• English
  • |
  • Maswali yaulizwayo Mara kwa Mara   |  
  • Staff Mail

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Taifa ya Uchaguzi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Wajumbe wa Tume
    • Dira na Dhima
    • Jinsi NEC Ilivyoanzishwa
  • Uchaguzi
    • Mifumo ya Uchaguzi
    • Mzunguko wa Uchaguzi
    • Uchaguzi Mkuu
    • Uchaguzi Mdogo
    • Matokeo ya Uchaguzi
    • Kura ya Maoni
  • Wapiga Kura
    • Vituo vya Uandikishaji
    • Takwimu za Wapiga Kura
    • Elimu ya Mpiga Kura
    • Uhakiki
  • Machapisho
    • Sheria za Uchaguzi
    • Kanuni za Uchaguzi
    • Ripoti
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Zabuni
    • Zabuni za Ndani
    • Zabuni za Kimataifa
  • Wasiliana Nasi

Majukumu ya Msingi

Majukumu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi yameainishwa katika Ibara ya 74 (6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kama ifuatavyo:

(i) Kusimamia na Kuratibu Uandikishaji wa Wapiga Kura katika Uchaguzi wa Rais na Wabunge katika Jamhuri ya Muungano;

(ii) Kusimamia na kuratibu uendeshaji wa Uchaguzi wa Rais na Wabunge;

(iii) Kuchunguza mipaka na kuigawa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya Uchaguzi wa Wabunge;

(iv) Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa Wapiga Kura na uendeshaji wa Uchaguzi wa Madiwani; na

(v) Kutekeleza majukumu mengine yoyote kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge.

Majukumu mengine ya Tume kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge ni pamoja na yaliyotajwa katika kifungu cha 4C cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, na Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, ambayo ni:-

(i) Kutoa Elimu ya Mpiga Kura kwa nchi nzima, kuratibu na kusimamia watu wanaotoa Elimu hiyo; na

(ii) Kuteua na kuwatangaza Wabunge na Madiwani Wanawake wa Viti Maalum.

Habari Mpya

  • Tume yajibu madai ya Chadema kuhusu Uchaguzi Mdogo wa Februari 17, 2018
    Jan 01, 1970
  • Siha wapiga kura kwa amani
    Jan 01, 1970
  • “Jitokezeni kupiga kura, mkimaliza mrudi nyumbani” Msimamizi Jimbo la Siha
    Jan 01, 1970

Nifanyaje?

  • Kujiandikisha Kupiga Kura
  • Kupiga Kura

Machapisho

  • Uchaguzi Mkuu wa 2015
  • Safu ya Menejimenti
  • Uchaguzi wa Madiwani Mwaka 1994
  • Uchagzi Mkuu wa Mwaka 1985
  • Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge wa Mwaka 1980

Mawasiliano yetu

  • Address : P.O.Box 10923, Dar es Salaam, Ghana and Ohio Street
  • Namba ya Simu : +255 22 2114963-6
  • Nukushi : +255 22 2116740, +255 22 2127075
  • Barua Pepe : uchaguzi@nec.go.tz
  • Tovuti : www.nec.go.tz

Linki za Haraka

  • Maktaba ya Tume
  • Majukumu ya Msingi

Tovuti Mashuhuri

  • Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Bunge la Tanzania
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Msajili wa Vyama vya Siasa

Kuwa karibu nasi

Jiunge na orodha ya baruapepe zetu ili uhabarishwe na kupata notisi kuhusu taarifa zetu mpya

Tufuatilie

@2018 Tume ya Taifa ya Uchaguzi . Haki zote zimehifadhiwa

  • Ramani ya Tovuti
  • Wasiliana Nasi