• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Maadili ya Uchaguzi
    • Miongozo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
    • Orodha ya Matokeo ya Rufaa za Ubunge zilizoamuliwa na Tume
    • Wagombea waliopita bila kupingwa
    • Wagombea katika Uchaguzi Mkuu 2020
    • Wabunge na Madiwani Wateule wa Viti Maalum Uchaguzi Mkuu 2020
    • Jarida la Tume kuhusu Uchaguzi Mkuu 2020
    • Mpango Mkakati wa Tume kwa mwaka 2016/2017 hadi 2020/2021
    • Kura ya Maoni
    • Maelekezo
    • Orodha ya Majimbo na Kata
  • Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • NEC Online TV
    • Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Ratiba ya Kampeni za Wagombea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020
    • Voters Interaction System
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Jarida la Tume la Uchaguzi Mkuu 2020
  • Zabuni/Mnada
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Mawasiliano

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Nini kinatokea ikiwa ni Mgombea mmoja tu ndiye aliyeteuliwa kugombea katika Uchaguzi?

Atatangazwa kama Mgombea asiye na Mpinzani na hivyo kuwa amechaguliwa

Uteuzi ni nini?

Uteuzi ni sehemu ya Mchakato wa Uchaguzi,ambapo Mgombea anachaguliwa na chama chake kugombea nafasi katika Uchaguzi

Je Mawakala wa Vyama vya Siasa wanaruhusiwa kuangalia zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura kituoni?

Ndio, Mawakala wa Vyama vya Siasa vyenye Usajili wanaruhusiwa kuwa na mwangalizi mmoja kwa kila kituo cha Uandikishaji Wapiga kura .

Nini kitatokea ikiwa mtu amejiandikisha zaidi ya Mara moja?

Ni kosa la Jinai mtu kujiandikisha zaidi ya mara moja, na ikitokea, mtu ataadhibiwa kulingana na Sheria za Uchaguzi.

Nani anapoteza sifa za kuandikishwa kuwa Mpiga Kura?

• Ikiwa ana Uraia wa Nchi nyingine yaani sio Raia wa Tanzania,

• Amehukumiwa kifungo cha zaidi ya Miezi Sita,
• Amehukumiwa kifo na Mahakama za Tanzania,

• Amethibitika kuwa hana Akili timamu.

Nini kinahitajika ili niweze kuandikishwa kama Mpiga Kura?

Hakuna Nyaraka zozote zinazohitajika wakati wa Uandikishaji, Ijapokuwa kwa wale Wapiga Kura wenye Vitambulisho vya Upigaji Kura wanatakiwa kumkabidhi Mwandikishaji Msaidizi kadi yake ili kurahisisha zoezi la Uandikishaji.

Wapi naweza kujiandikisha kama Mpiga Kura?

Katika kituo cha Uandikishaji Wapiga Kura kilichopo jirani na eneo unaloishi.

Ni lini naweza kujiandikisha kuwa Mpiga Kura?

Kipindi cha Uandikishaji Wapiga Kura katika eneo lako kitatangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Vyombo vya Habari , Radio, TV na Magazeti.

Ni nani anajiandikisha kama Mpiga Kura?

Raia yeyote wa Tanzania aliyetimiza Umri wa miaka 18 na kuendelea na yule atakayetimiza Umri wa Miaka 18 Oktoba 2015 anafaa kuandikishwa kuwa Mpiga Kura.

Kwanini Ujiandikishe kuwa Mpiga Kura?

• Ili kuweza kutimiza haki yako katika Kupiga Kura siku ya Kura ya Maoni na Uchaguzi.

• Kuweza kushiriki katika uongozi Nchi yako.

    • «
    • 1
    • 2
    • »

Habari Mpya

  • Tume yamtangaza Dkt. Magufuli kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Oktoba 28, 2020
    October 31, 2020
  • Tume yaongeza siku tatu kwa wasimamizi wa uchaguzi kuapisha mawakala wa vyama vya siasa kwa ajili ya uchaguzi
    October 23, 2020
  • Tume yafanya uamuzi wa rufaa 616 zilizowasilishwa na wagombea ubunge na udiwani
    September 18, 2020

Nifanyaje?

  • Kujiandikisha Kupiga Kura
  • Kupiga Kura

Machapisho

  • Orodha ya Madiwani Wateule wa Viti Maalum walioteuliwa na Tume katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
  • Orodha ya Madiwani Wateule wa Viti Maalum wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2020
  • Orodha ya Wagombea wa Kiti cha Rais
  • Orodha ya Wagombea Ubunge
  • Wagombea waliopita bila kupingwa

Mawasiliano yetu

  • Address : P.O.Box 10923, Dar es Salaam, Foreign Affairs Building, Shaaban Robert Street and Garden Avenue
  • Namba ya Simu : +255 22 2114963-6
  • Nukushi : +255 22 2116740, +255 22 2127075
  • Barua Pepe : uchaguzi@nec.go.tz
  • Tovuti : www.nec.go.tz

Linki za Haraka

  • Maktaba ya Tume.
  • Majukumu ya Msingi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Msajili wa Vyama vya Siasa

Kuwa karibu nasi

Jiunge na orodha ya baruapepe zetu ili uhabarishwe na kupata notisi kuhusu taarifa zetu mpya

Tufuatilie

@2021 Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haki zote zimehifadhiwa

  • Ramani ya Tovuti
  • Wasiliana Nasi