• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi Mkuu
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Maadili ya Uchaguzi
    • Rufaa za Uchaguzi Mdogo 2021
    • Miongozo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
    • Orodha ya Matokeo ya Rufaa za Ubunge zilizoamuliwa na Tume
    • Wagombea waliopita bila kupingwa
    • Wagombea katika Uchaguzi Mkuu 2020
    • Wabunge na Madiwani Wateule wa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
    • Jarida la Tume kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020
    • Mpango Mkakati wa NEC 2021/2022 – 2025/2026
    • Kura ya Maoni
    • Maelekezo
    • Orodha ya Majimbo na Kata
  • Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • NEC Online TV
    • Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Ratiba ya Kampeni za Wagombea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
    • Voters Interaction System
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida la Tume la Uchaguzi Mkuu 2020
  • Zabuni/Mnada
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Mawasiliano
  • Jarida la Uchaguzi

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Kwanini Kujiandikisha kwa Kutumia mfumo wa BVR?

• Mfumo wa Uandikishaji Wapiga Kura wa hapo awali (OMR) ulionekana kupitwa na wakati na hivyo kuwa vigumu katika uhifadhi wa taarifa zake.

• Taarifa za kimaumbile (Bio metric Features) zinazochukuliwa zinatumika katika kulinganisha taarifa za watu mbalimbali na hivyo kuzuia watu kuwepo mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

• Kadi Imara ya Mpiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi inaendesha chaguzi gani?

Uchaguzi wa Rais

Uchaguzi wa Wabunge

Uchaguzi wa Madiwani Tanzania Bara


Tume ya Taifa ya Uchaguzi ina Majukumu Gani?

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ina majukumu yafuatayo:

(a) Kusimamia na Kuendesha Uandikishaji wa Wapiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

(b) Kusimamia na Kuendesha Uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

(c) Kupitia na Kugawa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano katika Majimbo mbali mbali ya Uchaguzi wa Wabunge.

(d) Kusimamia na Kuendesha Uandikishaji wa Wapiga Kura na kuendesha Uchaguzi wa Madiwani Tanzania Bara.

(e) Kutangaza matokeo ya Viti Maalum vya wanawake vya Ubunge na Udiwani. ;

(f) Kutoa Elimu ya Mpiga Kura na kusimamia Watu na Asasi zitakazohusika katika Kutoa Elimu hiyo.

(g) Kutekeleza Majukumu mengine yatokanayo na Sheria itakayotungwa na Bunge.

    • «
    • 1
    • 2
    • »

Habari Mpya

  • Tume yatangaza matokeo ya Uchaguzi Jimbo la Mbarali na Kata Sita za Tanzania Bara
    September 21, 2023
  • ?Mwenyekiti wa Tume Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele atembelea na kukagua Uchaguzi Mdogo Jimbo la Mbarali
    September 19, 2023
  • Wapiga kura 216,282 kupiga kura uchaguzi mdogo wa Mbarali na kata sita
    September 19, 2023

Nifanyaje?

  • Kujiandikisha Kupiga Kura
  • Kupiga Kura

Machapisho

  • Jarida la Uchaguzi, Agosti, 2023
  • Jarida la Uchaguzi Toleo la Julai, 2023
  • Jarida la Uchaguzi Toleo la Machi, 2023
  • Jarida la Uchaguzi Toleo la Februari, 2023
  • Jarida la Uchaguzi Toleo la Januari, 2023
Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

  • Address : P.O.Box 358, Dodoma, The National Electoral Commission, 5 Uchaguzi Road, 41107 Njedengwa Uchaguzi House
  • Namba ya Simu : +255 26 2962345-8
  • Nukushi : +255 26 2962348
  • Barua Pepe : uchaguzi@nec.go.tz
  • Tovuti : www.nec.go.tz

Linki za Haraka

  • Maktaba ya Tume.
  • Majukumu ya Msingi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Msajili wa Vyama vya Siasa

Kuwa karibu nasi

Jiunge na orodha ya baruapepe zetu ili uhabarishwe na kupata notisi kuhusu taarifa zetu mpya

Tufuatilie

@2023 Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haki zote zimehifadhiwa

  • Ramani ya Tovuti
  • Wasiliana Nasi