa macho wa Shule ya Sekondari Tabora Boys Elisha John kuhusu kipaumbele ambacho NEC inakitoa kwa makundi maalum wakiwemo watu wenye ulemavu.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bi. Giveness Aswile ameongoza maafisa wa Tume kutoa Elimu ya Mpiga Kura kutumia Gari la Matangazo juu ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa wanafunzi na walimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Tabora (Tabora Girls Secondary School).
Wananchi wa Manispaa ya Bukoba wakiwa wamejitokeza kwa wingi katika kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Kashai Clinic ili kuweza kuboresha taarifa zao za Mpiga Kura. Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Mkoa wa Kagera umeanza Oktoba 2 hadi 8, 2019.
Wananchi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji kama walivyokutwa wakiendelea na zoezi la kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika vituo vya shule ya Msingi Kigoma, Shule ya Msingi Uhuru na Kituo cha Zimamoto.
Mmoja wa Wananchi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji akiijiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika kituo cha Shule ya Msingi Kigoma
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Aggrey Mwanri kabla ya kufungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi na mafunzo ngazi ya Jimbo juu ya Uboreshaji wa Daftari Mkoani Tabora.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari amefungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi na mafunzo ngazi ya Jimbo juu ya Uboreshaji wa Daftari Mkoani Tabora.
Mafunzo kwa BVR Kit operators na waandishi wasaidizi Nzega TC na DC Mkoani Tabora. Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari amehudhuria mafunzo hayo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari akikagua mafunzo ya Maafisa Waandikishaji Wasaidizi vituoni na BVR Kit Operators wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora wakiendelea na mafunzo.
Afisa Tehama wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ndugu Innocent Sereha (kushoto) akielekeza jambo kwa Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators wakati wa mafunzo kwa vitendo ikiwa ni siku ya pili ya mafunzo kwa ajili ya zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Waandishi Wasaidizi Halmashauri ya Wilaya ya Uyui, Mkoani Tabora wakimsikiliza Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari
Mafunzo kwa vitendo kwa waandishi wasaidizi vituoni na BVR Kit Operators katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi yanaendelea
Mafunzo kwa Waandikishaji Wasaidizi na Bvr kits Operators Manispaa ya Sumbawanga, Mkoani Rukwa.
Wananchi wakiendelea na zoezi la kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika kituo cha uandikishaji cha Katandala
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (R-Mst) Semistocles Kaijage leo amemtembelea ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge nakufanya naye mazungumzo juu ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linalotarajiwa kufanyika Mkoani Dodoma kuanzia tarehe 26 Oktoba hadi tarehe 01 Novemba 2019
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura likiendelea kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari akikagua mafunzo kwa vitendo juu ya matumizi ya BRV Kits kwa watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Dodoma.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mh. Jaji (Mst) Thomas Mihayo akifuatilia mafumzo kwa vitendo kwa Maafisa Waandikishaji na Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Mkoa, Mkoa wa Songwe.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles amefunga rasmi mafunzo kwa maafisa waandikishaji, maafisa waandikishaji wasaidizi, maafisa Uchaguzi na maafisa tehama ngazi ya Jimbo, Mkoani Dodoma.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na washiriki wa mafunzo ya waandikishaji wasaidizi ngazi ya Kata Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Mkoani Dodoma.
Waandishi Wasaidizi ngazi ya Vituo na BVR Kit Operators wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa, Mkoani Dodoma wakila kiapo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji (Mst) Mary Longway akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Waandishi Wasaidizi ngazi ya Vituo na BVR Kit Operators katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe.
Utoaji wa Elimu ya Mpiga Kura katika Shule ya Sekondari ya Mwl. Nyerere Mjini Tunduma Mkoani Songwe.
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura likiendelea katika vituo mbalimbali vya uandikishaji Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Mkoani Singida.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ukiendelea katika vituo mbalimbali mkoani Singida.
Mjumbe wa Tume Mhe. Balozi Omar Ramadhani Mapuri leo ameshiriki na kutoa mada kuhusu masuala ya uchaguzi na amani kwenye kongamano maalum la amani lililoandaliwa na Kamati ya Amani ya Mkoa wa Dar es salaam kwenye Ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Ucjhaguzi Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage amepokea Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Taifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Bi. Panya Ali Abdalla (kushoto) na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Tume Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk.
Makamu Mwenyikiti wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Taifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar Bw. Ali Suleiman Ali akieleza jambo wakati walipofanya ziara ya mafunzo kwenye Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar Es Salaam.Katikati ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Bi. Panya Ali Abdalla na Mwenyekiti wa Tume Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Sera na Mipango ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Adam Mkina akifungua Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu kla Wapiga Kura kwa Wasimamizi wa Uandikishaji Ngazi ya Jimbo kwa niaba ya Mjumbe wa Tume Jaji Mstaafu Mary Longway,Madfunzo hayo yamefanyika jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage akifungua Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi mkoani Mbeya ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa baadhi ya Halmashauri za mkoa wa Mbeya na Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage akifungua Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi mkoani Mbeya ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa baadhi ya Halmashauri za mkoa wa Mbeya na Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage( wa tatu kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi wa Kimila wa Mkoa wa Mbeya (waliosimama nyuma) waliohudhuria Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi mkoa wa Mbeya ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa baadhi ya Halmashauri za mkoa huo.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Sera na Mipango ya Tume Bw. Adam Mkina akieleza jambo kwa Maafisa Uandindikishaji kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura jijini Dodoma
Maafisa wa Tume wakiwa kwenye studio ya Redio Ushindi ya jijini Mbeya kutoa Elimu ya Mpiga Kura kuelekea Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Mst) Thomas Mihayo akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mkoani Dodoma.
Mafunzo kwa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata kwenye Jiji la Mbeya na Halmashauri za Busokelo, Kyela na Mbeya, Mkoani Mbeya yanaendelea.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera Charles ametembelea mafunzo ya Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.
Wakazi wa Kata ya Bahi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoni Dodoma wakiwa wamejitikeza kwenye Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Shule ya Msingi Nagulo-Bahi.
Afisa Mwandikishaji Msaidizi (ARO Jimbo) katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw. Herman Kashililika (wa pili kulia) akihakiki kadi ya mpiga kura (aliyesimama kushoto) baada ya kuandikishwa kwenye Kituo cha Zahanati ya Mpinga Kata ya Mpinga wilayani Bahi mkoani Dodoma. Kulia ni Afisa Tawala Mkuu wa Tume Joseph Mfangavo.
Afisa Mwandikishaji Msaidizi (ARO Jimbo) katika Halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw. Herman Kashililika (wa pili kulia) akimkabidhi kadi ya kupigia kura mpiga kura aliyeandikishwa kwenye Kituo cha Zahanati ya Mpinga Kata ya Mpinga wilayani Bahi mkoani Dodoma. Kulia ni Afisa Tawala Mkuu wa Tume Joseph Mfangavo.
Mkazi wa Kata ya Isyesye katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya akijiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Kituo cha Mwanahapa.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi na Maafisa TEHAMA katika mkoa wa Iringa
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi na Mafisa TEHAMA wa mkoa wa Iringa wakati alipotembelea mafunzo hayo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles (kushoto) akizungumza na washiriki wa Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi na Maafisa TEHAMA wa mkoa wa Iringa wakati alipotembelea mafunzo hayo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Asina Omari akifungua Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Maafisa Waandikishaji, Maafisa Uchaguzi na Mafisa TEHAMA kwa ajili ya Uboreshaji wa Mkao wa Iringa.
Mwenyekiti wa Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Bw. Aloyce Kwozi akitoa ufafanuzi wa jambo wakati wa mafunzo.
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa wa Iringa.
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Iringa, Mhe. Magolyo Faustine Paul akitoa ufafanuzi wa viapo kwa washiriki wa mafunzo.
Washiriki wa Mafunzo ya Uboreshaji wakila kiapo kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Asina Omari akifuatilia mafunzo ya BVR Kit kwa washiriki wa Mafunzo ya Uboreshaji wa daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa wa Iringa.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage (waliokaa katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wawakilishi wa viongozi wa dini na makundi ya watu wenye ulemavu kwenye Mkutano wa Tume na wadau wa Uchaguzi uliofanyika mjini Unguja kujiandaa na Uboreshaji wa Daftari kwa upande wa Zanzibar kuanzia Desemba 30, 2019 hadi Januari 5, 2020
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage (wa pili kushoto) akizungumza kwenye Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi (hawapo pichani) uliofanyika mjini Unguja kujiandaa na Uboreshaji wa Daftari kwa upande wa Zanzibar kuanzia Desemba 30, 2019 hadi Januari 5, 2020
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya UchaguziMhe. Asina Omari akifungua mafunzo ya Watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mjini Unguja.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles (kushoto) akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari baada ya Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi uliofanyika mjini Unguja kujiandaa na Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura visiwani Zanzibar na mikoa ya Njombe na Ruvuma kuanzia Desemba 30, 2019 hadi Januari 5, 2020
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Balozi Omari Ramadhani Mapuri akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa Uchaguzi mkoani Njombe ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa huo utakaofanyika kuanzia Desemba 30, 2019 hadi Januari 5, 2020
Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile akifafanua jambo kwenye Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura yaliyoandalliwa na Asasi ya Ujirani Mwema kwenye Skuli ya Bandamaji Wilaya ya Kaskazini mkoa wa Kaskazini Unguja visiwani Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst) Mahakama ya Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk akifuatilia mafunzo kwa vitendo ya mashine za BVR wakati wa mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators katika Shehia za Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Uandikishaji wa Wapiga Kura ukiendelea katika kituo cha Kariakoo, Shehia ya Kwaalinato jimbo la Jang'ombe katika Kisiwa cha Unguja. Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Tanzania Zanzibar (Visiwa vya Unguja na Pemba) umeanza tarehe 30/12/2019 hadi Januari 05 2020.
Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura likiendelea vizuri katika vituo mbalimbali vya uandikishaji wa Wapiga Kura katika Halmashauri ya Njombe Mji mkoani Njombe.
Timu ya gari la matangazo imepiga kambi Mkoani Ruvuma ili kuwaelimisha wananchi juu ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani humo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst.) Semistocles Kaijage (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles (katikati),wametembelea na kujionea maendeleo ya ujenzi wa jesngo la Tume jijini Dodoma.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst) Thomas Mihayo akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata Lindi Mjini leo.
Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani wakila kiapo kwenye Mafunzo kuhusu zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura yanayofanyika katika ukumbi wa halmashauri hiyo.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (mst) Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza na washiriki wa mafunzo ya vitendo kwa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya Kata, Mkoani Lindi.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst) Semistolces Kaijage akizungumza kwenye ofisi za Tume jijini Dar es Salaam wakati alipoupokea Ujumbe kutoka Tume ya Uchaguzi ya Malawi.Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst) Mbarouk Salim Mbarowi uliotembelea kwenye  ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst) Semistolces Kaijage.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekutana na wadau wa Uchaguzi Mkoani Morogoro ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani humo.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekutana na wadau wa Uchaguzi Mkoani Morogoro ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani humo.
Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kata katika Halmashauri ya Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, wakiwa kwenye mafunzo kwa vitendo juu ya matumizi za mashine za BVR wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Mafunzo hayo yanafanyika leo katika ukumbi wa halmashauri hiyo.
BVR Kit Operators wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Mkoani Tanga wakila kiapo cha kujitoa kwenye vyama vya siasa na kiapo cha kutunza siri mbele ya Afisa Mwandikishaji wa Jiji hilo. BVR Kit operators hawa wako katika mafunzo ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani humo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omar Ramadhan Mapuri akizungumza na washiriki wa mafunzo ya BVR Kit Operators yanayofanyika Halmashauri ya Mji wa Handeni Mkoani Tanga. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mafunzo ya Waandishi Wasaidizi ngazi ya vituo Halmashauri ya Jiji la Tanga Mkoani Tanga. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (mst) Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza na washiriki wa mafunzo ya BVR Kit Operators na Waandishi Wasaidizi ngazi ya vituo yanayofanyika Halmashauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mafunzo kwa Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operators Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro leo. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Mafunzo kwa BVR Kit Operators na Waandishi Wasaidizi ngazi ya vituo Halmashauri ya Mji wa Korogwe Mkoani Tanga. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani humo.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe.Jaji Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk akifuatilia mafunzo kwa vitendo kwa BVR kit Operators na Waandishi Wasaidizi yaliyofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani humo.
Kwa kuwa vijana wengi waliopo sekondari wamefika umri wa miaka 18 na kwa kuwa walio wengi pia wanatarajia kufikia umri huo ifikapo Oktoba mwaka huu, umekuwa utamaduni wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwatembelea kwenye shule zao na kutoa elimu ya Mpiga Kura kuhusu zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Pichani ni utoaji wa elimu hiyo kwenye Shule ya Sekondari ya Macechu Mkoani Tanga.
Kwa kuwa vijana wengi waliopo sekondari wamefika umri wa miaka 18 na kwa kuwa walio wengi pia wanatarajia kufikia umri huo ifikapo Oktoba mwaka huu, umekuwa utamaduni wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwatembelea kwenye shule zao na kutoa elimu ya Mpiga Kura kuhusu zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Pichani ni utoaji wa elimu hiyo kwenye Shule ya Sekondari ya Macechu Mkoani Tanga.
Wananchi wakiendelea kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Weo Tadeko, Halmashauri ya Jiji la Tanga.
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaendelea mkoani Tanga na Morogoro (Halmashauri za Wilaya ya Ulanga na Malinyi) unafanyika kwa siku saba (7) kuanzia tarehe 23 hadi 29 Januari 2020.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari amefungua mafunzo kwa watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Morogoro ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari mkoani humo. Mhe. Asina ameambatana na Mjumbe mwingine wa Tume, Mhe. Jaji (Mst) Mary Longway pamoja na maafisa wa Tume.
Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro wakila kiapo wakati wa Mafunzo maalum ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura yanayofanyika katika ukumbi wa halmashauri hiyo.
Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kata katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, wakila kiapo cha kutunza siri na kujitoa uanachama wa chama cha siasa kabla ya kuanza kwa mafunzo maalum ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura yanayofanyika katika ukumbi wa halmashauri hiyo.
Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro wakiwa katika mafunzo kwa vitendo juu ya matumizi ya mashine za BVR wakati wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Mafunzo hayo yanayofanyika katika ukumbi wa halmashauri hiyo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst) Marrystella Longway akiongea na Maafisa Waandikishaji Wasaidizi ngazi ya kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro wakati wa Mafunzo ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura yanayofanyika leo katika ukumbi wa halmashauri hiyo.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari amefungua mafunzo kwa watendaji wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Morogoro ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari mkoani humo. Mhe. Asina ameambatana na Mjumbe mwingine wa Tume, Mhe. Jaji (Mst) Mary Longway pamoja na maafisa wa Tume.
Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kutumia Gari la Matangazo katika Manispaa ya Morogoro ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani humo unaotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 3 hadi 9 Februari mwaka huu wa 2020.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Moshi Makuka akitoa Elimu ya Mpiga Kura juu ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa wafanyabiashara mbalimbali wa soko la Manzese katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Subira Kaswaga akitoa Elimu ya Mpiga Kura juu ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa wanafunzi na wafanyakazi wa Shule ya Sekondari Kihonda katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro
Mjumbe wa Tume Jaji (Mst) Marrystella Longway amezungumza na Waandishi Wasaidizi na BVR Kits Operators katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, wakati wa mafunzo maalum kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Baadhi ya Waandishi Wasaidizi na BVR Kits Operators katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, wakifuatilia mafunzo maalum kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Margareth Chambiri akizungumza na mmoja wa wadau wa Uchaguzi aliyetembelea banda la Tume kwenye Maonesho ya Wiki ya Utoaji wa Elimu ya Sheria na Siku ya Sheria nchini yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Tume ni miongoni mwa taasisi takribani 30 zinazoshiriki kwenye maonesho hayo.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Margareth Chambiri akishuhudia mmoja wa wadau wa Uchaguzi akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la Tume kwenye Maonesho ya Wiki ya Utoaji wa Elimu ya Sheria na Siku ya Sheria nchini yanayofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Tume ni miongoni mwa taasisi takribani 30 zinazoshiriki kwenye maonesho hayo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst.) Semistocles Kaijage akifungua Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi leo JIJINI Dar es Salaam kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa wa Dar es Salaam na Pwani.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst.) Semistocles Kaijage akifungua Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa wa Dar es Salaam.
Mmoja ya wadau wa Uchaguzi kutoka kundi la Watu wenye Mahitaji Maalum (kulia), akitoa mchango wako wakati wa majadiliano kwenye Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi na Tume ya Taifa ya Ucaguzi uliofanyika jijini Dar es Salaam leo kujiandaa na Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mkoa wa Dar es Salaam.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Balozi Omari Ramadhan Mapuri akizungumza kwenye mafunzo ya BVR Kit Operators na Waandishi Wasaidizi yanayofanyika kwenye ukumbi wa Shule ya Sekondari Pugu, Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Jijini Dar es Salaam.
BVR Kit Operators na Waandishi Wasaidizi wakila kiapo wakati wa mafunzo yaliyofanyika Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mst) akizungumza na washiriki wa mafunzo ya BVR Kit Operators na Waandishi Wasaidizi, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Asina Omari akitoa maelekezo kwa BVR Kit Operators leo wakati wa mafunzo ya vitendo Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na washiriki wa mafunzo kwa Waandishi wasaidizi wa Halmashauri ya Kinondoni yaliyofanyika katika ukumbi wa Maafisa wa Polisi Oyster Bay, Manispaa ya Kinondoni.
Washiriki wa mafunzo kwa Waandishi wasaidizi wa Halmashauri ya Kinondoni wakimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles.
Gari la Matangazo la Elimu ya Mpiga Kura likiwa maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam likitoa elimu wakati Uboreshaji wa daftari la Kudumu la Waoiga Kura ukianza leo jijini Dar es Salaam na Pwani.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura, Bi. Giveness Aswile akikagua vituo vya kuandikishia Wapiga Kura eneo la Shule ya Msingi Mtongani Kata ya Kunduchi, Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Jijini Dar es Salaam.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Meshark Mgovano akitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia Gari la Matangazo wilayani Temeke mkoani dar es Salaam.
 Viongozi na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi leo wakiimba wimbo wa mshikamano (solidarity) kwenye mkutano wa baraza hilo uliofanyika makao makuu ya mkoa wa Pwani.
  Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Bi. Theresia Mmbando leo (Tarehe 13 Machi 2020) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi baada ya kufungua mkutano wa baraza hilo kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi  ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani.
Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Gerard Mwanilwa akijibu baadhi ya hoja zilizowasilishwa kwenye mkutano wa baraza hilo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa wakati Tume ilipokutana nao leo kujadili Uwekaji Wazi wa Daftari la Awali na Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Awamu ya Pili jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa waliohudhuria mkutano wa Tume leo jijini Dar es Salaam kujadili Uwekaji Wazi wa Daftari la Awali na Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Awamu ya Pili.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akimkabidhi mmoja ya viongozi wa vyama vya siasa, nakala ya vituo vya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Pili
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage akiwa meza kuu na wajumbe wengine wa Tume waliohudhuria mkutano wa Tume na viongozi wa vyama vya siasa.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage akiwasili kwenye eneo la Njedengwa kukagua jengo la Tume jijini Dodoma na kupokelewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles na watendaji wengine wa Tume na timu ya ujenzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage (mwenye kofia nyekundu) akizungumza jambo wakati akikagua jengo la Tume jijini Dodoma akiwa na wajumbe wengine na watendaji wa Tume.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage (katikati) akipata maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi kutoka kwa wataalamu wanaosimamia ujenzi wa jengo la Tume eneo la Njedengwa jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage (wa tatu kulia) akiwa na wajumbe wengine na watendaji wa Tume, wakifuatilia kikao cha kupata maelezo ya maendeleo ya mradi wa jengo la Tume eneo la Njedengwa jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage (wa tatu kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Tume (waliokaa) na watendaji wa Tume na wasimamizi wa mradi wa jengo la Tume jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Ajira  na Wenye Ulemavu Mhe. Jenister Mhagana akikata utepe kuashiria kukabidhi magari kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage (kushoto) huku Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akishuhudia kulia.Magari 12 kati ya 20 yamekabidhiwa leo jijini Dar es Salaam kwenye ofisi za Tume.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Ajira  na Wenye Ulemavu Mhe. Jenister Mhagana akizungumza mbele ya waandishi  wa habari baada ya  kukabidhi magari kwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst Semistocles Kaijage leo.Magari 12 kati ya 20 yamekabidhiwa leo jijini Dar es Salaam kwenye ofisi za Tume.
Magari 12 yaliyokabidhiwa kwa Tume
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge Kazi Ajira  na Wenye Ulemavu Mhe. Jenister Mhagana akiwa ndani ya moja ya magari 12 aliyoyakabidhi kwa Tume Leo jijini Dar es Salaam..
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage akifungua mkutano wa Tume na viongozi wa Vyama vya Siasa kabla ya kuanza Uboreshaji wa Daftari Awamu ya Pili na Uwekaji Wazi wa Daftari kuanzia Aprili 17 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akitoa ufafanuzi wa baadhi ya mambo kwenye mkutano wa Tume na viongozi wa Vyama vya Siasa uliofanyika jijini Dar es Salaam kabla ya kuanza Uboreshaji wa Daftari Awamu ya Pili na Uwekaji Wazi Daftari kuanzia Aprili 17 mwaka huu.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst.) Mbarouk Salim Mbarouk akifunga mkutano wa Tume na viongozi wa Vyama vya Siasa uliofanyika leo Aprili 8, 2020 jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Tume na viongozi wa Vyama vya Siasa uliofanyika leo Aprili 8, 2020 jijini Dar es Salaam, wakifuatilia mkutano huo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akimkabidhi mmoja wa viongozi wa Vyama vya Sisasa nakala ya vituo vya Uboreshaji wa Daftari Awamu ya Pili.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Semistocles Kaijage (katikati) akiwa meza kuu na wajumbe wa Tume na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Cahrles (kushoto kwake), wakati wa Mkutano wa Tume na viongozi wa Vyama vya Siasa uliofanyika leo Aprili 8, 2020 jijini Dar es Salaam.
Katibu Tawala wa mkoa wa Mara Bi. Karoline Mthapula akionesha taarifa zake za Mpiga Kura baada ya kuhakiki taarifa zake kupitia simu ya kiganjani kwa kupiga *152*00#.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imechukua hatua ya kupuliza dawa kwenye mashine za BVR ili kukabiliana na maambukizi ya Virusi vya Corona.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (mwenye koti la blu) akiipita kwenye kituo cha kuandikisha wapiga kura mkoani Arusha, wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Pili na Uwekaji Wazi wa Daftari la Awali.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Marystella Longway (aliyesimama) akiwa kwenye kituo cha kuandikisha wapiga kura kukagua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Pili na Uwekaji Wazi Daftari la Awali  mkoani Kilimanjaro.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Dkt. Cosmas Mwaisobwa (katikati) akipaka Sanitizer wakati akitaka kuingia kwenye kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura, wakati akikagua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Pili na Uwekaji Wazi Daftari la Awali jijini Mwanza.
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Jerry Muro akiwa kwenye kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura wilayani Arumeru wakati alipokwenda kuhamisha taarifa zake.
Uandikishaji Wapiga Kura ukiendelea kwenye kituo wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Uwekaji Wazi Daftari la Awali kwa mikoa 12 ya Tanzania Bara.
Baadhi ya Wapiga Kura wakikagua Daftari la Awali kuhakiki taarifa zao wakati wa Uwekaji Wazi wa Daftari la Awali.
Baadhi ya Wapiga Kura wakikagua Daftari la Awali kuhakiki taarifa zao wakati wa Uwekaji Wazi wa Daftari la Awali.
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe (wa pili kulia) akizungumza na Waandishi Wasaidizi wakati alipotembelea Mafunzo kwa Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operator yaliyofanyika leo wilayani Chakechake kisiwani Pemba.Kulia ni Mratibu wa Uandikishaji Pemba Bw. Suleimani Mkasha, kushoto ni Afisa Mdhamini wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Bw. Hafidhi Mohamed na Afisa wa NEC Bw.  Michael Simba.
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Emmanuel Kawishe (wa pili kulia) akizungumza na BVR Kit Operator wakati alipotembelea Mafunzo kwa Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operator yaliyofanyika leo wilayani Chakechake kisiwani Pemba.
Afisa Mwandikishaji Jimbo la Chakechake kisiwani Pemba Sheikha Kitwana (kulia) akiwaapisha Waandishi Wasaidizi na BVR Kit Operator wakati wa mafunzo kwa watendaji huo yaliyofanyika wilayani Chakechake kisiwani Pemba leo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguji (NEC) Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage akikagua Daftari la Awali la Wapiga Kura lililobandikwa kituoni.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omar akishuhudia Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na uwekaji wazi wa Daftari la Awali wakati alipokwenda kujionea zoezi hilo kwenye vituo vya uandikishaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga na Kibiti mkoani Pwani.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dtk. Bilinith Mahenge akiboresha taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kata ya Kilimani mkoani Dodoma. Dkt. Mahenge
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dtk. Bilinith Mahenge akiboresha taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kata ya Kilimani mkoani Dodoma.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Mst) Thomas Mihayo (wa pili kushoto) amefanya ziara mkoani Dodoma katika Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino kukagua vituo vya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa Mstaafu Mbarouk S. Mbarouk (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Ofisi ya NEC Zanzibar Bw. Hamidu Mwanga wakati alipotembelea Vituo vya Kuandikisha Wapiga Kura mjini Unguja.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa Mstaafu Mbarouk S. Mbarouk (kushoto) akimiminiwa kitakasa mikono (Sanitizer) wakati alipotembelea Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Skuli ya Darajani kuangalia Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mjini Unguja.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa Mstaafu Mbarouk S. Mbarouk (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Ofisi ya NEC Zanzibar Bw. Hamidu Mwanga wakati alipotembelea Vituo vya Kuandikisha Wapiga Kura mjini Unguja.Kulia ni Afisa Mwandikishaji Wilaya ya Mjini Unguja Safia Muhammad.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa Mstaafu Mbarouk S. Mbarouk (kushoto) akimiminiwa kitakasa mikono (Sanitizer) wakati alipotembelea Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Skuli ya Kisiwandui kuangalia Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mjini Unguja.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa Mstaafu Mbarouk S. Mbarouk (kushoto) akizungumza na BVR Kit Operator kwenye Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Mwanakwerekwe mjini Unguja.
Mpiga Kura akijiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Skuli ya Maandalizi na Msingi Kiembe Samaki A mjini Unguja.
Wapiga Kura wakiwa kwenye foleni kwenda kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura kilichopo ngazi ya Jimbo la Bububu mjini Unguja.
Wapiga Kura wakihakiki taarifa zao kwenye Daftari la Awali la Wapiga Kura Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura cha Skuli ya Maandalizi na Msingi Kiembe Samaki A mjini Unguja.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage akisaini Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 leo jijini Dar es Salaam baada ya kukutana na viongozi wa Vyama vya Siasa na Serikali kujadili maadili hayo ikiwa ni utekelezaji wa matakwa ya kisheria kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2020.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu), Tixon Nzunda akisaini Maadili ya Uchaguzi Mkuu 2020 kwa niaba ya Serikali.Aliyesimama ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles.
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole akisaini Maadili ya Uchaguzi Mkuu 2020 kwa niaba ya chama chake.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) John Mnyika akisaini Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Viongozi wa Vyama vya Siasa walioshiriki Mkutano wa Kujadili Maadili ya Vyama vya Siasa uliofanyika leo Mei 27, 2020 jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (wa tatu kushoto waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano wa kujadili na kusaini Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa 2020
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Salama Ismail akitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia  Redio Faraja Fm kuhusu Uwekaji Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia Juni 17 hadi 20 mwaka huu.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Margareth Chambiri akitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia  Redio Safari FM ya Mtwara kuhusu Uwekaji Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia Juni 17 hadi 20 mwaka huu.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Renatus Masonda akitoa Elimu ya Mpiga Kura kwenye Tamasha la Kubwa Kuliko lilofanyika viwanja vya View Point/Kona ya Mkoa barabara ya Mbeya-Chunya mkoani Mbeya kuhusu Uwekaji Wazi Daftrai la Awali la Wapiga Kura unaoanza Juni 17 hadi 20 mwaka huu.
Mafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (wawili kulia) wakishiriki kipindi cha Morning Trumpet cha Azam TV kutoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia kuhusu Uwekaji Wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia Juni 17 hadi 20 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera Charles (wa pili kutoka kulia mstari wa mbele) ni miongoni mwa viongozi walioalikwa Bungeni Jijini Dodoma kushuhudia Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akihitimisha shughuli za Bunge la 11 leo.
Mwenyekiti wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage akiwa amesimama kupokea utambulisho wake kutoka kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati alipohudhuria Bungeni Jijini Dodoma kushuhudia Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akihitimisha shughuli za Bunge la 11.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari amefanya ziara ya kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Awali Jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk ametembelea na kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Awali Kisiwani Pemba. Mhe. Mbarouk ameogozana na Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Tume, Ndugu Emanuel Kawishe na maafisa wengine wa Tume.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari amefanya ziara ya kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Awali Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (mst) Mary Longway yupo Mkoani Mbeya kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Awali. Zoezi hilo linafanyika kwa siku nne nchi nzima kuanzia jana tarehe 17 hadi 20.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (mst) Mary Longway yupo Mkoani Mbeya kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Awali. Zoezi hilo linafanyika kwa siku nne nchi nzima kuanzia jana tarehe 17 hadi 20.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (mst) Thomas Mihayo leo ametembelea na kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Awali Mkoani Manyara na Kilimanjaro ikiwa ni siku ya pili ya zoezi hilo la siku nne lililo anza jana na ambalo linatarajiwa kukamilika tarehe 20 mwezi huu. Zoezi hilo linafanyika nchi nzima.
Kikongwe wa miaka 100, Yusufu Alfonso Mkomwa mzaliwa wa Manundu,Korogwe Mkoani Tanga ambaye kwa sasa anaishi Mtaa wa Kinyali, Kata ya Viwandani, Halmashauri ya Jiji la Dodoma Mkoani Dodoma licha ya umri wake mkubwa amefika katika ofisi ya Kata kuhakiki taarifa zake katika kadi yake ya Mpiga Kura.
Wapiga Kura wa Halmashauri za Wilaya ya Kongwa na Chamwino, Mkoani Dodoma wameendelea kujitokeza kuhakiki na kurekebisha taarifa zao kwenye Daftari la Awali. Daftari hilo limewekwa wazi kwa siku nne ambazo zinafikia tamati kesho tarehe 20 Juni.
 Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar, Hamidu Mwanga akimueleza jambo Mwenyekiti wa Tume Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles wakati walipotembelea na kukagua ujenzi wa jengo la Tume Ofisi ya Zanzibar liliopo mjini Unguja.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (wa pili kushoto) akiwa na Mjumbe wa Tume Jaji Mst. Mary Longway (wa nne) na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles, wakiongozwa na Mkurugenzi Ofisi ya Tume Zanzibar Hamidu Mwanga kukagua ukarabati wa jengo la Tume Ofisi ya Zanzibar liliopo mjini Unguja.
Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar, Hamidu Mwanga akimueleza jambo Mwenyekiti wa Tume Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles wakati walipotembelea na kukagua ukarabati wa jengo la Tume Ofisi ya Zanzibar liliopo mjini Unguja.
Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar, Hamidu Mwanga akimueleza jambo Mwenyekiti wa Tume Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (wa pili kushoto) aliyeongoza na Mjumbe wa Tume Jaji Mst. Mary Longway (kushoto) na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles wakati walipotembelea na kukagua ukarabati wa jengo la Tume Ofisi ya Zanzibar liliopo mjini Unguja.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (katikati) akiwa kwenye picha na wajumbe na watendaji wa Tume baada ya kutembelea na kukagua ukarabati wa jengo la Ofisi ya Tume Zanzibar iliyopo mjini Unguja.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Jaji Mkuu Mst. Hamid Mahmoud Hamid (wa pili kushoto) akitoa maelezo ya kumkaribisha Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (wa pili kushoto) wakati wa kikao cha ushirikiano kati ya tume hizo kilichofanyika Unguja visiwani Zanzibar. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa NEC Jaji Mst. Mbarouk Salim Mbarouk na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa ZEC Mhe. Mabruok Jabu Makame.
Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (mstari wa mbele).
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (wanne mstari wa mbele).
Wakuu wa Idara na vitengo wa NEC
Wakuu wa Idara na Vitengo wa ZEC.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (kulia aliyekaa), akitoa maelekezo wa Wakurugenzi wa Uchaguzi wa NEC (kulia) Dkt. Wilson Charles na wa ZEC Thabit Idarous Faina ambaye alikuwa Katibu wa kikao hicho kabla ya kikao kuanza.
Wajumbe wa kikao na waalikwa wakifuatilia kikao
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (kushoto) na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles waakiondoa pazia kufungua bango la Uchaguzi baada ya kutangazwa kwa ratiba ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage na Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles wakiwa kwenye bango la Uchaguzi baada ya mwenykiti kutangaza ratiba ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutangaza ratiba ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya viongozi  wa vyama vya siasa waliohudhuria uzinduzi wa jengo hilo wakiiimba Wimbo wa Taifa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia kabla ya kuzindua jengo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifungua kitambaa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage  kuashiria uzinduzi  wa jengo la utawala la NEC jijini Dodoma huku viongozi wingine wa Serikali wakishihudia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Tume wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi baada ya kuzindua jengo la utawala la Tume jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ( wa tano kulia) akikata utepe kuashiria kuzindua jengo la utawala la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma huku akishihudiwa na Mwenyekiti wa NEC Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage na viongozi wengine wa Serikali.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tarehe ya uteuzi wa wagombea na mabadiliko ya majimbo.Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tarehe ya uteuzi wa wagombea na mabadiliko ya majimbo.Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tarehe ya uteuzi wa wagombea na mabadiliko ya majimbo.Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akizungumza na Wasimamizi wa Uchaguzi kufungua Kikao Kazi cha watendaji hao wa uchaguzi kwenye Hoteli ya Morena jijini Dodoma leo Julai 24 mwkaa 2020.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akitoa Mada ya Mambo ya Kuzingatia kwa Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Kikao Kazi cha watendaji hao wa uchaguzi kwenye Hoteli ya Morena jijini Dodoma leo Julai 24 mwkaa 2020.
Baadhi ya washiriki wa kikao kazi cha Wasimamizi wa Uchaguzi
Baadhi wa washiriki wa mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi Kanda ya Kati, wakila kiapo wakati wa mafunzo
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akizungumza na washiriki wa mafunzo wa wasimamizi wa uchaguzi Kanda ya Kati
Washiriki wa Mafunzo wakifunga kituturi cha kupigia kura
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Balozi Omari Ramadhani Mapuri akitoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi Kanda ya Kati yaliyofanyika jijini Dododma
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akizungumza jambo na viongozi wa vyama vya siasa kwenye mkutano wa Tume na vyama vya siasa uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage akihutubia viongozi wa vyama vya siasa wakati akifungua mkutano wa Tume na vyama vya siasa ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, uliofanyika jijini Dar es Es Salaam.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakifuatilia mkutano
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Mary Longway akifungua mafunzo kwa Waratibu wa Uchaguzi, Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kutoka katika mikoa ya Mbeya na Songwe yanayofanyika Mkoani Mbeya.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina ametembelea banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwenye viwanja vya Nanenane mjini Morogoro
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina akimueleza jambo Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi George Mwakyembe wakati alipotembelea banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwenye viwanja vya Nanenane mjini Morogoro
Mmoja  ya wananchi waliotembelea banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Tume kwenye maonesho ya Nanenane mjini Morogoro.
Baada ya wananchi waliotembelea banda ya maonesho la Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwenye viwanja vya Nanenane jijini Dodoma
Mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la maonesho la Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwenye viwanja vya Nanenane mjini Morogoro, akimsikiliza Afisa wa Tume
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk akifungua mafunzo ya Watendaji wa Uchaguzi Pemba, Tanzania Zanzibar.
Naibu Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki mkoani Morogoro.
Balozi wa Shelisheli nchini Mhe. Maryvonne Pool akipata maelezo kuhusu kutoka kwa Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Elizabeth Salala wakati alipotembelea banda la Tume kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki mkoani Morogoro.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Mbarouk Salim Mbarouk akiwa kwenye picha ya pamoja na maafisa wa Tume baada ya kutembelea banda la Tume kwenye Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage akimkabidhi fomu za uteuzi kwa mgombea wa kiti cha Rais mgombea wa Chama cha AAFP, Seif Maalim Seif kwenye ofisi za Tume zilizopo jijini Dodoma.Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles na wa pili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume Jaji Rufaa Mst. Mbarouk Salim Mbarouk.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akisoma taratibu wanazopaswa kufuata wagombea wa kiti cha Rais muda mfupi kabla ya Mwenyekit wa Tume Jaji Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage (wa pili kushoto) kukabidhi fomu za kugombea Urais kwa wagombea wa AAFP.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage akimkabidhi fomu za uteuzi kwa mgombea wa kiti cha Rais mgombea wa Chama cha Demokrati (DP) Philipp John Fumbo (kushoto) kwenye ofisi za Tume zilizopo jijini Dodoma.Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume Jaji Rufaa Mst. Mbarouk Salim Mbarouk.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage akimkabidhi fomu za uteuzi kwa mgombea wa kiti cha Rais, mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli kwenye ofisi za Tume zilizopo jijini Dodoma.Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Wilson Charles na wa pili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume Jaji Rufaa Mst. Mbarouk Salim Mbarouk.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile, akizungumza na vyombo vya habari kwenye banda la Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kati jijini Dodoma
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dk. Wilson Mahera Charles (kulia) akisani kitabu katika Banda la Tume ya Uchaguzi lililopo katika Viwanja vya Maonesho ya Nane Nane Nzuguni Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume Jaji wa Rufaa (Mst.) Mhe. Semistocles Kaijage (katikati) akikabidhi fomu za Uteuzi kwa Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Bwana Muttamwega Bhatt Mgahwa (wa pili kushoto). aliyefuatana na Mgombea mwenza Bi Satia Mussa Bebwa.
Mwenyekiti wa Tume Jaji wa Rufaa (Mst.) Mhe. Semistocles Kaijage (katikati) akikabidhi fomu za Uteuzi kwa Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Bwana Muttamwega Bhatt Mgahwa (wa pili kushoto). aliyefuatana na Mgombea mwenza Bi Satia Mussa Bebwa.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh. Eng. Stella Manyanya akimsikiliza Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Johari Mutani (kulia) akimpa Maelezo juu ya shuguli za Tume. Naibu Waziri Manyanya alitembelea Banda la Maonesho ya Wakulima Nane Nane lililopo Nzuguni Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mh. Jaji Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais Kwa Mgombea wa Chama cha NRA, Leopard Mahona (kushoto) kwenye Ofisi za Tume, Njedengwa Jijini Dodoma. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume, Jaji Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha UPDP, Twalib Ibrahim Kadege (Wapili kushoto)  katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe katika Ofisi za NEC Njedengwa Jijini Dodoma leo Agosti 7,2020, kushoto ni Mgombea Mwenza, Prof. Omar Faki Hamad .
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia Makini, Cecilia Augustino Mwanga, katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma. Kushoto ni Mgombea Mwenza,Tabu Mussa Juma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu  katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma. Kushoto ni Mgombea Mwenza Salum Mwalimu.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa CHAUMMA, Hashim Rungwe katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa UMD, Khalfan Mohamed Mazurui na Mgombea Mwenza, Mashavu Alawi Haji katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha Wananchi CUF, Prof. Ibrahim Lipumba na aliyeambatana na Mgombea Mwenza, Hamida Abdallah Huaeshi katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha NCCR MAGEUZI, Yeremia Kulwa Maganja aliyeambatana na Mgombea Mwenza, Haji Ambar Khamis katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mh. Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha ADA-TADEA, John Paul Shibuda aliyeambatana na Mgombea Mwenza, Hassan Kornely Kijogoo katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi George Mwakyembe akitoa elimu ya mpiga kura kwenye soko kuu Majengo jijini Dodoma kuhamasisha wananchi wajitokeze kupiga kura siku ya uchaguzi terehe 28 Oktoba,2020
Utoaji Elimu ya Mpiga Kura kupitia Gari la Matangazo katika viunga mbalimbali vya jiji la Dodoma.
Utoaji Elimu ya Mpiga Kura kupitia Gari la Matangazo katika Soko Kuu la jiji la Dodoma.
Utoaji Elimu ya Mpiga Kura kupitia Gari la Matangazo katika Soko Kuu Majengo jijini Dodoma.
Utoaji Elimu ya Mpiga Kura kupitia Gari la Matangazo katika Soko Kuu la Majengo jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage akifungua mkutano wa viongozi wa dini uliofanyika jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 mwaka huu.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Asina Omari (katikati) akichangia hoja wakati wa mkutano wa Tume na Viongozi wa Dini uliofanyika jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile akizungumza na viongozi wa dini kwenye mkutani wa Tume na viongozi hao uliofanyika jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akionesha kitabu cha kanuni za uchaguzi za mwaka 2020 kwenye mkutano wa Tume na viongozi wa dini uliofanyika jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa dini waliohudhuria mkutano wa Tume na viongozi wa dini uliofanyika jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage akionesha kitabu cha Kanuni za Uchaguzi Mkuu za mwaka 2020 kwenye mkutano wa Tume na wahariri wa vyombo vya habari uliofanyika jijini Dar es Es Salaam.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akizfafanua jambo kwenye mkutnao wa Tume na wahariri wa vyombo vya habari uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (wa tatu kushoto waliokaa) akiwa kwenye picha na baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari kwenye mkutnao wa Tume na wahariri hao uliofanyika jijini Dar es Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile akizungumza na wahariri wa vyombyo habari kwenye mkutani wa Tume na wahariri hao uliofanyika jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Mbarouk S. Mbarouk akizungumza jambo kwenye mkutano wa Tume na wahariri wa vyombo vya habari iliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washiriki wa mkutano wa Tume na wahariri wa vyombo vya habari uliofanyika jijini Dar es Salaam akichagia hoja kwenye mkutano huo.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Martha Isaga akitoa elimu ya mpiga kura kwenye stendi ya Nyegezi jijini Mwanza.
Vijana madereva wa bodaboda wakiwa wametulia kwenye pikipiki zao wakisoma kipeperushi cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020 maeneo ya Sengerema jijini Mwanza.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Evarist Mbuya akitoa elimu ya mpiga kura kwenye stndi ya wilayani Sengerema jijini Mwanza.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Mbarouk s Mbarouk akifungua kikao cha Tume na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura kilichofanyika jijini Dodoma
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akizungumza na wawakilishi wa asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura kwenye kikao cha Tume na wawakilishi hao jijini Dodoma
Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile akifafanua jambo kwenye kikao cha Tume na wawakilishi wa asasi zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura 2020.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Mbarouk S. Mbarouk akizungumza na wawakilishi wa asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura (Habari) Dkt. Cosmas Mwaisobwa akieleza jambo kwenye kikao cha Tume na asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura.
Mkazi wa Geita na mfanyabiashara ya soko la mjini Geita akisoma kipeperushi cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu mchakato wa uchagizi mkuu wa mwaka 2020
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dodoma kuhusu siku ya uteuzi wa wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 mwkaa huu.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa Mst. Semistocles Kaijage (aliyesimama) akitangaza kumteua mgombea wa kitu cha Rais Dkt. John Pombe Magufuli na mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan , baada ya kurejesha fomu za uteuzi kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume Jaji wa Rufaa (Mst.) Mhe. Semistocles Kaijage akipokea fomu za Uteuzi kutoka kwa mgombea wa kiti cha Rais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa leo ni siku ya kurejesha fomu za uteuzi kwa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akipokea fomu za uteuzi kutoka kwa mgombea wa Chama cha ADA-TADEA, John Paul Shibuda aliyeambatana katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akipokea fomu za uteuzi kutoka kwa mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe kwenye ofisi za Tume Njedengwa jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akipokea fomu za uteuzi kutoka kwa mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akipokea fomu za uteuzi kutoka kwa mgombea wa Chama cha NCCR MAGEUZI, Yeremia Kulwa Maganja katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akipokea fomu za uteuzi kutoka kwa mgombea wa Chama cha Wananchi CUF, Prof.Ibrahim Lipumba katika Ofisi za NEC, Njedengwa Jijini Dodoma
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu vyombo vya habari kupoka uhuru na majukumu ya Tume kwa kutangaza matokeo ya uteuzi wa wagombea.
Mkurugenzi wa Uendeshaji Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya  Uchaguzi Bi. Clothilde Komba akiongoza kikao cha Kamati ya Kuratibu Ratiba ya Kampeni za Wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Uendeshaji Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya  Uchaguzi Bi. Clothilde Komba akiongoza kikao cha Kamati ya Kuratibu Ratiba ya Kampeni za Wagombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Habari na Mawasiliano ambaye pia ni Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Asina Omari akifungua kikao cha kamati hiyo kilichokutana hii leo jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Kamati ya Uchaguzi ya Habari na Mawasiliano ambaye pia ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura ya Tume ya Taifa ya Uchagizi Bi. Giveness Aswile akieleza jambo kwenye kikao cha kamati hiyo kilichokutana hii leo tarehe 1 Septemba, 2020 jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam kuhusu rufaa za wagombea ubunge na udiwani zilizowasilishwa Tume.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu rufaa za wagombea ubunge na udiwani zilizowasilishwa Tume.
Mwenyekiti wa   Kamati ya Uchaguzi ya Elimu ya Mpiga Kura na Asasi za Kiraia ambaye pia ni Mjumbe wa Tume Mhe. Balozi Omari Mapuri akifungua kikao cha kamati hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Katibu wa Kamati ya Uchaguzi ya Elimu ya Mpiga Kura na Asasi za Kiraia ambaye pia ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa kikao cha kamati hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura (Habari) Dkt. Cosmas Mwaisobwa akiwasilisha mada ya Mkakati wa Habari na Utoaji wa Elimu ya Mpiga Kura kwenye kikao cha Kamati ya Elimu ya Mpiga Kura na Asasi za Kiraia jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura (Elimu ya Mpiga Kura) Monica Mnanka  akiwasilisha mada ya Taarifa ya Asasi za Kiraia kwenye kikao cha Kamati ya Elimu ya Mpiga Kura na Asasi za Kiraia jijini Dar es Salaam.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Titus Mwanzalila akiwasilisha mada ya Mwongozo wa Utoaji wa Elimu ya Mpiga Kura  kwenye kikao cha Kamati ya Elimu ya Mpiga Kura na Asasi za Kiraia jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Elimu ya Mpiga Kura na Asasi za Kiraia akiwakilisha watu wenye ulemavu, akitoa hoja yake huku akisaidiwa na mkalimani
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles (kulia) ameongoza kikao cha maridhiano kati ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuhusu ushiriki wa TBC katika kuripoti kampeni za uchaguzi mkuu kwa wagombea wa CHADEMA.Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 4 Septemba, 2020 katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam kimehudhuriwa na Mkurugenzi Mkuu wa TBC Dkt. Ayoub Rioba,  Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Jukwaa la Waha
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akizungumza kwenye kikao cha maridhiano kati ya chama hicho na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayoub Rioba akizungumza kwenye kikao cha maridhiano kati ya TBC na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile akifungua mafunzo kwa asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura Tanzania Zanzibar, yaliyofanyika kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Thabit Idarous Faina akifafanua jambo kwenye  mafunzo kwa asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura Tanzania Zanzibar, yaliyofanyika kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Zanzibar.
Washiriki wa mafunzo kwa asasi za kiraia zilizopata kibali cha kutoa elimu ya mpiga kura Tanzania Zanzibar, wakifuatilia uwasilishwaji wa mada mbalimbali.Mafunzo hayo yamefanyika kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Zanzibar.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles leo tarehe 9 Septemba ametangaza uamuzi wa rufaa 34 zilizopitiwa, kuchambuliwa na kuamuliwa na Tume.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles akiwasilisha uamuzi wa kikao cha Tume kuhusu rufaa 60 za wagombea ubunge na udiwani jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Septemba, 2020
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dk. Wilson Mahera Charles akifungua mkutano wa Tume na watoa huduma za habari mtandaoni uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Habari na Mawasiliano ambaye pia ni Mjumbe wa Tume ya Taufa ya Uchaguzi Mhe. Asina Omari akizungumza.na watoa huduma ya habari mtandaoni jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa mkutano wa Tume na watoa huduma ya habari mtandaoni uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Leseni za Mawasiliano TCRA Mhandisi Andrew Kisaka akizungumza na washirki wa mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wadau wa habari mtandaoni uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Mst. Mbarouk S. Mbarouk akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi uliofanyika jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile akiwasilisha mada ya maandalizi ya uchaguzi mkuu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Uchaguzi, kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi jijini Dodoma.
Mrakibu Msaidizi wa Uhamiaji Khalid Kibwana mkoa wa Songwe akizungumzia masuala ya uhamiaji na uraia kwenye mktano wa wadau wa uchaguzi mkoani Songwe.
Mmoja wa wazee wa kimila wa mkoa wa Songwe akieleza jambo kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi mkoani Songwe.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Asina Omari (wa pili kulia waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na baaadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa uchaguzi uliofanyika mkoani Songwe.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akifungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi Mkoani Arusha tarehe 29 Septemba, 2020.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi Asina Omari amefungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi uliofanyika mkoani Mbeya.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi Asina Omari (katikati) akiongoza majadiliano ya wadau wa Uchaguzi kwenye mkutano wa wadau wa Uchaguzi uliofanyika jijini Mbeya.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage, amefungua mkutano wa wadau wa uchaguzi mkoa wa Kagera.
Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya Manunuzi na Lojistiki ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Emanuel Urembo (kulia) akisoma taarifa kwenye kikao cha kamati hiyo.
Kamati ya Kitaifa ya Manunuzi na Lojistiki ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, imekutana leo tarehe 8 Oktoba, 2020 kujadili mambo mbalimbali kuhusu manunuzi ya vifaa vya Uchaguzi na usambazaji wake. Kamati hiyo inajumuisha wajumbe 23 kutoka vyama vya siasa 16 na ofisi nyingine.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Manunuzi na Lojistiki ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Jaji Mst. Thomas Mihayo (katikati) ameongoza kikao cha kamati hiyo jijini Dar es Saalaam kujadili mambo mbalimbali kuhusu manunuzi ya vifaa vya Uchaguzi na usambazaji wake. Kamati hiyo inajumuisha wajumbe 23 kutoka vyama vya siasa na ofisi nyingine.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Asina Omari (katikati) amefungua na kuongoza mkutano wa Tume na wadau wa uchaguzi Tanzania Zanzibar uliofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Zanzibar.Kulia na mwakilishi wa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dtk. Cosmas Mwaisobwa na kushoto ni Mkurugenzi Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar Hamidu Mwanga.
a maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 mwaka huu kwenye mkutnao wa wadau Tanzania Zanzibar.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ofisi ya Zanzibar Bw. Hamidu Mwanga akifungua mkutano wa wadau wa Uchaguzi Tanzania Zanzibari
Mmoja wa viongozi wa dini aliyeshiriki mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wadau wa uchaguzi Tanzania Zanzibar, akitoa mchango wake kwenye mkutano huo.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wadau wa uchaguzi Tanzania Zanzibar, wakifuatilia hotuba ya Mkurugenzi wa NEC Ofisi ya Zanzibar Bw. Hamidu Mwanga.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Asina Omari akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa dini walioshiriki mkutano wa Tume na wadau wa uchaguzi Tanzania Zanzibar.
Mwenyekiti wa Kamati ya Manunuzi na Lojistiki na Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Asina Omari akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutembelea na kujionea maandalizi ya vifaa vya uchaguzi kwenye bohari ya Tume jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya Manunuzi na Lojistiki, Emanuel Urembo akiwaonesha wajumbe wa kamati na waandishi wa habari moja ya vifaa vilivyo tayari kusafirishwa kwenda kwenye halmashauri mbalimbali kwa ajili ya uchaguzi, wakati kamati hiyo ilipotembelea bohari ya Tume na kujionea maandalizi ya uchaguzi.
Mwenyejiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage akifungua mkutano wa Tume na Watendaji wa Uchaguzi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Wasimamizi wa Uchaguzi mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia hotuba ya mwenyekiti
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Elimu ya Mpiga Kura ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura ya Tume ya Taifa ya  Uchaguzi Dkt. Cosmas Mwaisobwa (kushoto), akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichokutana jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba, 2020 kujadili mambo mbalimbali kuhusu Elimu ya  Mpiga Kura.Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Monica Munanka.
Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Elimu ya Mpiga Kura wakimsikiliza mwenyekiti wa kamati hiyo  Dkt. Cosmas Mwaisobwa, kwenye kikao cha kamati hiyo kilichokaa jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba, 2020.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Habari na Mawasiliano ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ambaye pia ni Mjumbe wa Tume wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Asina Omari ameongoza kikao cha kamati hiyo. Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo na Mkurugenzi Msaidizi (Habari) wa Tume. Wajumbe wa kamati wanatoka kwenye vyombo vya habari vya umma na vyama vya siasa.
Mmoja wa Wajumbe wa  Kamati ya Kitaifa ya Habari na Mawasiliano ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, akichangia hoja.
Baadhi ya Wajumbe wa  Kamati ya Kitaifa ya Habari na Mawasiliano ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Elimu ya Mpiga Kura ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura ya Tume ya Taifa ya  Uchaguzi Dkt. Cosmas Mwaisobwa (kushoto), akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichokutana jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba, 2020 kujadili mambo mbalimbali kuhusu Elimu ya  Mpiga Kura.Kulia ni Kaimu Katibu wa Kamati hiyo Monica Munanka.
Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Elimu ya Mpiga Kura wakimsikiliza Kaimu Mwenyekiti wa kamati hiyo  Dkt. Cosmas Mwaisobwa, kwenye kikao cha kamati hiyo kilichokaa jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba, 2020.
Wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Elimu ya Mpiga Kura wakimsikiliza Kaimu Mwenyekiti wa kamati hiyo  Dkt. Cosmas Mwaisobwa, kwenye kikao cha kamati hiyo kilichokaa jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Oktoba, 2020.
Mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Elimu ya Mpiga Kura akichangia jambo kwenye kikao cha kamati hiyo kilichokaa hii leo tarehe 18 Oktoba, 2020..
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Gerald Mwanilwa akifungua mafunzo ya uchaguzi wa mfano kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Habari na Mawasiliano ambaye pia ni Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Asina Omari akitoa neno kwa washiriki wa mafunzo ya uchaguzi wa mfano kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (kulshoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu mambo muhimu ya kuzingatiwa na vyama vya siasa na wagombea wakati huo wa kuelekea uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba, 2020
Vituo vya kupigia kua kwa ajili ya uchaguzi wa mfano unaoshirikisha waandishi wa habari wa jiji la Dar es Salaam.
Maandalizi ya kituo cha kupigia kura
Mpiga kura akipiga kura yake
mpiga kura mwenye ulemavu wa kuona akihudumiwa na msimamizi wa kituo cha kupigia kura
kura zikihesabiwa kwenye kituo cha kuhesabu kura
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Balozi Omar Ramadhani Mapuri akitoa maelezo kuhusu maandalizi ya uchaguzi kwa watazamaji wa uchaguzi wa ndani na nje ya nchi kwa niaba ya Mwenyekiti wa NEC.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP. Simon Sirro akitoa taarifa za kiusalama kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020.
Baadhi ya watazamaji wa uchaguzi wakifuatilia maelezo kutoka kwa mwakilishi wa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mjumbe wa Tume Balozi Omar Ramadhani Mapuri.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (kulia) amekutana na Mwenyekiti na kiongozi wa misheni ya watazamaji wa uchaguzi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Sylvestre Ntibantunganya (kushoto), ambaye ni Rais mstaafu wa Burundi.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (kulia) amekutana na Mwenyekiti na kiongozi wa misheni ya watazamaji wa uchaguzi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Sylvestre Ntibantunganya (kushoto), ambaye ni Rais mstaafu wa Burundi.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (karibu na bendera ya Tanzania) amekutana na Mwenyekiti na kiongozi wa misheni ya watazamaji wa uchaguzi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Sylvestre Ntibantunganya (karibu na bendera ya Afrika Mashariki), ambaye ni Rais mstaafu wa Burundi.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles, akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam kutoa rai kwa watanzania, kuvipuuza vikundi au baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wanaojipanga kuharibu taswira ya uchaguzi.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Mstaafu Mary Longway akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi  wa Vituo  wa Majimbo ya Temeke na Mbagala.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Mstaafu Mary Longway akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi  wa Vituo  wa Majimbo ya Temeke na Mbagala.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera Charles (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Tume, Njedengwa jijini Dodoma kuhusu madai ya uwepo wa vituo na wapiga kura hewa katika maeneo mbalimbali nchini. Kushoto ni ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpigakura, Dk. Cosmas Mwaisobwa.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera Charles (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Tume, Njedengwa jijini Dodoma kuhusu madai ya uwepo wa vituo na wapiga kura hewa katika maeneo mbalimbali nchini. Kushoto ni ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpigakura, Dk. Cosmas Mwaisobwa.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage amewaongoza wajumbe wa Tume katika mapokezi ya Ujumbe wa Watizamaji wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AU) ukiongozwa na Rais Mstaafu wa Nigeria, Mhe. Goodluck Jonathan.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage amewaongoza wajumbe wa Tume katika mapokezi ya Ujumbe wa Watizamaji wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AU) ukiongozwa na Rais Mstaafu wa Nigeria, Mhe. Goodluck Jonathan.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage amewaongoza wajumbe wa Tume katika mapokezi ya Ujumbe wa Watizamaji wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AU) ukiongozwa na Rais Mstaafu wa Nigeria, Mhe. Goodluck Jonathan.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage akitangaza matokeo ya awali ya kura za Rais kutoka majimbo mbalimbali nchini kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julias Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage (katikati) akiwa meza kuu na wajumbe wa Tume wakati akitangaza matokeo ya awali ya kura za Rais kutoka majimbo mbalimbali nchini kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julias Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya watazamaji wa uchaguzi wa Kimataifa wakifuatilia utangazaji wa matokeo ya awali ya kura za Rais kutoka majimbo mbalimbali nchini kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julias Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya watazamaji wa uchaguzi wa ndani na viongozi wa vyama vya siasa, wagombea na waandishi wa habari wakifuatilia utangazaji wa matokeo ya awali ya kura za Rais kutoka majimbo mbalimbali nchini kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julias Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage (kushoto) akimkabidhi Hati ya Ushindi Rais Mteule wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli jijini Dododma baada ya kutangazwa mshindi wa Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage (kushoto) akimkabidhi Hati ya Ushindi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani  jijini Dododma baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha Makamu wa Rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Rais Mteule wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akionesha Hati ya Ushindi aliyopewa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage  jijini Dododma baada ya kutangazwa mshindi wa Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
Baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais katika Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa mwaka 2020, wakifuatilia hafla ya utoaji wa hati ya ushindi kwa wagombea walioshinda uchaguzi wa Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma.
Baadhi ya wagombea wa kiti cha Rais katika Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa mwaka 2020, wakifuatilia hafla ya utoaji wa hati ya ushindi kwa wagombea walioshinda uchaguzi wa Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa Mst. Semistocles Kaijage (katikati) akiwa na wajumbe wa Tume na Katibu wa Tume wakati wa hafla ya utoaji wa Hati ya Ushindi kwa wateule kwa kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Baadhi ya wagombea wenza na wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya utoaji wa Hati ya Ushindi  wateule wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya utoaji wa Hati ya Ushindi  wateule wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji wa Rufaa (Mst.) Mbarouk Salim Mbarouk, akifungua kikao cha Tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 baina ya Tume na waratibu wa uchaguzi nchini, kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 20, 2020.
Baadhi ya watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na waratibu wa uchaguzi wa mikoa yote nchini wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao cha Tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 baina ya Tume na waratibu wa uchaguzi nchini, kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 20, 2020.
Baadhi ya watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na waratibu wa uchaguzi wa mikoa yote nchini wakifuatilia hotuba ya ufunguzi wa kikao cha Tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 baina ya Tume na waratibu wa uchaguzi nchini, kilichofanyika jijini Dodoma Novemba 20, 2020.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na maafisa ugavi kutoka halmashauri mbalimbali nchini kwenye kikao cha tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 baina ya Tume na maafisa hao kinachofanyika jijini Dodoma.
Baadhi ya maafisa ugavi kutoka halmashauri mbalimbali nchini wakimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera kwenye kikao cha tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 baina ya Tume na maafisa hao kinachofanyika jijini Dodoma.
Baadhi ya watendaji wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakifuatilia kikao cha tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 baina ya Tume na maafisa ugavi kutoka halmashauri mbalimbali nchini kinachofanyika jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mstaafu. Mizengo Pinda akipanda mti ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa upandaji miti 800 katika eneo la Jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ndejengwa jijini Dodoma Desemba 2,2020. Mradi huo wa upandaji miti takribani 55 katika taasisi za umma katika Mkoa wa Dodoma unaendeshwa na Taasisi ya Habari Development Association.
Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Clothilde Komba akipanda mti huku akishuhudiwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kwenye eneo la NEC, jijini Dodoma.
Mizengo Pinda maarufu kwa jina la Mtoto wa Mkulima, akigawa miti kwa baadhi ya watumishi wa NEC ili wakapande maeneo wanayoishi.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda ambaye pia ni mlezi wa  Taasisi ya Habari Development Association, akiandaa sehemu kwa ajili ya kupanda mti.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda ambaye pia ni mlezi wa  Taasisi ya Habari Development Association, akiweka udongo kwenye mti ili kuimarisha ukuaji wake baada ya kupandwa.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na watendaji na watumishi wa NEC.
Makarani Waongozaji Wapiga Kura wa vituo vya kupigia kura katika Kata ya Kibosho Kati Jimbo la Moshi Vijijini, wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika kata hiyo unaotarajiwa kufanyika Desemba 8 mwaka 2020.
Makarani Waongozaji Wapiga Kura wa vituo vya kupigia kura katika Kata ya Kibosho Kati Jimbo la Moshi Vijijini, wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika kata hiyo unaotarajiwa kufanyika Desemba 8 mwaka 2020.
Makarani Waongozaji Wapiga Kura wa vituo vya kupigia kura katika Kata ya Kibosho Kati Jimbo la Moshi Vijijini, wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani katika kata hiyo unaotarajiwa kufanyika Desemba 8 mwaka 2020.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Usimamizi wa Uchaguzi Bi Dorothea Chale (kulia) akishuhudia ugawaji wa vifaa kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kata ya Kibosho Kati, Halmashauri ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro unaofanyika Jumanne Desemba 8, 2020.
Wasimamizi wa vituo 16 katika Kata hiyo Kibosho Kati, Halmashauri ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, walikabidhiwa vifaa vya Uchaguzi kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Diwani wa kata hiyo utakaofanyika Jumanne Desemba 8, 2020.
Mmoja ya wananchi wa Kata ya Kiboshoa Kati, Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro akipiga kura katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani wa kata hiyo uliofanyika leo Desemba 8,2020.
Wapiga kura wa Kata ya Kiboshoa Kati, Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro, wakiwa wamejitokeza kwenye moja ya kituo cha kupigia kura ili kupiga kura katika Uchaguzi Mdogo wa Udiwani wa kata hiyo uliofanyika leo Desemba 8,2020.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na watumishi wa Tume, Uchaguzi House, Njendengwa jijini Dodoma ikiwa ni utaratibu aliojiwekea wa kuzungumza na watumishi masuala mbalimbali ya kiutawala na utendaji kazi.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera Charles (kushoto), akifafanua jambo kwa  Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Balozi Wilson Masilingi  wakati Balozi huyo alipotembelea Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa jijini Dodoma leo 11 Februari 2021. Balozi Masilingi ameipongeza Tume na Serikali kwa kuweza kujenga Ofisi zake na kusimamia vyema Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28,2020 kwa kutumia fedha zake yenyewe.
Wafanyakazi (Wanawake) wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa wilayani Bahi mkoani Dodoma leo Machi 8, 2021, katika viwanja vya Singidani.Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni
Wafanyakazi (Wanawake) wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa wilayani Bahi mkoani Dodoma leo Machi 8, 2021, katika viwanja vya Singidani.Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni
Wafanyakazi (Wanawake) wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa wilayani Bahi mkoani Dodoma leo Machi 8, 2021, katika viwanja vya Singidani.Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa Mstaafu Semistocles Kaijage akichangia hoja kwenye Mkutano wa Kamati Tendaji (Exucutive Committee) ya Jukwaa la Jumuiya ya Tume za Uchaguzi kutoka Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF SADC). 	Mkutano huo uliofanyika leo tarehe 11 Machi, 2021 kwa njia ya mtandao.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa Mstaafu Semistocles Kaijage (kulia) akiwa na Makamu Mwenyekiti wa NEC Jaji Rufaa Mstaafu Mbarouk Salim Mbarouk (katikati) na Mjumbe wa Tume Jaji Mstaafu Mary Longway wakishiriki Mkutano wa Kamati Tendaji (Exucutive Committee) ya Jukwaa la Jumuiya ya Tume za Uchaguzi kutoka Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF SADC), uliofanyika leo tarehe 11 Machi, 2021 kwa njia ya mtandao.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Rufaa Mstaafu Semistocles Kaijage (katikati) wakifuatilia Mkutano wa Kamati Tendaji (Exucutive Committee) ya Jukwaa la Jumuiya ya Tume za Uchaguzi kutoka Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF SADC), uliofanyika leo tarehe 11 Machi, 2021 kwa njia ya mtandao pamoja na Makamu Mwenyekiti wa NEC Jaji Rufaa Mstaafu Mbarouk Salim Mbarouk (kushoto) na Mjumbe wa Tume Jaji Mstaafu Mary Longway.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst.) Mbarouk Salim Mbarouk amefungua Mkutano wa Mwaka wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume uliofanyika tarehe 12 Machi, 2021 jijini Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst.) Mbarouk Salim Mbarouk (wa pili kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi na Mwenyekiti wa Mkutano wa Mwaka wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume Dkt. Wilson Mahera Charles, wakiimba wimbo wa mshikamano na viongozi wa chama cha wafanyakazi kabla ya kuanza mkutano wa baraza hilo uliofanyika tarehe 12 Machi, 2021 jijini Dodoma.
Baadhi ya wafanyakzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakifuatilia hotuba ya Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst.) Mbarouk Salim Mbarouk kwenye  Mkutano wa Mwaka wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume uliofanyika tarehe 12 Machi, 2021 jijini Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst.) Mbarouk Salim Mbarouk (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Tume baada ya Mkutano wa Mwaka wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume uliofanyika tarehe 12 Machi, 2021 jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles (wa pili kulia) amehudhuria hafla ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Charles (mwenye tai) akishiriki maombi wakati alipohudhuria hafla ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma.
Jeneza lililobeba mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles amehudhuria ibada ya mwisho ya kumuaga Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli iliyofanyika kwenye Uwanja wa Magufuli mjini Chato mkoani Geita.
Kaburi la Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kuzikwa nyumbani kwake Chato mkoani Geita.
Gari la Matangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi linatoa Elimu ya Mpiga Kura katika Kata ya Kitahana wilayani Kibondo mkoani Kigoma kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Nuru Riwa akizungumza na baadhi ya wapiga kura wakati wa utoaji Elimu ya Mpiga Kura katika Kata ya Kitahana wilayani Kibondo mkoani Kigoma kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Baadhi ya wapiga kura wa Kata ya Kigendeka wakisoma vipeperushi vya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ikiwa ni sehemu ya Elimu ya Mpiga Kura wakati wa utoaji Elimu ya Mpiga Kura katika Kata ya Kigendeka wilayani Kibondo mkoani Kigoma kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Juvenail Kaiza akizungumza na wapiga kura wa Kata ya Kigendeka wakati wakati Gari la Matangazo la Tume lilipokuwa likitoa Elimu ya Mpiga Kura katika kata hiyo iliyopo wilayani Kibondo mkoani Kigoma kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Baadhi ya Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wapiga kura wa  kata hiyo wakati Gari la Matangazo la Tume lilipokuwa likitoa Elimu ya Mpiga Kura katika kata hiyo iliyopo wilayani Kibondo mkoani Kigoma kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Wapiga Kura wa Kata ya Nyaruyoba wakionesha vipeperushi vya Tume baada ya kupata Elimu ya Mpiga Kura kuelekea Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Dkt. Cosmas Mwaisobwa akitoa Elimu ya Mpiga Kura kwenye Shule ya Sekondari ya Malagarasi iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma kuelekea Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Muhambwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Mpiga Kura wa Kata ya Munanila Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma akiuliza swali wakati Gari la Matangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi likitoa Elimu ya Mpiga Kura eneo la soko la Munanila kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Buhigwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Wapiga Kura wa Kjiji cha Muhinda kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe wakisoma vipeperushi vya Tume wakati Tume ilipotoa Elimu ya Mpiga Kura kijijini hapo kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Buhigwe utakaofanyika tarehe 16 Mei,2021.
Mpiga Kura wa Kata ya Mugera iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe akieleza jambo wakati Tume ilipokuwa ikitoa Elimu ya Mpiga Kura kijijini hapo kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Buhigwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Michael Kiria akitoa Elimu ya Mpiga Kura kwenye kijiji cha Migongo wilayani Buhigwe mkoani Kigoma wakati Gari la Matangazo la Tume ilipofika kijijini hapo kutoa kuwahamasisha wapiga kura kujitokeza siku ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Buhigwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Mpiga Kura wa Kata ya Kibwigwa iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe akisoma kijitabu cha Tume ya Taifa ya Uchaguzi wakati Tume ilipofika kwenye kata hiyo kuhamasisha wapiga kura wajitokeze kupiga kura Elimu ya Mpiga Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Buhigwe utakaofanyika tarehe 16 Mei, 2021.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage (kushoto) na Makamu Mwenyekiti wa tume hiyo Jaji Rufaa (Mst.) Mbarouk Salim Mbarouk (kulia) wameshiriki Mkutano wa Jukwaa la Jumuiya ya Tume za Uchaguzi kutoka Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF-SADC) kwa njia ya mtandao kujadili masuala ya Kidemokrasia na Chaguzi kwa nchi za SADC jijini Dar es Salaam leo tarehe 4 Mei, 2021.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji  Rufaa (Mst.) Semistocles Kaijage (kulia) akiwa na Makamu wake Jaji Rufaa (Mst.) Mbarouk Salim Mbarouk wakati waliposhiriki Mkutano wa Jukwaa la Jumuiya ya Tume za Uchaguzi kutoka Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF-SADC) kwa njia ya mtandao wakiwa jijini Dar es Salaam kujadili Demokrasia na Uchaguzi kwa nchi za SADC.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bi. Giveness Aswile akizungumza na moja ya kundi la washiriki wa mafunzo ya watendaji wa uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya watendaji wa uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage  akiwa na watendaji wengine wa Tume , ametembelea na kukagua maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma na kupata taarifa ya maandalizi ya uchaguzi huo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage  (mwenye kofia kushoto) akiwa na watendaji wengine wa Tume , amepokea taarifa ya maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo hilo.
Afisa Mwandamizi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Stephen Elisante akizungumza na  washiriki wa mafunzo ya watendaji wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma wakati alipotembelea mafunzo hayo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (kushoto) ametembelea na kuzungumza na wasimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo kuhusu maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Buhigwe Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma.
Wasimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata katika Jimbo la Muhambwe katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo wakiandaa vifaa vya uchaguzi kuelekea kwenye vituo vya kupigia kura vilivyopo kwenye kata za jimbo hilo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, akipiga Kura katika Kituo cha kupiga kura cha Ofisi ya Kijiji Kasumo 2 Kata ya Kajana Jimbo la Buhigwe Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe MKoani  Kigoma katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika Mei 16, 2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, akiwa kwenye Kituo cha kupiga kura cha Ofisi ya Kijiji Kasumo 2 Kata ya Kajana Jimbo la Buhigwe Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe MKoani  Kigoma kwa ajili ya kupiga kura katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika Mei 16, 2021.
Watazamaji (Observers) wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe kutoka Ubalozi wa Marekani, Bi. Chikulupi Kasaka (kulia) na Bi. Kristin Mencer (kushoto) wakiendelea na kazi yao wakipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Daniel Kalinga wakati walipotembelea vituo vya kupigia kura siku ya Uchaguzi mdogo wa jimbo hilo uliofanyika Mei 16, 2021.
Mpiga Kura wa Jimbo la Buhigwe Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma akitsaidiwa kutekelleza haki yake ya kupiga kura kumchagua Mbunge wa Jimbo hilo katika Uchaguzi mdogo uliofanyika Mei 16,2021.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Muhambwe, Bw. Diocles Rutema amemkabidhi cheti cha ushindi aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo hilo, Dkt. Florence Samizi baada ya kupata ushindi katika uchaguzi huo.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Buhigwe, Bi. Marycelina Mbehoma akimkabidhi Cheti cha ushindi mshindi wa kiti cha Ubunge Jimbo la Buhigwe, Felix Kavejuru wa Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuibuka mshindi dhidi ya wapinzani wake 12 alioshiriki nao katika Uchaguzi mdogo uliofanyika Mei 16,2021.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na wanawake viongozi kutoka vyama vya Siasa nchini waliotembelea Makao Makuu ya Tume, Njedengwa Jijini Dodoma leo (tarehe 8 Juni, 2021) kujionea shughuli zinazofanywa na Tume. Msafara huo uliongozwa na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Sisty Nyahoza kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na wanawake viongozi kutoka vyama vya Siasa nchini waliotembelea Makao Makuu ya Tume, Njedengwa Jijini Dodoma leo (tarehe 8 Juni, 2021) kujionea shughuli zinazofanywa na Tume. Msafara huo uliongozwa na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Sisty Nyahoza kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles (kulia) na Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mathias Kabunduguru, wakifuatilia Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka 2021/2022 iliyosomwa bungeni jijini Dodoma leo tarehe 10 Juni, 2021.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles (kulia mstari wa chini) akiwa na wageni wengine walioalikwa Bungeni wakati Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka 2021/2022 iliposomwa bungeni jijini Dodoma leo tarehe 10 Juni, 2021.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst). Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk amefungua Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde mkoa wa Kaskazini Pemba ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika jimbo hilo utakaofanyika tarehe 18 Julai mwaka 2021
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Bw. Emmanuel Kawishe amefunga Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde Mkoa wa Kaskazini Pemba ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 18 Julai mwaka 2021.
Picha ya pamoja ya Mkurugenzi wa Huduma za Sheria Bw. Emmanuel Kawishe (katikati) akiwa na maafisa, watendaji wengine wa Tume na washiriki wa Mafunzo kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde Mkoa wa Kaskazini Pemba baada ya kukamilika kwa mafunzo hayo. Uchaguzi Mdogo wa jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 18 Julai mwaka 2021.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura, Tume ya Taifa ya Uchaguzi anayeshughulikia Elimu ya Mpiga Kura Monica Mnanka na Maafisa wa Tume wakitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia Redio Jamii Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Konde unaotarajiwa kufanyika tarehe 18 Julai mwaka 2021.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na  viongozi wa dini kutoka Arumeru Magharibi waliotembelea Makao Mkakuu ya Tume, Njedengwa Jijini Dodoma leo Juni 21,2021 kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na Tume. Viongozi hao wa dini waliongozwa na Mbunge wa Jimbo hilo la Arumeru Magharibi, Noah Saputu
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Charles Mahera akiwa na wageni wa Mbunge wa Jimbo la Butiama, mkoani Mara ambao ni madiwani na wananchi wengine waliotembelea Dodoma na kupata fursa ya kutembelea ofisi za Tume, Njedengwa jijini Dodoma Juni 21,2021 kuona Tume inavyofanya shughuli zake.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charlesakiwa na Maafisa wa Tume  ameshiriki mkutano wa Watendaji wa Kuu wa ECF-SADC (Jukwaa la Tume za Uchaguzi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika) uliofanyika kwa njia ya mtandao akiwa jijini Dodoma kujadili maandalizi ya kikao cha EXCO-SADC (Kamati Tendaji) juu ya yale yatakayojadiliwa katika Mkutano Mkuu wa 23 wa mwaka.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Wilson Charles (kulia) akipokea cheti cha mshindi wa pili kwa Taasisi za Serikali zilizofanya vizuri katika masuala ya Utawala na Utumishi Serikalini kutoka kwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa NEC Bw. Gerald Mwanilwa. Cheti hicho kimetolewa na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwenye Kikao cha Wakurugenzi wa Utawala Serikalini kilichofanyika Juni 22 jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Wilson Charles (kulia) akiangalia cheti cha mshindi wa pili ilichopata Tume kwa Taasisi za Serikali zilizofanya vizuri katika masuala ya Utawala na Utumishi.Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa NEC Bw. Gerald Mwanilwa.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa NEC Bw. Gerald Mwanilwa (kulia) akizungumza na watumishi wa Tume.Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Wilson Charles.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani (Mst) Semistocles Kaijage  leo Juni 24,2021,ameshiriki  Kikao cha Kamati Tendaji (EXCO) ya Viongozi Wakuu  wa ECF-SADC (Jukwaa la Tume za Uchaguzi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika) uliofanyika kwa njia ya mtandao. Mkutano huo ulikua wa kuthibitisha yale yatakayojadiliwa katika Mkutano Mkuu wa 23 wa mwaka utakao fanyika mwezi Septemba 2021 nchini Msumbiji..
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani (Mst) Semistocles Kaijage (kushoto)  leo Juni 24,2021,ameshiriki  Kikao cha Kamati Tendaji (EXCO) ya Viongozi Wakuu  wa ECF-SADC (Jukwaa la Tume za Uchaguzi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika) uliofanyika kwa njia ya mtandao. Mkutano huo ulikua wa kuthibitisha yale yatakayojadiliwa katika Mkutano Mkuu wa 23 wa mwaka utakao fanyika mwezi Septemba 2021 nchini Msumbiji..
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles (katikati) leo amefungua mkutano wa Kuzindua na Kusambaza Ripoti ya Tathmini ya Masuala ya Jinsia na Ushirikishwaji wa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.Mkutano huo uliofanyika jijini Dodoma umeandaliwa na Asasi ya International Republic Institute na kuhudhuriwa na mwakilishi kutoka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, wawakilishi wa vyama vya siasa, Asasi za kiraia.
Mkuu wa Idara ya Huduma za Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi ya ZanzibarKhamis Issa Khamis akitoa maelezo ya ufunguzi wa mkutano wa Kuzindua na Kusambaza Ripoti ya Tathmini ya Masuala ya Jinsia na Ushirikishwaji wa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, iliyoandaliwa na Asasi ya International Public Institute.Mkutano huo umefanyika jijini Dodoma na kuhudhuriwa na wawakilishi wa vyama vya siasa na asasi za kiraia.
Mkuu wa Idara ya Huduma za Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi ya ZanzibarKhamis Issa Khamis akitoa maelezo ya ufunguzi wa mkutano wa Kuzindua na Kusambaza Ripoti ya Tathmini ya Masuala ya Jinsia na Ushirikishwaji wa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, iliyoandaliwa na Asasi ya International Public Institute.Mkutano huo umefanyika jijini Dodoma na kuhudhuriwa na wawakilishi wa vyama vya siasa na asasi za kiraia.
Mshauri wa Mradi Dkt. Victoria Lihiru akiwasilisha mambo muhimu na mapendekezo ya Ripoti ya Tathmini ya Masuala ya Jinsia na Ushirikishwaji wa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kwenye mkutano uliofanyika jijini Dodoma ulioandaliwa na Asasi ya International Republic Institute na kuhudhuriwa na mwakilishi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar,  wawakilishi wa vyama vya siasa, Asasi za kiraia.
Afisa Uchaguzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mawazo Bikenye akitoa mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya vituo ambao wanapatiwa mafunzo kwaajili ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba unaotaraji kufanyika Jumapili Julai 18,2021
Washiriki wa mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya vituo ambao wanapatiwa mafunzo kwa ajili ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba unaotaraji kufanyika Jumapili Julai 18,2021.
Washiriki wa mafunzo kwa wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya vituo ambao wanapatiwa mafunzo kwa ajili ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba unaotaraji kufanyika Jumapili Julai 18,2021.
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ofisi ya Zanzibar, Hamidu Mwanga akizungumza wakati wa kufunga Mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi katika Jimbo la Konde.
Wapiga Kura wa Konde, Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba, wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura leo Julai 18,2021 kwaajili ya kupiga kura kumchagua Mbunge wa Jimbo la Konde.
Mawakala wa vyama vya siasa wakifuatilia upigaji kura ukiendelea kwenye kituo cha kupigia kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Konde
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Mst) Mary Longway ametembelea vituo vya kupigia kura kukagua mwenendo wa zoezi la upigaji kura kwenye uchaguzi mdogo wa Kata ya Mbagala Kuu iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam.
Wapiga kura wakiwa wamejitokeza kupiga kura kwenye  uchaguzi mdogo wa Diwani  kata ya Mchemo  Jimbo la Newala  Vijijini  leo tarehe 18/07/2021.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Asina Omari ametembelea vituo vya kupigia kura kukagua mwenendo wa zoezi la upigaji kura kwenye uchaguzi mdogo wa Kata ya Mbagala Kuu iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, Mkoa wa Dar es Salaam.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde, Yasin Jabu Hamisi (kushoto) akikabidhi hati ya ushindi kwa mshindi wa kiti cha Ubunge Jimbo la Konde, Sheha Mpemba Faki wa Chama cha Mapinduzi (CCM), baada ya kuibuka mshindi kwa kura halali 1,796 kati ya kura 5,020 katika Uchaguzi mdogo uliofanyika leo Julai 18,2021.
Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) Mkoa wa Dodoma Bw. Nsubisi Mwasandende akizungumza kwenye mkutano wa kuchagua viongozi wa chama hicho tawi la Tume ya Taifa ya Uchaguzi.Katikati ni Mwenyekiti wa tawi hilo aliyemaliza muda wake Bi. Nuwiya Sultan na Katibu aliyemaliza muda wake Bw. Erasto Mwakalinga.
Katibu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) Mkoa wa Dodoma Bw. Nsubisi Mwasandende (kulia) akifuatilia kazi ya kuhesabu kura wakati wa uchaguzi wa viongozi wa la Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) la Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Mgeni Rasmi wa Mkutano wa Uchaguzi wa Tawi la Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) la Tume ya Taifa ya Uchaguzi anayemwakilisha  Mkurugenzi wa Uchaguzi Bi. Hidaya Gwando (kulia) akifungua mkutano huo.
Picha ya pamoja ya viongozi na wajumbe wa Tawi la Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) la Tume ya Taifa ya Uchaguzi baada ya mkutano wa uchaguzi.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles amefungua Kongamano la Siku moja la Asasi za Kiraia na Tume lililofanyika jijini Dar es Salaam kuhusu ushirikiano kati ya Tume na Asasi hizo.Kongamano hilo limeandaliwa na Asasi ya Youth Partnership Coutrywide (YPC)
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles wakati akifungua Kongamano la Siku moja la Asasi za Kiraia na Tume lililofanyika jijini Dar es Salaam kuhusu ushirikiano kati ya Tume na Asasi hizo.Kongamano hilo limeandaliwa na Asasi ya Youth Partnership Coutrywide (YPC)
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la siku moja la Asasi za Kiraia na Tume lililofanyika jijini Dar es Salaam kuhusu ushirikiano baina ya Tume na asasi hizo.Kongamano hilo limeandaliwa na Asasi ya Youth Partnership Countrywide (YPC).
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst.) Rufaa Semistocles Kaijage akizungumza jambo wakati alishiriki kikao cha Jukwaa la Tume za Uchaguzi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF-SADC) kujadili mchakato wa maandalizi wa Utazamaji wa Uchaguzi wa Zambia.Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 3 Agosti, 2o21 kwa njia ya Mtandao.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst.) Rufaa Semistocles Kaijage (kulia) akifuatilia kikao cha Jukwaa la Tume za Uchaguzi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF-SADC) kilichofanyika leo tarehe 3 Agosti, 2021 kujadili mchakato wa maandalizi wa Utazamaji wa Uchaguzi wa Zambia. Kushoto ni Maafisa wa Tume wakifuatilia kikao hicho kilichofanyikaleo kwa njia ya Mtandao.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Mst.) Rufaa Semistocles Kaijage (kulia) akifuatilia kikao cha Jukwaa la Tume za Uchaguzi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF-SADC) kilichofanyika leo tarehe 3 Agosti, 2021 kujadili mchakato wa maandalizi wa Utazamaji wa Uchaguzi wa Zambia. Kushoto ni Maafisa wa Tume wakifuatilia kikao hicho kilichofanyikaleo kwa njia ya Mtandao.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles leo tarehe 03.08.2021 amehudhuria kikao cha Jukwaa la Tume za Uchaguzi kutoka nchi za SADC kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Zambia. Mkutano huo umefanyika kwa njia ya mtandao.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles (kushoto) akizungumza jambo wakati alipopokea rasimu ya taarifa ya utizamaji wa  Uchaguzi Mdogo uliofanyika tarehe 16 May, 2021 katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe Mkoani Kigoma kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles (kulia) akizungumza jambo wakati alipopokea rasimu ya taarifa ya utizamaji wa  Uchaguzi Mdogo uliofanyika tarehe 16 May, 2021 katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe Mkoani Kigoma kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Bi. Anna Henga amewasilisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi, rasimu ya taarifa ya utizamaji wa  Uchaguzi Mdogo uliofanyika tarehe 16 May, 2021 katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe Mkoani Kigoma.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles (wa tatu kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Bi. Anna Henga (wa nne kushoto) pamoja na watendaji wa Tume na LHRC.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Hussein Makame akipokea Kikombe cha Msindi wa Pili kwa Taasisi za Serikali zinazoongoza kwa Upandaji Miti mkoa wa Dodoma kutoka kwa Mgeni Rasmi katika Tamasha la Upandaji Miti la 2021 Mhe. Mizengo Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu.Tamasha hilo limefanyika kwenye Chuo cha DECA jijini Dodoma ambapo Taasisi za Serikali, Asasi Binafsi, Vyuo na Shule za Msingi na Sekondari za mkoa wa Dodoma zimepata zawadi mbalimbali kwa Upandaji Miti.Tamasha limeandaliwa na Kamati ya Uratibu wa D
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda akipanda mti kwenye viwanja vya Chuo cha DECA kilichopo jijini Dododa ikiwa ni sehemu ya Tamasha la Upandaji Miti la 2021 liliandaliwa na Kamati ya Uratibu wa Dodoma ya Kijani lililofanyika leo tarehe 14 Agosti, 2021.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bw. Anthony Mtaka akizungumza na hadhira wakati wa Tamasha la Upandaji Miti la 2021 liliandaliwa na Kamati ya Uratibu wa Dodoma ya Kijani lililofanyika leo tarehe 14 Agosti, 2021.
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi waliopata zawadi na vikombe kwenye Tamasha la Upandaji Miti la 2021 liliandaliwa na Kamati ya Uratibu wa Dodoma ya Kijani lililofanyika leo tarehe 14 Agosti, 2021 jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa, Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage, akimkabidhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Ripoti ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2020 katika halfla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam Agosti 21,2021.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Semestocles Kaijage akisoma taarifa kwa Rais Samia Suluhu Hassan katika hafla ya kukabidhi Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 Ikulu jijini Dar es Salaam, Agosti 21,2021.
Makamishna wa Tume na wageni mbalimbali waalikwa wakifutailia hafla ya kukabidhi ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 iliytokabidhiwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan, Ikulu jijini Dar es Salaam, Agosti 21,2021.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera akimkabidhi nakala za ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa 2020 kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope, Michael Salali (kushoto).
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera akipokea cheti cha shukrani kutoka Mwenyekiti wa Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope, Michael Salali kutokana na namna Tume ilivyowashirikisha watu wenye ulemavu.
Picha ya pamoja ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles (wa tatu kulia mstari wa mbele) na watendaji wa Tume wakiwa na viongozi wa Taasisi ya Foundation for Disabilities Hope ya jijini Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk akifungua mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde mkoa wa Kaskazini Pemba.Kushoto ni Mjumbe wa Tume Balozi Omari Ramadhani Mapuri na kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Mbarouk Salim Mbarouk akifungua mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde mkoa wa Kaskazini Pemba.Kushoto ni Mjumbe wa Tume Balozi Omari Ramadhani Mapuri na kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bi. Giveness Aswile.
Washiriki wa Mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Konde mkoa wa Kaskazini Pemba na baadhi ya watendaji wa Tume, wakifuatilia mafunzo ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge wa jimbo hilo utakaofanyika tarehe 9 Oktoba, 2021.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (Mst) Mary Longway akifungua mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata yanayofanyika mkoani Morogoro. Wengine kulia ni wajumbe wa Tume Jaji (Mst) Thomas Mihayo na Asina Omari.
Wasimamizi wa Uchaguzi na Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wakila kiapo cha kutunza siri na kujiondoa kuwa wanachama wa vyama vya siasa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi  Maua Rashid Hamduni (hayupo pichani).
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Emmanuel Kawishe akiwasilisha mada ya maadili ya Uchaguzi wakati wa mafunzo kwa Wasimamizi wa na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi yaliyofanyika Mjini Morogoro.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mhe. Asina Omari akifafanua jambo wakati wa mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi yaliyofanyika Mjini Morogoro.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt.Wilson Mahera akizungumza na washiriki wa mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata yaliyofanyika Mjini Morogoro.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt.Wilson Mahera akizungumza na washiriki wa mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata yaliyofanyika Mjini Morogoro.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Michael Kiria akitoa Elimu ya Mpiga Kura kwa Wanawake wa Kikundi cha Ujasiriamali cha Uweso kilichopo Kijiji cha Nyamilangano Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Ushetu Mkoa wa Shinyanga unaofanyika Oktoba 9, 2021.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Nuru Riwa akitoa Elimu ya Mpiga Kura katika Kiijiji cha Kisuke Halmashauri ya Wilaya Ushetu Mkoa wa Shinyanga kuelekea Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Ushetu unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi George Mwakyembe akigawa viepeprushi vya Elimu ya Mpiga Kura kwa Wazee wa Kimila wa Kijiji cha Butibu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga waliposimamisha gari la Matangazo la Tume kwa ajili ya kupata elimu hiyo.
Gari la Matangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi likiwa kwenye Mnada wa Kata ya Uyogo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu kwa ajili ya kutoa Elimu ya Mpiga Kura ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ushetu unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Afisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Juvenail Kaiza akitoa Elimu ya Mpiga Kura kwa wafugaji na wakulima waliopo kwenye Mnada wa Kijiji cha Chona Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga  kuelekea Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ushetu unaofanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Ushetu Godfrey Lwambura (katikati) akimkabidhi Mgombea wa Chama cha N.R.A Lwataymbi Prosper Kabungulu, Fomu za Uteuzi kugombea Kiti cha Ubunge Jimbo la Ushetu.Kulia ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Prosper Mlacha.
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Ushetu Godfrey Lwambura (katikati) akimkabidhi Mgombea wa Chama cha SAU Bertha Nkango Mpata, Fomu za Uteuzi kugombea Kiti cha Ubunge Jimbo la Ushetu.Kulia ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Prosper Mlacha.
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Ushetu Godfrey Lwambura (katikati) akimkabidhi Mgombea wa Chama cha Demokrasi Makini Coaster J. Kibonde Fomu ya Uteuzi kugombea Kiti cha Ubunge Jimbo la Ushetu.Kulia ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Prosper Mlacha.
Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Ushetu Godfrey Lwambura (katikati) akimkabidhi Mgombea wa Chama cha N.L.D Amina Amiri Athumani, Fomu za Uteuzi kugombea Kiti cha Ubunge Jimbo la Ushetu na.Kulia ni Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Prosper Mlacha.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde, Mkoa wa Kaskazini Pemba  Abdalla Said Hamad (kushoto) akipokea Fomu za Uteuzi kutoka kwa Mgombea wa Chama cha AAFP Hamad Khamis Mbarouk kugombea Ubunge Jimbo la Konde katika Uchaguzi wa bunge wa jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde, Mkoa wa Kaskazini Pemba Abdalla Said Hamad (kushoto) akipokea Fomu za Uteuzi kutoka kwa Mgombea wa Chama Cha Wananchi CUF Salama Khamis Omar, kugombea Ubunge Jimbo la Konde katika Uchaguzi wa bunge wa jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde, Mkoa wa Kaskazini Pemba Abdalla Said Hamad (kushoto) akipokea Fomu za Uteuzi kutoka kwa Mgombea wa Chama ACT Wazalnedo Mohamed Said Issa, kugombea Ubunge Jimbo la Konde katika Uchaguzi wa bunge wa jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde, Mkoa wa Kaskazini Pemba Abdalla Said Hamad (kushoto) akipokea Fomu za Uteuzi kutoka kwa Mgombea wa Chama ACT Wazalendo Mohamed Said Issa, kugombea Ubunge Jimbo la Konde katika Uchaguzi wa bunge wa jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde, Mkoa wa Kaskazini Pemba Abdalla Said Hamad (kushoto) akipokea Fomu za Uteuzi kutoka kwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mbarouk Amour Habib, kugombea Ubunge Jimbo la Konde katika Uchaguzi wa bunge wa jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles ameshiriki mafunzo (kwa njia ya mtandao) kwa wajumbe wapya wa Tume za Uchaguzi za nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuhusu namna ya kuboresha mahusiano na wadau wa uchaguzi na weledi katika kuratibu na kusimamia chaguzi.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepatiwa mafunzo juu ya ukatili unaoathiri wanawake kujihusisha na siasa, yaliyoendeshwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kitivo cha Sayansi ya Jamii na Uongozi (PSPA) ili kujenga uelewa wa jinsi ya kushughulikia changamoto zinazowakumba wanawake wenye nia ya kuingia katika siasa.
Ujumbe wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Ndugu Joseph Butiku umemtembelea Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles ofisini kwake Jijini Dodoma na kufanya mazungumzo.
Ujumbe wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Ndugu Joseph Butiku umemtembelea Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles ofisini kwake Jijini Dodoma na kufanya mazungumzo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na watumishi wa taasisi hiyo ikiwa ni utekelezaji wa utaratibu aliojiwekea.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles akizungumza na watumishi wa taasisi hiyo ikiwa ni utekelezaji wa utaratibu aliojiwekea.
Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Leonard Tumua akizungumza na watumishi wa Tume jijini Dodoma wakati wa uhamasishaji Chanjo ya UVIKO 19.
Afisa Muuguzi kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa akihamasisha watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchanja Chanjo ya Kujikinga na Ugonjwa wa UVIKO 19 kwenye Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa jijini Dodoma.
Afisa Muuguzi kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa akihamasisha watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchanja Chanjo ya Kujikinga na Ugonjwa wa UVIKO 19 kwenye Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa jijini Dodoma.
Mtumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dainess Nkenjah akipata Chanjo ya UVIKO 19
Mtumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mohamed Kurwa akipata Chanjo ya UVIKO 19
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ushetu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga kufuatilia maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo hilo unaofanyika terehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles(kushoto) akiwa na watendaji wa wakipokea taarifa ya maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge katika Jimbo hilo unaofanyika  Oktoba 9 mwaka 2021.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles (katikati) akifungua Mkutano wa Wadau wa uchaguzi katika Jimbo la Ushetu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga wenye lengo la kuwahamasisha wadau hao kujitokeza kwa wingi kupiga kura Siku ya Jumamosi tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Cosmas Mwaisobwa akiwasilisha Mada ya Makosa ya Uchaguzi kwenye Mkutano wa Wadau wa uchaguzi wa Jimbo la Ushetu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga wenye lengo la kuwahamasisha wadau hao kujitokeza kwa wingi kupiga kura Siku ya Jumamosi tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi katika  Jimbo la Ushetu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga, wakimkaribisha Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwenye ukumbi wa mkutano kabla ya kufungua mkutano huo wenye lengo la kuwahamasisha wapiga kura kujitokeza kwa wingi kupiga kura terehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Monica Mnanka akiwasilisha Mada ya Elimu ya Mpiga Kura kwenye Mkutano wa Wadau wa uchaguzi wa Jimbo la Ushetu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga wenye lengo la kuwahamasisha wadau hao kujitokeza kwa wingi kupiga kura Siku ya Jumamosi tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Cosmas Mwaisobwa (kulia) akitoa Elimu ya Mpiga Kura kuhusu Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ushetu unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021 kupitia Redio Huheso Fm iliyopo Kahama Mkoa wa Shinyanga.
Mkurugenzi Msaidizi Elimu ya Mpiga Kura wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Monica Mnanka (kushoto)akitoa Elimu ya Mpiga Kura kuhusu Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ushetu unaotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021 kupitia Redio Huheso Fm iliyopo Kahama Mkoa wa Shinyanga.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk ametembelea na kukagua vituo vya kupigia kura vya Jimbo la Konde ambavyo vitatumika kwenye uchaguzi mdogo wa tarehe 09 Oktoba, 2021.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akishiriki Kikao cha Wajumbe wa Kamati Tendaji (EXCO) inayoundwa na Wenyeviti wa Tume za Uchaguzi kutoka Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Kikao hicho kimefanyika kwa njia ya mtandao Oktoba 05,2021.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Balozi Omar Ramadhan Mapuri amefungua Mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo katika Kata ya Vumilia Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Kata hiyo unaotarajiwa kufanyika tarehe 09 Oktoba, 2021.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Balozi Omar Ramadhan Mapuri amefungua Mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo katika Kata ya Vumilia Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Kata hiyo unaotarajiwa kufanyika tarehe 09 Oktoba, 2021.
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Balozi Omar Ramadhan Mapuri amefungua Mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo katika Kata ya Vumilia Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Kata hiyo unaotarajiwa kufanyika tarehe 09 Oktoba, 2021.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk amefungua Mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo katika Jimbo la Konde Wilaya ya Micheweni, mkoa wa Kaskazini Pemba. Mafunzo hayo ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo unaotarajiwa kufanyika tarehe 09 Oktoba, 2021.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ushetu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga Bw. Linno Mwageni akiwaaapisha Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Kupigia Kura wa Jimbo hilo wakati wa mafunzo ya kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge wa Jimbo hilo utakaofanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ushetu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga Bw. Linno Mwageni akiwaaapisha Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Kupigia Kura wa Jimbo hilo wakati wa mafunzo ya kujiandaa na Uchaguzi Mdogo wa Ubunge wa Jimbo hilo utakaofanyika tarehe 9 Oktoba mwaka 2021.
Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu ya Mpiga Kura kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Monica Mnanka (kulia) akitoa Elimu ya Mpiga Kura kupitia Redio HUHESO FM ya Kahama ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ushetu Mkoa wa Shinyanga unaofanyika Oktoba 9, 2021.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage akizungumza na Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Kuapigia Kura wa Jimbo la Ushetu wakati alipotembelea mafunzo kwa watendaji hao ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge wa Jimbo hilo unaofanyika Oktoba 9, 2021
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage akizungumza na Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Kuapigia Kura wa Jimbo la Ushetu wakati alipotembelea mafunzo kwa watendaji hao ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge wa Jimbo hilo unaofanyika Oktoba 9, 2021
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (kushoto) akipokea taarifa ya maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ushetu unaofanyika Oktoba 9, 2021 kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo Bw. Linno Mwageni( aliyesimama)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Rufaa Semistocles Kaijage (katikati) akizungumza na watendaji wa Tume baada ya kutembelea moja ya vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ushetu ikiwa nimaandalizi ya kuelekea Siku ya Kupiga Kura tarehe 9 Oktoba mwaka 2021
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Balozi Omar Ramadhan Mapuri leo tarehe 08 Oktoba, 2021amekagua vituo vya kupigia kura katika Kata ya Vumilia Halmashauri ya Wilaya ya Urambo, mkoani Tabora. Kata hiyo inatarajiwa kufanya Uchaguzi Mdogo wa Diwani tarehe 09 Oktoba, 2021.
Maandalizi ya Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Ushetu Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga yamekamilika ambapo leo vifaa kwa ajili ya Siku ya Kupiga Kura kesho tarehe 9 Oktoba mwaka 2021 vimesafirishwa kwenda kwenye Vituo vya Kupigia Kura.